Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
[emoji116]
tapatalk_1544299120592.jpeg
 
Jiwe sio kwamba Ana madhaifu hapana,ila hawezi uongozi kabisa,yaani zero kabisa ila yeye kwa akili yake anaona anachapa kazi kweli
Ukiona mtoto yupo bize na kujipikilisha mchanga utadhan utajua kabisa Mwanangu anaecheza...na ni sahihi ..lakini yeye anajua anapiga kazi akikua atajistukia ......lakini huyu naona akili imestuk mahala
 
Wewe lazima utakuwa ni fisadi , mwizi au jamabazi na pia ulikuwa unafadiak kipindi cha chukua chako na sasa hizo dili hakuna maisha yamekubana maana haujazoea kula kwa jasho na kazi huwezi , chapa kazi maana asiyefanya kazi na asile.
Alie like hii comment anamatatizo
 
Tofatuti na mtangulizi wake, yye anatumia nguvu nyingi akili kisoda.
Hivi unafikili ukitoa kodi kwa wajisiliamali ambao ana mtaji usiozidi mil 4 ndo utapendwa. Toa ajira ndo suruhisho. Mwenzio alikuwa anakomba madaktari na walumu wote kila mwaka anawaajiri wote na hakukuwa na drama za kufungua mikutano kila siku.
Tatizo unataka kukimbia sana wakati hata kutembea vimekushinda watu wanalia mtaani kila siku graduates wnaongeka hakuna kinachoendelea tofauti na mtangulizi wako ambaye alikuwa na strategies kibao.
Huwezi kuwaambia graduates wote wakawe wajasiliamali halafu uwabanie kwenye mitaji chini ya mil 4 zaidi ya hapo waanze kuwindwa na migambo.
Kwa nini unawafukarisha watanzania kiasi hiki?
Haki ya mungu nakwambia tutakuja kupigana mapanga we ngoja tu.
Sasa hivi ukizunguka mtaani utawaonea huruma watu walichanganyikiwa na maisha.
Mzazi hayuko proud tena na kumsomesha mwanae anaona ni kupotez mda tofauti na enzi za jk ambao ukigraduate tu udaktari au ualimu basi ajira ni uhakika
 
Tofatuti na mtangulizi wake, yye anatumia nguvu nyingi akili kisoda.
Hivi unafikili ukitoa kodi kwa wajisiliamali ambao ana mtaji usiozidi mil 4 ndo utapendwa. Toa ajira ndo suruhisho. Mwenzio alikuwa anakomba madaktari na walumu wote kila mwaka anawaajiri wote na hakukuwa na drama za kufungua mikutano kila siku.
Tatizo unataka kukimbia sana wakati hata kutembea vimekushinda watu wanalia mtaani kila siku graduates wnaongeka hakuna kinachoendelea tofauti na mtangulizi wako ambaye alikuwa na strategies kibao.
Huwezi kuwaambia graduates wote wakawe wajasiliamali halafu uwabanie kwenye mitaji chini ya mil 4 zaidi ya hapo waanze kuwindwa na migambo.
Kwa nini unawafukarisha watanzania kiasi hiki?
Haki ya mungu nakwambia tutakuja kupigana mapanga we ngoja tu.
Sasa hivi ukizunguka mtaani utawaonea huruma watu walichanganyikiwa na maisha.
Mzazi hayuko proud tena na kumsomesha mwanae anaona ni kupotez mda tofauti na enzi za jk ambao ukigraduate tu udaktari au ualimu basi ajira ni uhakika
Ajira IPO white colorjob au kz kwa maana ya fursa na uwezeshaji
 
Hizi mambo ndio tunazitaka, sio hao wanaoleta uongo hapa jukwaani

Magufuri ana mapungufu mengi sana na hili la ajira ni moja wapo

Hili suala la ajira litamwondoa magufuri endapo wapinzani watacheza mchezo kwa akili.
 
Sasa hivi kila mtu au watu waliowengi wameamua kuokoka ili tu kuanzisha vijikanisa ili wazichange kupitia sadaka. Ukiona kijana anasema nimeoka jua mambo yamekua magumu anatafuta pa kutokea tu
 
Wadau nmekaaaa nkajifikiria sana jamani hali ya kiuchumi ni mbaya balaaa au nyie wenzangunmnaonaje hii hali manake mambo magumu jamani ila au nikwangu tu ama ebu tubadiloshane mawazo ukumbuke kwamba biashara kwa sasa ningumu ,nmetafakari nisepe Kenya ,dah! Ebu dondosha comment tufanye nn manake naona kama ntafikisha miaka 28 mda cyo mrefu afu hakuna lamaana ,,,,
 
Anafosi sana aonekane ni mtu mwema shida ni kwamba hana uwezo wa kuongoza chochote maana kila alipoingilia kati mambo yamekua mabaya zaidi mfano makinikia, korosho, sukari, tetemeko kagera kila sehemu huyu mtu anaharibu yani dunia imemkataa kweli kweli yani
 
Sasa hivi kila mtu au watu waliowengi wameamua kuokoka ili tu kuanzisha vijikanisa ili wazichange kupitia sadaka. Ukiona kijana anasema nimeoka jua mambo yamekua magumu anatafuta pa kutokea tu

Mafao wamefyeka

FAO LA kujitoa
 
kwanini unamchagulia mambo ya kufanya? Subirini nanyi mtoe Rais mfanye mtakavyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom