Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Hizo kejeli mkuu, huko nyuma yake tunafanya Nini[emoji846]
Mmeumbuka. Njama zenu zimegundulika.
Mnamtegeneza Membe awe Rais wenu sio?
Ningemwomba Mh. Msiba kama ana audios au clips za hao wahujumu atoe mitandaoni ili wananchi wawasikie au kuwaona wanavyo arrange milango yao.
Mr Msiba well done! Watanzania wako nyuma yako.