Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Mmeumbuka. Njama zenu zimegundulika.
Mnamtegeneza Membe awe Rais wenu sio?
Ningemwomba Mh. Msiba kama ana audios au clips za hao wahujumu atoe mitandaoni ili wananchi wawasikie au kuwaona wanavyo arrange milango yao.
Mr Msiba well done! Watanzania wako nyuma yako.
Wakoloni walijenga miundo mbini chugunzima na hasa ya barabara lkn babu zetu walinyanyua silaha kuwafurusha sasa hata magu pamoja na yote hayo bado ataonekana hajafanya kitu kama hajahangaika na mirad inayogusa maisha yatu wa kipato cha chini ni magumu sana asee"Lakini mpaka leo miaka 3 sijaona chochote cha maana alichofanya, zaidi ya kupambana na wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama, kufanya biashara ya binadamu kama kununua wabunge kwa dhana ya kumuunga mkono"....... kweli hujaona chochote hi miaka mitatu? Wewe muongo, Dreamliner, SGR, flyover ya Tazara, stingler elimu bure Chato airport, nk
Kauli ya stahaHuyu membe mmempendea nini?
Sijawai kumpenda fisadi yoyote inchi hii. Sio membe sio jiwe. Haya nijibu huyo membe mmempendea nini halafu mbona gafla au kawaongezea posho kutoka bk7 mpaka 8?Wewe jiwe umempendea Nini? Kwanza tuanzie hapo mkuu...
Basi acha kutetea wanyonyaji wenye roho mbayaUpande wa Mungu!
Ana kauli za busara kama aliekua boss wake jk.Kauli ya staha
Sijawai kumpenda fisadi yoyote inchi hii. Sio membe sio jiwe. Haya nijibu huyo membe mmempendea nini halafu mbona gafla au kawaongezea posho kutoka bk7 mpaka 8?
Mmeumbuka. Njama zenu zimegundulika.
Mnamtegeneza Membe awe Rais wenu sio?
Ningemwomba Mh. Msiba kama ana audios au clips za hao wahujumu atoe mitandaoni ili wananchi wawasikie au kuwaona wanavyo arrange milango yao.
Mr Msiba well done! Watanzania wako nyuma yako.
Kauli pekee hazimfanyi mtu kuwa kiongozi Bora.Ana kauli za busara kama aliekua boss wake jk.
uzi umeishia hapaNitaruka mto nikiufikia.
Kwa sasa namuunga mkono Mh. Rais alozie muda wake 2020 ndio nitasema jambo mana ni mwaka wa uchaguzi.
Kwa sasa ni wakati wa kumsaidia ili kama kuna panapoharibika pasiharibike zaidi au kama kuna pazuri pawe pazuri zaidi.
uzi umeishia hapaNitaruka mto nikiufikia.
Kwa sasa namuunga mkono Mh. Rais alozie muda wake 2020 ndio nitasema jambo mana ni mwaka wa uchaguzi.
Kwa sasa ni wakati wa kumsaidia ili kama kuna panapoharibika pasiharibike zaidi au kama kuna pazuri pawe pazuri zaidi.
Lakini bado mnawanunua kila siku na kuwapa vyeo, Mbona mnajichanganya?Dah hivi wapinzani mpo serious kweli? na mna mpango wa kuongoza nchi? kwa siasa hizi za kitoto toto
Mbuni hiiKwa hiyo ulitaka usaidiwaje sasa? 2020 piga kura vinginevyo kama umemchoka!