FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Aisee..., ila mbona Diamond maisha yake mazuri tu, kama vp kuwa msanii, tafuta kiki tuWengine tumegonga 67 hamna kitu.... wewe 28 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..., ila mbona Diamond maisha yake mazuri tu, kama vp kuwa msanii, tafuta kiki tuWengine tumegonga 67 hamna kitu.... wewe 28 tu
Huwa sipendi kuishi kama fulani... be uniqueAisee..., ila mbona Diamond maisha yake mazuri tu, kama vp kuwa msanii, tafuta kiki tu
South Africa nayo ni serikali hiyo? Haina tofauti na serikali ya Magufuli....kila kitu kibovu, walipokuwa wanatawaliwa na wachache angalau walikuwa na adabu na heshima..Wazri wa mambo ya nje ya Afrca kusini wanakotoka aliwachoma vizuri tu mbona.Huko waliko watakuwa hawana hamu na Tanzania
SISI NDIYO WAAJIRI WAKE....ALITUOMBA KURA AFANYE YALE TUNAYOONA YANAFAA. TUNAMLIPA KWA KODI ZETU. HAFANYI YALE ALIYOYASEMA HIVYO HASTAHILI.kwanini unamchagulia mambo ya kufanya? Subirini nanyi mtoe Rais mfanye mtakavyo
Gwajima mwenyewe tayari kashaekwa mfukoni
Km unaimaniAaaah wapi. Wale wenye kuamini vitabu vitakatifu zinadai nyakati za mwisho watu watapata taabu sana.
Someni vitabu vitakatifu.
Km unaimani
Kila kona ni vilio dhidi ya utekaji, uonevu na hata mauaji ukiachia mbali hali ngumu ya uchumi.
Bila shaka Mungu atafanya maajabu yake. Kiini cha manun'guniko kitasambaratika. Mungu ataifanya nafsi ya huyu kupata tabu ya ndani kwa ndani na hatimaye kitoweka kutoka katika uso wa dunia kimaajabu.
Hakika mfalme jiwe anaombewa kufa na watu anaowaongoza. Watu wamechoka