Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mkuu nimesema kulitia Taifa hasara kwa maamuz yake ya gafla unaweza uone ni kitu kidogo lakin kina athari kubwa sana kwenye uchumi wa nchi ni sawa na kuwa fisadi tu

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Hiyo takwimu ya kila mtu ananalamika umeitoa wapi? Labda kama ya mtaani unakoishi ndio wanalalamika pasi kujua tatizo wanalo wao.

Takwimu kaitoa JF. Huku ndipo anashinda akilalamika kila kukicha. Ameshakuita hopeless sijui kati ya wewe na yeye nani ni hopeless tupa kule anayelalamika humu. ...eti kuonyesha hisia? ?

Mwache aendelee kuonyesha hisia atakapo shtuka Magu anaondoka ye ye uzee ushamvaa!

Usipate shida kujibishana naye. Yeye ni kati ya wale -waliotumbuliwa au waliokuwa wanawaweka mjini kutumbuliwa

-waliozibiwa mianya ya madili

-waliopunguziwa mishahara

-waliozibiwa safari za nje na posho. In fact wamechanganyikiwa ni watu was kuwaonea huruma. Kwanza mavivu halafu Wanachuki matusi kejeli. Mimi wala hawanitishi wala siwezi kuwajibu au kubishana nao wasije niondolea mood yangu nzuri bure
 
Mkuu kwa maamuzi yake sidhani km kuna kitu kipya tutagain labda abadilike

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Sisi soteni wapitaji hapa duniani...kiburi cha mtu na damu ya utakayewaua itabaki ikilia
 

Sasa wewe JPM kakutesaje. Bundle lako la hapa badala ya kusave ufanye shughuli. Unamsingizia JPM.

Wengine wanahonga laki tatu kwa wiki. Ila Maendeleo tu akupe JPM. Wajibu wa Rais ni kusaidiana na System kuweka mazingira ya wewe kuishi kwa amani.

Kupata Muda kama huu wa kuropoka hapa kila siku bila tija bila mtutu wa bunduki nk nk. Mengine ni yetu. Wewe
 
Uyo kashiba hamkumbuki mwenye njaa

Alafu elimu ya bongo ni vyeti tu asikutishe

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Hongera mkuu km kweli

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 

Mkuu zones ni muhimu,

kutatoa balance katika sehemu mbali mbali,

itatoa manung'uniko kwa nini watu wa Chato wanapendelewa,
 
Umeshindwa kujua wajibu wako kama binadamu , unataka kuanza kuhamishia wenzako matatizo yako. Timiza wajibu wako kwanza.
 
Wa kuharibu au kutengeneza maisha yako ni wewe acha kuhamisha goli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Pambana na hali yako ndugu, acha kulialia
 
Anafuata falsafa ya maandiko matakatifu, mbegu nzuri huoza kwanza ndipo humea. Labda ameamua kuharibu kwanza ili vimee umpya! Sasa visipoota sijui tutafanyaje!!!
 
Umeshindwa kujua wajibu wako kama binadamu , unataka kuanza kuhamishia wenzako matatizo yako. Timiza wajibu wako kwanza.
Tunapambana sana mkuu sema vyuma vimekaza

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Sasa wewe JPM kakutesaje.
Nimesoma kanibania ajira, Nimekuwa machinga polisi wake wanavurumisha kama jambazi kila siku.
Bundle lako la hapa badala ya kusave ufanye shughuli.
Mtu anaekula kwa shida, atapata wapi pesa ya bundle. Anatumia www.freebasics.com
Unamsingizia JPM.
Hakuna anayemsingizia, yeye ndie anaeua ndoto za vijana wa taifa hili.
- Usajili wa makampuni na trademarks gharama kubwa
- Machinga unapigwa na polisi
- Watumishi hawapati hata increment yeye watu wake wanalipana LAKI 4 per day
- Kakwamisha ajira, vyeo na nafasi mpaka jeshini

.Ila Maendeleo tu akupe JPM. Wajibu wa Rais ni kusaidiana na System kuweka mazingira ya wewe kuishi kwa amani.
Hayo mazingira yako wapi wakati MALIPO ya PAYPAL yamewashinda
mijitu na PhD zao wakati Kenya ipo. In short anaua NDOTO za vijana wa Taifa hili kwa KASI Kubwa sana
 
Usi

Usituchonganishe raia na Rais, alitwambia Nchi hii siyo masikini kwani tuliibiwa sana, na waliotuibia watazitoa kupitia tundu lolote...ashakum! Tunasubiri Noah, mimi nimesha tengeneza na parking chini ya muti nasubiri ikija tu, hakuna kuombana lift!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…