Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
NO WAY!
MAGUFULI NI WA MILELE YOTE WALAHI!
 
Eti Chato airport na madlimulaina ndo kipaumbele cha wanyonge,

Tumeshindwa kwasha spotlight kuokoa wahahanga wa ajali.

Jeshi LA navy halina vifaa vya uokoaji Galina boat, halina helicopter, halina divers
Zile 10% za ununuzi wa wabunge, madiwani, ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli na mengineyo zingetosha kununua vivuko kila kona ya Tanzania, lakini CCM wajanja wachache wamezitafuna kijanja huku watanzania wakitaabika kwa changamoto
 
Una akili kama jemedari wako mbowe. Unadhani zilitakiwa tochi uzijuazo wewe kumulika.
Usitetee ujinga,kimsingi vyombo vya uokoaji vime_prove failure,huwezi kuwa na meli na mandege afu usiboreshe kitengo/vitengo vya uokoaji,vngnevyo hz dreamliner,na vivuko vtakua ni machinjio ya roho za watu,huwezi kua na jeshi la uokoaji ambalo uwezo wake ni handle majanga ya mchana tu,hiki ni kituko[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jon Stephano unampenda sana rais wetu mpendwa JPM!
Tuseme wote ‘LONG MAY HE REIGN JPM’ walahi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…