Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
.Wazri wa mambo ya nje ya Afrca kusini wanakotoka aliwachoma vizuri tu mbona.Huko waliko watakuwa hawana hamu na Tanzania
South Africa nayo ni serikali hiyo? Haina tofauti na serikali ya Magufuli....kila kitu kibovu, walipokuwa wanatawaliwa na wachache angalau walikuwa na adabu na heshima.
 
kwanini unamchagulia mambo ya kufanya? Subirini nanyi mtoe Rais mfanye mtakavyo
SISI NDIYO WAAJIRI WAKE....ALITUOMBA KURA AFANYE YALE TUNAYOONA YANAFAA. TUNAMLIPA KWA KODI ZETU. HAFANYI YALE ALIYOYASEMA HIVYO HASTAHILI.
 
Viongizi wa dini hawaoni kabisa. Nani alishaongelea swala la lisu, ben saanae, azori n.k. mbona viongozi wa dini mmekuwa wanafiki hivyo! Igeni maaskofu au mapadre wa congo Drc.
Anayejitahidi kidogo ni gwajima tu wengine wanafurahi waumini wao kupigwa risasi na kunyanyaswa
 
Viongozi wa dini walishapewa bahasha zao...wametuacha tukiwa peke yetu machinjioni
man_earnestly_praying-transparent.gif

Lord help us.
 
Kila kona ni vilio dhidi ya utekaji, uonevu na hata mauaji ukiachia mbali hali ngumu ya uchumi.

Bila shaka Mungu atafanya maajabu yake. Kiini cha manun'guniko kitasambaratika. Mungu ataifanya nafsi ya huyu kupata tabu ya ndani kwa ndani na hatimaye kitoweka kutoka katika uso wa dunia kimaajabu.

Hakika mfalme jiwe anaombewa kufa na watu anaowaongoza. Watu wamechoka
 
Aaaah wapi. Wale wenye kuamini vitabu vitakatifu zinadai nyakati za mwisho watu watapata taabu sana.

Someni vitabu vitakatifu.
 
Kenya alikatwa mkono na kuuawa halafu waliopelekea hayo wakaishia kupeana mikono na kunywa chai ya pamoja.
 
Kila kona ni vilio dhidi ya utekaji, uonevu na hata mauaji ukiachia mbali hali ngumu ya uchumi.

Bila shaka Mungu atafanya maajabu yake. Kiini cha manun'guniko kitasambaratika. Mungu ataifanya nafsi ya huyu kupata tabu ya ndani kwa ndani na hatimaye kitoweka kutoka katika uso wa dunia kimaajabu.

Hakika mfalme jiwe anaombewa kufa na watu anaowaongoza. Watu wamechoka

Mtoto anapoachishwa ziwa aanze chakula kingine huwa lazima atowe machozi kwa muda mrefu, akizoeya tu hawezi kunyonya tena, wala ladha ya titi la mama halitaki tena " vivyo hivyo watanzania walizoeya michongo, fraud za kila aina, wizi, forgery, rushwa, utapeli sasa hivi unakula kwa jasho" hapo lazima hiyo jamii au kikundi wanung'unike. baadaye watazoeya na kurudi kwenye mstari.
 
Endeleeni kujipea moyo na kujidanganya, utarudi nairobi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom