Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ivi kweli matajiri wamemkosea nini huyu mwenyekiti wa ccm? Ivi toka lini viwanda vikaanzishwa na maskini kwa mtaji upi? Maskini wwnyewe kodi shida, huko vijijini kwenye maskini hakuna barabara wala maji wala umeme wala hawalipi kodi ndio anaowataka au ndio mtaji wake
 
Viwanda gani atakavyoanziasha mkuu wa Mkoa ama wilaya.?

Ina maana China wanajifunza tu kuzima mitandao hawajifunzi kuwa viwanda vingi vya china matajiri ni Wamarekani na na nchi za Magharibi.?
 
Kuna clip nimeiona anasema anataka kuwachagua watu vichaa vichaa kama yeye, ndiyo akampata Luhaga Mpina! Umeiona hiyo clip?

Mkuu ,ina maana Raisi wetu ni Kichaa ? 🙄 .
 
Sielewi ni kwanini hii mada imeunganishwa!

JF sometimes hawaeleweki!
 
Kama maadui zake ni matajiri Hawa masikini wakianzisha viwanda wakiwa matajiri wanakuwa maadui zake wapya.... Daaaah ukichaaa kichaaa Kama alivyosema eti
 
Nahisi anatupeleka kwenye ndoto yake.
 
Kuna mtu aliwahi kunisimulia kuwa Rais Magufuli alipokuwa Waziri wa Ujenzi, alikuwa na kawaida kufanya ziara katika ofisi za Tanroads mikoani na akifika pale, atasalimiana na wafanyakazi wote huku akiwa na interest ya kufahamu kabila la kila mmoja...

Baada ya kusikiliza hotuba hii ya Rais Magufuli, nimeshangazwa kumwona tangu dk ya 1 hadi ya 7 anapiga tu Kisukuma, on LIVE TV, katika hotuba ambayo alikusudia ujumbe wake uwafikie watu nchi nzima, hii si ni dharau na ubaguzi wa wazi kwa Watanzania wengine wasioelewa kisukuma? Nini kimetokea kwenye hadhi ya kiti cha Urais hata kichezewe hivi na mtu aliyekikalia?

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…