Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hunifikii mimi mdogo wangu, Mungu aepushe tu maana mtu unaweza kuamua kujitoa mhanga potelea mbali!
 
Ebu ondoa takataka zako za mawazo yaliyoonza hapa Jf, Zero brain wewe kid Like Father, Tatizo mlipelekwa shule ili muajiriwe Ndio maana unatoa Povu, Huna analysis yeyote zaidi ya makaratasi ya darasani
Kakufanyaje tena huyu unayemshambulia? Mbona sioni kosa au lolote baya aliloshauri? Au mzee umekamatwa siha na kinondoni? Kuwa wazi tukusaidie namna bora ya kuishi na matokeo hasi!
 
Leo bujibuji umeongea point ambayo huwezi ata kuiongea mwaka huu..!
 
Zidumu fikra za mwenyekiti
 
Haondoki huyo madarakani, hii ndo nitolee miaka 33 kama mentor wake kagame, na mbeleni huko itapitishwa amri mwisho kutembea barabarani saa 2 usiku na kama kawaida inzi wa kijani watashangilia
 
Unawezaje kuwaweka hao wawili katika mizani moja? Angalao hata shetani ana utu!
 
Mm naona wewe humchukii mm namchukia sana mpaka namchia tena sijawahi kuona rais mwenye roho mbaya kuliko huyu
 
nafikiri si vyote vinavyotokea ni magufuri.. maana hata wkt wapo marais wengine yalikuwa yanatokea!
huenda akawa ameona hakuna la maana hata akiruhusu hiyo mikutano!.
heuanda akawa hajakosea kuitupilia mbali mikutano ya kisiasa maana hata huko nyuma ilishafanyika lkn mantiki yake ni kujazana maneno tu!
huku kuishi kama mashetani kazi ipo!.
 
miaka nane ya ma**ko?
 
miaka nane ya ma**ko?
 
Hunishindi mimi, natamani hata sasa mapenzi yake mola yatimie... Jitu lina roho mbaya shetani ana nafuu
 
Mleta mada atakua majeruhi,ila maandiko yanaema mwombee adui yako aishi siku nyingi.ili unavyombarikiwa ajionee kwa macho.kesho huwezi jua wewe utakuja kua nani,acha chuki,tumia busara katika maneno yako.hata ungempenda hawezi kukulisha wala kunyanyua maisha yako.tafadhali tengua kauli yako kwani unamkosea Mungu ambae yeye Hana chuki zaidi ya upendo.magifuli atapita tu kama walivyopita wengine. Mungu awe pamoja na wewe
 
Kweli kabisa kwani hata shetani harazimishi bali hubembeleza kwa vishawishi ili umfuate wewe bila shuruti, lakini huyu jamaa ni zaidi ya shetani sijui huyu ataitwaje!?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…