Hahahahahahahahahaha..........waleta fyoko fyoko!
Mmekazania sukari tu,hebu tumieni akili kidogo,mbona ilipoondolewa service charge ya Tanesco moja Kwa moja hamsifii??,ongezeko kidogo la sukari tena Kwa muda mfupi mmekomalia sukari tu kila siku,jaribu kufatilia kwanini vibali vimedhibitiwa na faida zake,inasikitisha sana vijana wa ki TZ ni walalamishi kupita maelezo na kila kukicha mnakuja na mbinu Mpya za ulalamishi,sijui ni matatizo ya kurithi??Sukari yetu tulikuwa tunaipata kwa shs 2000 kwa Kilo Taratibu
sukari ni bidhaa ya mnyonge
Wakatia neno, sukari ikaadimika na sasa ni 2500 kwa kilo
Bado nishati ya kupikia ni ghali...Gesi ya majumbani bei ni juu,
watu wanakata miti ya kuni na mkaa
Wakapandisha VAT ya utalii ghafla....
Mafuta taa kodi yake ni mara 2
Kijiini hakuna umeme, mafuta taa ni ukombozi ila sasa ni hatari.... Watu wa mikoa pembezoni wanachukua mafuta taa Kenya na Zambia
tulieni dawa iingie, lazima tupitie hapa ili tufike tunapokwenda.
Mmekazania sukari tu,hebu tumieni akili kidogo,mbona ilipoondolewa service charge ya Tanesco moja Kwa moja hamsifii??,ongezeko kidogo la sukari tena Kwa muda mfupi mmekomalia sukari tu kila siku,jaribu kufatilia kwanini vibali vimedhibitiwa na faida zake,inasikitisha sana vijana wa ki TZ ni walalamishi kupita maelezo na kila kukicha mnakuja na mbinu Mpya za ulalamishi,sijui ni matatizo ya kurithi??
Kama ndio mambo yanayokukera basi wewe ni jipu ngojea kutumbuliwa.yani uwe specific nini ameanza kuna mengi ukianza kutoka kwenye
1. Kuharibu biashara bandarini
2. kuongeza wizara zinazo poteza hela
3. Kuongeza kodi zinazouwa biashara
4. Kuongeza matumizi ya serikali na kupunguza uwekezaji
5. kufanya uwekezaji uwe mgumu zaidi
6. Kuweka sera za kulazimisha bei ya bidhaa, sera ambayo inapunguza upatikanaji wa bidhaa hiyo
7. kutaifisha kampuni za watu
8. kushindwa kuleta haki kwenye uchaguzi wa zanzibar
9. kutumia jeshi la polisi kama wafuasi wake ili kunyamazisha upinzani
10. Kuongeza mahitaji ya serikali kwa kufanya elemu bule wakati hata madawati hayapatikani
11. kuingilia sekta ya benki
12. kuingilia sekta ya simu
na mengine mengi yapo lakini uwe specific wewe alichokufanya mpaka ukaandika
Tusubiri amri ya polisi ya kuzuia mkutano wao wa tarehe 23/07/2016 kwakuwa imetangazwa kuwa shughuli za kisiasa zisimame kutokana na intelijensia ya polisi kuona kuwa kutakuwa na uvunjifu wa amani. Sasa kama polisi wanatawanya na kuvunja hadi mikutano ya ndani kama ile ya mahafali ya wanafunzi itakuwaje waruhusu CCM kufanya mkutano wao mkuu?Let us be realistic.
Usitake kuidivert mada kama ilivyo kawaida yenu nyinyi buku 7 Lumumba sports Club.
Hapa suala ni Rais wa nchi anavunja Katiba ya nchi waziwazi kwa kuzuia shughuli zozote za kisiasa kwa vyama vya upinzani hadi mwaka 2020, wakati chama chake cha majipu kikiendelea kufanya shughuli za kisiasa bila kubughudhiwa na vyombo vya dola.
Hiyo ndiyo double standard ya hali ya juu inayofanywa na Jeshi letu la Polisi.
Sio peke yako mnaoamini kuhusu kishindo its a stage in ur dreaming brain called "denial"kwa serikali ya sasa blaza mlianza kwa kushindwa znz mkarudia but sumu sasa ipo mtaani and its spreading like a plague deep down nnchi is worsening msingekumbatia polisi hivi kama sio uwoga na kutojiamini "TRUTH HAS A WAY OF COMING OUT AND WHEN IT DOES EVERYTHING CHANGES".Unaelewa maana ya "ushindi wa kishindo"?
Kama huelewi soma jina la Chama chake. M inamaanisha nini?
Nyinyi nendeni na kapigeni kura, wenyewe wanae kivuitu. Kivuitu never lies, neither does he dissappoint anybody.
Angalia video na sikiliza dakika ya 4 - 4:40 utaelewa.
Sisi ndio tupo kwenye idara za kutoa fursa. Sisi ndio fursa.Nyie kaeni kulalamika humu JF Massa 24 badala kuchangamkia fulsa mnazoziona,mkijakushtuka mmeachwa.,serikali ni hii hii miaka 9 na nusu ijayo,kama hamuamini ENDELEENI kupiga debe humu,mkijakujifunika shuka kumekucha,always remember Time is Money and we always live once.
Inaonekana kuna mgongano kati ya tamko la rais na katiba ya nchi.Niongezee namba 13, kuzuia vyama vya siasa vya upinzani kutofanya shughuli zozote za kisiasa hadi mwaka 2020, akielewa fika kuwa huo ni uvunjaji wa waziwazi wa Ibara ya 3 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inasema nchi yetu itakuwa na mfumo wa vyama vingi, ambayo Mheshimiwa Rais wetu aliapa kuilinda na kuitii Katiba hiyo kwa uaminifu wake wote.....
Mkuu kuna dc mmoja kaachia ngazi labda unaweza pata hiyo nafasi.Nyie kaeni kulalamika humu JF Massa 24 badala kuchangamkia fulsa mnazoziona,mkijakushtuka mmeachwa.,serikali ni hii hii miaka 9 na nusu ijayo,kama hamuamini ENDELEENI kupiga debe humu,mkijakujifunika shuka kumekucha,always remember Time is Money and we always live once.
Hapo ndio linakuja lile neno lililo nenwa na lissu. Neno hilo ni Uchwara.Mkuu wanaongoza kwa ujinga hapa Tz ni hao PhD holder na maprof.
Mkuu umetiririka mpaka ukasahau ayaMlisema hivyo mwaka Jana October mpaka leo sijaona Hata mmoja wenu aliyekunya,wengi wenu mnaolalamikia utawala huu ni vijana mliozunguka mjini,asilimia 75 ya watanzania wanaishi vijijini,na wengi ni wakulima pamoja na watoto wao,Kwa wakulima wa kahawa,korosho,pamba,nyanya,Michele,miwa,matunda nk,wanapenda serikali hii kuliko serikali yoyote,maana wamepunguziwa kodi kibao na Maisha kwao yameboreshwa kuanzia ada mashuleni na madawati kila kona ya nchi na u serious kwa manesi wakienda hospitalini,unaviona ni vitu kidogo,ila Kwa makini ni Mwanga umulikao kilometa nyingi sana.,CCM ilipata wabunge 186 na UKAWA ni 35 (bila wale wa kuteuliwa),wengi wa hawa wa CCM walitoka vijijini,CCM ina matawi kila IATA na kijiji nchi nzima,na ndo nguvu kubwa ya wapiga kura walipo,. Mianya mingi ya uvujaji wa pesa imezibwa na madili mliyozoea hakuna tena,ndo kisa cha kushinda mnalalamika humu JF,ila kundi lenu ni dogo sanaaa,kwa mchapakazi na mkulima wa kipato halali wa miaka yote Mimi nikiwemo,hii serikali ni nzuri sanaaa,na ninaomba JPM akaze Uzi zaidi,Kwa waliozoea michongo ndo mnaendeleza kampeni 24/7 mkipeana moto kwenye mitandao mkidhani wa TZ wengi wanawasapoti kumbe ni wachache kuliko unavyodhani. Mwisho mgombea wenu wa UKAWA mwaka Jana September aliwahi kusema upinzani usipochukua dola 2015,itawachukua miaka 50 kuchukua dola sababu alimjua mtu anayekuja JPM akishinda atarudisha nidhamu iliyopotea miaka mingi nchini,kama Lile kundi nililokwambia mwanzo wakulima nk wanasonga vizuri kuliko miaka yote ya nyuma hizi kelele za upinzani Mara dikteta haina maana kwao sanasana ni kupoteza muda tu.Ushauri wangu vijana changamkieni fulsa,nendeni wizara ya viwanda na biashara Kuna michongo mingi sana,malalamishi humu yatawapotezea muda sanaa,mkijakushtuka too late,hayo mnaowaita mashujaa wa upinzani wapo kazi ni wanapewa ruzuku Hata wakilala rumande wanalipwa,ni hayo tu.
Kwel ka mkubw. Hatuna wasomi kabsa hao wanojiita wasomi ni wasomi uchwara tu amna lolote!!!!!!!!!Mkuu wanaongoza kwa ujinga hapa Tz ni hao PhD holder na maprof.
Waraka wa Mtikila una nini? Naomba utuwekee link.Rwanda inampa maujanja Mkulu.
Bila maombi na kuombewa na kupewa maujanja ya hapa na pale na nchi ya demokrasia kama Rwanda na mwanademokrasia Kagame Mkulu atapata wakati mgumu. Bila maujanja atawezaje kuwatumbua wadanganyika?
Rwanda ndio kila kitu kwa sasa.
Link Raisi Magufuli: UJANJA HUU NILIPEWA NA RAFIKI YANGU, KAKA YANGU PAUL KAGAME
Utafute waraka wa Mtikila.
Eti" Tanzania ndio kwanza inaanza", kana kwamba yule magufuli katoka chama kingine zaidi ya ccm. miaka 55 ya uhuru walikuwa wanatawala ccm. Ccm imeleta maendeleo uchwara.Maendeleo hayaji kwa ushabiki wa vijiweni. Jifunze mchakato ambao China ilipitia kufika hapo ilipo. Walioseme mchumia juani hulia kivulini si wajinga. Tanzania ndio kwanza imeanza safari ya kutoka utumwani Misri. Na ili kufika nchi ya ahadi ni lazima tuvuke jangwa kwanza. Sasa ninyi mnaotamani kurejea Misri kwa kuhofu jangwa poleni sana. Fanya kazi uishi, kwani imeandikwa asiyefanya kazi na asile!