Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
....ukiwa na roho mbaya na chuki si lazima kujenga hoja, unaropokwa ropokwa tuu !
 
Ni zogo tu., bado watu wanalia na njaa bei za vyakula zinapanda tu lakini safari hii ushirikiano wa kiuchumi na mataifa yaliyoendelea ndio umekufa foo.. tumebakisha maneno tu kwenye vyombo vya habari kwamba tunarasilimali za kutosha na tunaweza kuzisaidia nchi za ulaya.

Kujua mnakoenda lazima ujuwe Wtz wanataka nini kutokana na hali zao kwa muda huu. Unaweza ukawaza jambo kubwa zaidi kulifanya kama kujenga hizo flyover lakini anayepita kwenye hiyo flyover amekula kwa taabu mlo 1 tu kwa siku.

Tz bado matabaka yanaongezeka ya walionacho na wasionacho wale walionacho au ambao hunufaika na mfumo hoja kama hizi huzipinga vikali sana lakini ndio hali halisi ya mambo kwa sasa.
 

Afdb, standard chartered, world bank, Exim bank of china ndio wameshikilia nchi kwa sasa. 64% ya budget inakwenda kulipa deni
 
Unahoja kwa mbali sana lakini hoja yako inpotea kua hoja kwa sababu ya chuki binafsi uliyonayo kwa Joseph magufuri,ulitaka rais awe nani? Ili porojo zako hizi ziwe na mashiko,pili kutekwa kweli wanatekwa,mbona wewe hujatekwa nikuulize?na porojo zako hizi unafikili kwa dunia hii unaweza kudanganya watu ,ni ngumu ,mmoja baada ya mwingine aliyetekwa walikwambia wametekwa kwa sababu gani? Umekili tunaweza kutambua mabaya na mazuri nikushauli tu,soma ni nchi gani iliyo waajiri vijana wake wote wakaisha mtaani?ukikaa kimya siyo kwamba utaonekana hujui laa acha porojo eti tumeletewa magufuri awe tatizo,ni uongo ulio tukuka acha roho mbaya.
 
Rais john joseph pombe nagufuli anatupeleka nchi ya maziwa na asali.
Kama huna nauli shuka[emoji8]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…