Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Tena waambie tu,enzi hizo kungekuwa na mitandao ya kijamii kama ilivyo leo,watetezi hao wa kulipwa na wa kujipendekeza, wangekuwepo mitandaoni kumfagilia masaa 24 siku 7 za wiki kwahiyo msishangazwe na haya yanayoendelea.

Wana hofu na nafsi zinawasuta kwasababu wana sababu za kuwa na hofu.Tumetuliia na nafsi zetu zimetulia kwasababu tuna sababu za kutulia.

Waacheni wahangaike kwasababu sababu wanazo.

All in all, haya nayo yatapita tu kama yalivyopita mengine na maisha yataendelea.
 
Na ni waambie tu,enzi hizo kungekuwa na mitandao ya kijamii kama ilivyo leo,watetezI hao wa kulipwa na wa kujipendekeza, wangekuwepo mitandaoni kumfagilia masaa 24 siku 7 za wiki.

Haya yatapita tu na maisha yataendelea.
That's very true

Hata mtu awe shetani vipi ni lazima atapata watu wa kumshabikia!
 
Hata kina Nduli na Mobutu nao walikuwa na mashabiki enzi zao! Haya tunayoyaona kwa huyu mtakatifu kumbe sio jambo geni
 
hilo liko wazi madikteta wote wana magenge yao hata wewe uko kwenye genge lakumtetea dikteta Mbowe
 
Andiko kuntu sana hili mkuu .
 
Nimeanza kuelewa maana ya watu kuitwa wanyonge. Inawanyanganya haki na kusubiria fadhila na hisani kama "bwana" kwa akili zake atakavyoona inafaa. Kweli Remmy aliimba mnyonge hana haki. Sukumiza kule unyonge na mtu akikuiita mnyonge tia akili
 
Bahati mbaya hata baadhi ya mods.wa humu wanatumikia kafiri. Niliweka uzi kuonyesha sababu za kutekwa Mo ukaondolewa. Kifupi ni kwamba Mo na TL wanatoka.mkoa mmoja na wote walikuwa wabunge wa mbunge moja
Mo ni mtu anayeguswa na matatizo ya wengine hivyo kuna uwezekano mkubwa sana Mo akawa ametoa msaada kwa home boy wake na wasiojulikana wakajua na kuamua kumuadhibu. Home of GT
 
Wewe mwenyewe unaishi kwa hofu,hata kama umo ndani ya kundi kwani kesho yako hui jui mkuu.
Hofu zetu ni Elimu Bore, Maji, Huduma za Afya upatikanaji wa umeme wa uhakika,nk.
Hizo ndo zinaitwa hofu halali.
 
Hofu zetu ni Elimu Bore, Maji, Huduma za Afya upatikanaji wa umeme wa uhakika,nk.
Hizo ndo zinaitwa hofu halali.
Wengine hatuna hizo hofu tangu tumezaliwa...elimu...maji..afya na umeme tunao
 
Huyu mzee baba naona kama annatupeleka mbinguni,maana njia zake zote anazotupitisha ni nyembamba ndio maana vibonge wanalalamika,my take vibonge either wakubari kujikondesha au wagomee safari!!
 
Nchi yetu inapita kwenye kipindi kigumu sana, kila kukicha matukio ya kutisha ya kuteka watu, chuki na visasi visivyoisha nk..Wananchi wa chini wanashindwa waamini lipi kati ya mengi yanayosemwa,sisi wananchi tumkimbilie nani? Polisi wameachana kaz zao wameingia kwa siasa, bunge halisimami kama mhimili unaojitegemea, serikali inaonekana kuelemewa na lawama nyingi,mpaka sasa tumwamini nani kama siyo Mungu??? Kama hatutakua wakweli kwa tunao waongoza tutegemee nini in future?? Ukweli utaiponya Tanzania
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…