Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Yaani yeye mwenyewe alishiriki kuiweka nchi jalalani! Halafu unategemea yeye huyo huyo na crooks wenzake wa CCM ndiyo waitoe uchafu?!? If you aren’t satirical, basi shida ipo.
hebu tupe mapendekezo, nani unafikiri ataitoa uchafu?
 
hebu tupe mapendekezo, nani unafikiri ataitoa uchafu?
Mtu ambaye hajawahi kuwa ndani ya mfumo wa CCM! Na kiujumla, chama kingine ndiyo kinahitajika. CCM haina uwezo tena; haina jipya wala haina mawazo mapya!
 
Nchi ya ajabu sana amedumaza biashara Wakongo wamekimbia huko wanasema wananunua mzigo Kkoo harafu TRA wanawavia wapewe rushwa kubwa jangwani kwa sababu ya Risiti mzigo ulioingia kwa kulipiwa kodi kubwa tuu sasa mmewakimbiza huko tunao Johannesburg wananunua na kujaza Truck hakuna upuuzi huo...
 
Kaka nimetoa plan hapo juu. Moja wapi ikiwa na kuwasaidia wakulika wadogo,elimu na vile kubadilisha katiba.
Kaka sijui umesoma wapi,but naona urudi shuleni. Usiongee au kuandika kwa mihemko.
Mkuu Mtu asiyejua kujenga hoja na kuishia kuleta kejeri ni wa kumpuuza tu,mwenye uelewa huwa anamkosoa mwenzake kwa hoja na siyo kwa porojo
 
Mkuu nashukuru. Namwomba Mwenyezi Mungu tu atuokoe kwa lolote baya Tanzania inaweza kupitia naamini tutashinda.
Tujengee nchi mkuu.
Lakini siyo kwa utawala huu na Ccm kwa ujumla mkuu,hilo mimi haitatokea nikaamini,maana mawazo ni yale yale,hawana jipya,hawana nia ya dhati ya kuitoa Nchi kwenye mkwamo huu,hawajui walifanyalo mpaka sasa(viwanda au kilmo) japo wanasema viwanda lakini hawatambui bila kilimo hakuna viwanda,siyo Wazalendo japo wanahimiza uzalendo kwa wengine,hawapo tayar kukosolewa japo makosa ni kawaida ila wao wanajua na wanaamini kukosea hakuwezekani,wapo mbali na Wananchi kwa sasa kiuhuduma.Bila ushirikiano wa dhati(kutoka kwa viongozi mpaka kwa wananchi)kama Nchi na kuwa na nia ya dhati ya kumkomboa Mkulima,kutokuwa na Dira,kutokuwa na siasa safi na kiongozi bora hatuwezi toka kwenye huu mkwamo wa kiuchumi
 
Mimi nimetoa ushauri kuhusu wanaotufaa kuwa Rais wa Tanzania lakini ulichofanya ni kuandika maelezo marefu ambayo hayana mantiki kwa sasa kwa sababu majibu yake yameishatolewa muda mrefu.

Kumbe mapambano ya ufisadi hayana mantiki kwa sasa?

Nashangaa unaleta mambo ya ufisadi wakati katika bandiko langu sijagusia suala la ufisadi. Unajihami wakati sijarusha kombora lolote.

Wasn’t it obvious? Wanasema a picture speaks a thousand words, siyo? Na wala sijajihami; kwani sina haja ya kujihami kwa ajili ya mtu yeyote mwenye damu ya CCM! Kwani lazima ni big time crook tu!

Hii inaonyesha jinsi unavyosumbuliwa na guilty conscience?

Woh! Guilty conscience over Lowassa and Sumaye? Dude, I don’t give a dang about them! Nimeshakwambia mara kadhaa humu, mimi siyo shabiki wa Lowassa wala mtu yeyote mwenye connections na CCM.

Majibu ya hoja zako angalia hizi video.


Unakumbuka namna ambavyo TAKUKURU walisema Richmond was okay? That’s how CCM governments work bro! I’m telling you, Magufuli akitoka CCM, wewe utakuwa wa kwanza kumsema kwa haya nayokwambia sasa.

Vipi kuhusu hili: CAG reveals rot in Dar ferry purchase naona fisadi Magufuli akaamua kuificha ferry JWTZ!


Kwa logic hii basi hata Lowassa is innocent! Mawaziri wote ambao Magufuli kawatumbua are innocents!

Btw, this also proves what I have just said: that’s how CCM governments work. Ukiwa CCM, they will defend to death! Ukitoka tu, utaitwa majina yote. Kikwete alimpigia kampeni ‘fisadi’ Lowassa! Magufuli alimpigia kampeni ‘fisadi’ Nyalandu!!

Tuombe uzima tu. Kuna siku mtamsema Magufuli kwa kugawa nyumba za serikali kwa hawara na ndugu zake.

Are they assets or liabilities?

Both! Kapata kura zaidi ya milioni 6, na kuongeza idadi ya wabunge na ruzuku kwa chama. Kwa upande mwingine amechafua image ya chama kwa tuhuma zake.

Mimi nadhani hawa wanatufaa mmojawapo kuwa Rais wa Tanzania!

As long as tuna rais Magufuli mwenye tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ya umma, why not them?
 
.....
....Mkuu ng'onoyo kabombo akakomanile
 
Ile kauli ile
 
Reactions: BAK
Tulianza na moto wa kubana matumizi, kutimua vyeti fwki na watumishi hewa yote haya yalikuwa na nia njema kabisa lakini utekelezaji wake ulipoanza kubagua nani atoke nani abaki tatizo likaanza. Chuki ikaanza kujijenga baina ya wanaopendelewa na wasiopendelewa.
Tanzania imejengwa katika utaifa, mtu anapoanza kuleta ukabila na uchama kwa lengo la kutugawa inabidi tumpinge wote kwa juhudi kubwa. Hatutakiwi kufumbia macho jambo hili sasahivi kuna chuki za kikabila zinaanza kujionyesha wazi wazi, chuki za kikanda na chuki za kivyama.
Ombi langu watanzania kama tulivyolelewa na tunavyopendana hebu tusiwasikilize viongozi wa aina hii.
Tuko kwenye kuivusha Tanzania kwenye umaskini uliotopea hizi chuki zitaturudisha nyuma kwa kasi sana.
 
Tena tumepotea kweli kweli lawama zote ni mkwa mkweli na wivu wake check sasa Tanzania watu wake wanavyoteseka.



Swissme
 

Anarudi yule chaguo la ukombozi! asiyeweza kufa kwa mapenzi ya mtu! Yule aliyetuasa kuwa
Tuna Rais wa ajabu haijapata tokea:
Dictator Uchwara apingwe popote na yeyote! He is coming back wait------
 
Mkuu wewe ndio mkuu wetu ila kiukweli napata shida ninapo sikia miradi yamatirion na miradi ambayo duniani inafanyika kwa miaka na miaka sasa wewe unaimaliza kwa miaka kumi...
Ujenzi wa jiji la dodoma.
Ujenz wa dam kubwa afrika mashariki na kati nk...
Hivi kweli hii utaaliza for ten years only...
Nisaidie mkuu maana naona kama ndoto.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…