Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nyie kaeni kulalamika humu JF Massa 24 badala kuchangamkia fulsa mnazoziona,mkijakushtuka mmeachwa.,serikali ni hii hii miaka 9 na nusu ijayo,kama hamuamini ENDELEENI kupiga debe humu,mkijakujifunika shuka kumekucha,always remember Time is Money and we always live once.
Wewe ndiyo wale wanaoishi.kwa maigizo
 
Saint Ivuga, wanasema ukitaka kuruka agana na nyonga.
Magufuli anataka kutuvusha tuianze safari ya kisiasa na kiuchumi ya Rwanda.
Ndio maana namuomba atuandae!
 
Sheiza, wewe ni kizazi gani?
Wewe hutaki kula kwa kijiko?
Unataka ule kwa nini?
 
Mafisadi wa nchi hii na makuwadi wao mmeshikwa pabaya. Mtatetea sana wakwepa kodi na hata wafanyakazi hewa.
Jpm endeleea kunyoosha nchi.
 
yani uwe specific nini ameanza kuna mengi ukianza kutoka kwenye

1. Kuharibu biashara bandarini
2. kuongeza wizara zinazo poteza hela
3. Kuongeza kodi zinazouwa biashara
4. Kuongeza matumizi ya serikali na kupunguza uwekezaji
5. kufanya uwekezaji uwe mgumu zaidi
6. Kuweka sera za kulazimisha bei ya bidhaa, sera ambayo inapunguza upatikanaji wa bidhaa hiyo
7. kutaifisha kampuni za watu
8. kushindwa kuleta haki kwenye uchaguzi wa zanzibar
9. kutumia jeshi la polisi kama wafuasi wake ili kunyamazisha upinzani
10. Kuongeza mahitaji ya serikali kwa kufanya elemu bule wakati hata madawati hayapatikani
11. kuingilia sekta ya benki
12. kuingilia sekta ya simu

na mengine mengi yapo lakini uwe specific wewe alichokufanya mpaka ukaandika
Bora ungenyamaza tu sio kutuletea ukilaza humu. Hivi kabla ya makufuli si mlikuwa mnatukaririsha eti MFUMO ndio tatizo. Mkataka KATIBA Mpya ambayo kimsingi na mapendekezo ya wengi ingeziba mianya ya rushwa, kuongeza uwajibikaji na,haki na maendeleo ya demokrasia.mfumo mbovu unazaa yote hayo ambayo makufuli anayafanyia kazi. Kwa sisi wenzangu na mie wenye akili za mwendokasi wenye kukariri Kila tunachoambiwa alimradi kasema MBOWE, au mbatia Hatuwezi kuelewa hadi tutakapoona mabadiliko ktk Huduma za jamii na maendeleo ya uchumi. Huko kwenye mabenki, bandari na Maeneo yote uliyoyaorodhesha ndiko kulikuwa kumeoza. Mkuu Acha kukaririshwa Kama zuzu fulani.
 
Binafsi sijui unachofanya.
Sioni dalili za taifa kupiga hatua.
Naona idadi ya wanaokutetea na kukushabikia ikipungua.
Naona kama ni wakati wa kuomba kwamba, ' baba,kama ikikupendeza,kikombe hiki nisikinywe ila kama sio mapenzi yako yatimizwe'.
Ndugu yangu jipime, mtaani kila mtu analia kasoro Lizaboni,jingalao,Faiza fox,1954,mudawote,DuppyConqueror na wanao fanana na hao.
Ila mkuu, hii namba tumeshaisoma.
Tusamehe baba.
Turudishie nchi yetu!
Mheshimiwa rais, naomba kesho nisiitwe polisi, naomba nisizingirwe, Mkuu sina millioni saba.
Utachangiwa milioni 7!
 
Tanzania yangu hizi phd(permanent head damage)..na usomi wote hausaidii hii nchi kwenda mbele.. kwamba watu wameweka masilahi..yao binafsi na ya vyama..mbele zaidi kuliko nchi... cha zaidi Wananchi wananchi kuumizwa...kwa maamuzi ambayo hayana upeo wa kuunganisha watanzania..bika kujali..itikadi...kwa nchi hii ni janga kubwa .. mungu ibariki Tanzania na watu wake ...
 
Kuna pressu kubwa sana ya ndani kwenye mifumo! Ndio maana anasisitiza kuombewa! Ameshapewa info zote jinsi uprising ilivyosukwa toka kwa ndugu wa baba kambo kama angetumbua Lugumi na Dr Msomi sana wa Darajani.....!!amestuka! Angekwenda na maji!!! Angalau busara imemfikia akakubali ushauri!
 
Jmc06, Magufuli akishinda 2020 najisaidia mafungu mafungu kutoka Mwanza hadi Dar.
Wewe ongelea hii mitano kama atatoboa!
Anza kujisaidia

Maana kama kawaida yenu hamjui , baada ya miaka 2 mtageuzwa vipi
 
Jmc06, Magufuli akishinda 2020 najisaidia mafungu mafungu kutoka Mwanza hadi Dar.
Wewe ongelea hii mitano kama atatoboa!
Hahaha utakula chakula gani chakukuwezesha kuachia hivyo vitu mafungumafungu?anyway mkuu usiongee hivi tena .,kwa dalili zinavyo onekana vyama vya siasa vya upinzani vitapozwa na kunabaadhi vitakufa kabisa,kwahiyo uchaguzi 2020 unaweza kuwa kama ule wa marudio wa Znz na chama cha wenyewe kikashika hatamau tena kwa ushindi unaoitwa mnono more than 90% ,lakini wapinzani wakuu walikuwa nje ya ushindani,basi ndivyo nionavyo 2020.
 
Ahadi kubwa kila kona ilikua ni wanafunzi kupata mikopo kwa wakati ila naona humu jf vijana wa bugando wanalalamika hazina hawana fedha hivyo wanatoa kwa awamu.

Au wafadhili wamegoma ila mnafanya siri?
 
yani uwe specific nini ameanza kuna mengi ukianza kutoka kwenye

1. Kuharibu biashara bandarini
2. kuongeza wizara zinazo poteza hela
3. Kuongeza kodi zinazouwa biashara
4. Kuongeza matumizi ya serikali na kupunguza uwekezaji
5. kufanya uwekezaji uwe mgumu zaidi
6. Kuweka sera za kulazimisha bei ya bidhaa, sera ambayo inapunguza upatikanaji wa bidhaa hiyo
7. kutaifisha kampuni za watu
8. kushindwa kuleta haki kwenye uchaguzi wa zanzibar
9. kutumia jeshi la polisi kama wafuasi wake ili kunyamazisha upinzani
10. Kuongeza mahitaji ya serikali kwa kufanya elemu bule wakati hata madawati hayapatikani
11. kuingilia sekta ya benki
12. kuingilia sekta ya simu

na mengine mengi yapo lakini uwe specific wewe alichokufanya mpaka ukaandika


Hapo umemaliza
 
JPM songa mbele wakati huu ni wa kusafisha njia majeruhi ni wengi lakini mimi naona tanzania ya asali na maziwa inakuja mbele yetu. Siyo lazima kila mtu akupenda. Hata mungu wa upendo anachukiwa na wengi kuliko wanaompenda ndiyo maana laana maafa vimbunga tsunami hazipungue dunian. Kama unaona tz pagumu jaribu rwanda kudadaki
 
yani uwe specific nini ameanza kuna mengi ukianza kutoka kwenye

1. Kuharibu biashara bandarini
2. kuongeza wizara zinazo poteza hela
3. Kuongeza kodi zinazouwa biashara
4. Kuongeza matumizi ya serikali na kupunguza uwekezaji
5. kufanya uwekezaji uwe mgumu zaidi
6. Kuweka sera za kulazimisha bei ya bidhaa, sera ambayo inapunguza upatikanaji wa bidhaa hiyo
7. kutaifisha kampuni za watu
8. kushindwa kuleta haki kwenye uchaguzi wa zanzibar
9. kutumia jeshi la polisi kama wafuasi wake ili kunyamazisha upinzani
10. Kuongeza mahitaji ya serikali kwa kufanya elemu bule wakati hata madawati hayapatikani
11. kuingilia sekta ya benki
12. kuingilia sekta ya simu

na mengine mengi yapo lakini uwe specific wewe alichokufanya mpaka ukaandika
aisee..hatari sana
 
JPM songa mbele wakati huu ni wa kusafisha njia majeruhi ni wengi lakini mimi naona tanzania ya asali na maziwa inakuja mbele yetu. Siyo lazima kila mtu akupenda. Hata mungu wa upendo anachukiwa na wengi kuliko wanaompenda ndiyo maana laana maafa vimbunga tsunami hazipungue dunian. Kama unaona tz pagumu jaribu rwanda kudadaki
hahaha. ...aiseee...ukiwa poa utapendwa tuu
 
Mkuu ulichokianza unakijua mwenyewe.
Unapotaka kutupeleka unakujua mwenyewe.
Ila sisi tunapambana kila siku tuijue kesho yetu.
Mkuu unatuua, tuache tu tuishi kivyetu na wewe uishi na mawazo/ maono yako.
Asante.
Stresss!Tiini mamlaka haiwezekani nchi iendeshwe hobela hobela nyie ndio mnaopanga nyanya hadi barabarani kisa hii nchi ni yetu,ukishauza hizo nyanya kodi hulipi
 
Nyie kaeni kulalamika humu JF Massa 24 badala kuchangamkia fulsa mnazoziona,mkijakushtuka mmeachwa.,serikali ni hii hii miaka 9 na nusu ijayo,kama hamuamini ENDELEENI kupiga debe humu,mkijakujifunika shuka kumekucha,always remember Time is Money and we always live once.
Ebu tuambie hizo fursa unazoziona wewe wakati huu wa mdorolo wa uchumi
 
Hakukuwa na Lazima kukataa safari za nje, hata zile zinazolipiwa na wafadhili au zile zenyekuhitaji taaluma fulani.
Hakukuwa na lazima ya kuruhusu polisi waue majambazi hadharani.
Hakukuwa na lazima ya wewe kushikilia mhimili wa bunge.
Hakukuwa na lazima ya wewe kutoa katazo ya sukari kutoka nje.
Nini kilifanya uwatusi wanafunzi wa udom hata baada ya kuwatesa.
Nini kinafanya uongee hovyohovyo bila kusoma hotuba.
Mkuu, unakataje kodi direct kutoka kwenye account ya kampuni?
Mkuu haueleweki, tusamehe mkuu. Tuachie nchi yetu.
ewe baba utusikie,mapenzi yako yatimizwe,aaaamen..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom