Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Subiri 2020 uzungushe mikono.
 
Word bank, Dermark, wamesitisha misaada na uhusiano rasmi
Kinachifuata ni nchi za Scandinavia, Umoja wa ulaya, UK, na USA
 
Jiwe kafulia mbinu. Mbinu zake zote hata watoto wa chekechea washazistukia
 
Urais pamoja na ukali wa kiongozi unahitaji busara kuamua vitu ili taifa lisiingie pabaya
Kichaa busara hana na hataki kukaa na wenye busara
 
Tangu rais magufuli aingie madarakani,yeye na watendaji wake wamekuwa ni watu wa kukurupuka na ubabaishaji .mifano ni mingi mno tena mifano ya wazi wazi,maDC na maRC wamegeuka kuwa ndio wabunge na madiwani.wao wamegeuka kuwa wasikiriza kero za wananchi kuliko wawakilishi wa wananchi(wabunge na madiwani).aidha, mawaziri nao pia badala ya kutumia taaluma zao sasa hivi ni kufanya siasa bila aibu.wahamiaji ccm wamegeuka kuwa black mamba.Hitimisho, ndugu watanzania woote wazalendo wa kweli, serikali hii ya wasaka tonge mwisho 2020 otherwise,tutazidi kuangamia.
 
Wewe lazima utakuwa ni fisadi , mwizi au jamabazi na pia ulikuwa unafadiak kipindi cha chukua chako na sasa hizo dili hakuna maisha yamekubana maana haujazoea kula kwa jasho na kazi huwezi , chapa kazi maana asiyefanya kazi na asile.
 
Wasaka tonge utawajua tu.hizo buku 7 za Lumumba zutaisha tu.
Wewe lazima utakuwa ni fisadi , mwizi au jamabazi na pia ulikuwa unafadiak kipindi cha chukua chako na sasa hizo dili hakuna maisha yamekubana maana haujazoea kula kwa jasho na kazi huwezi , chapa kazi maana asiyefanya kazi na asile.
 
Maskini hujui hata ulichoandika!
 
Msimuonee Baba wa watu, hata yeye alishasema amesukumiziwa tu akajikuta yupo huko.

Lakini mbona kila kukicha kuna watu wanamtembelea ofisini na kumsifia anafanya kazi nzuri? Miongoni mwao viongozi watangulizi wake, imeenda mbali zaidi baadhi ya wapinzani wamediriki kuhama vyama vyao kuunga mkono ufanisi na utendaji kazi wake, hao wote wanatupotosha?
 
Wanaoenda ccm sio viongozi wa wananchi Bali ni viongozi wa familia zao.ndo maana wakipewa cheo wanakosa ushirikiano na wananchi.mfano mbunge wa kinondoni hana ushirikiano na wananchi.
 
Wew unafahamu nini zaid ya buku 7??
Acha kutapatapa, zingatia ulichoandika. Je, unajua majukumu ya kazi za ma RC na DC?
Tatizo lenu watoto wa siku hizi mnajiingiza kwenye siasa wakati siasa bado hamzijui. Zingatia masomo kijana, yatakusaidia siku za usoni
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…