Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwahio??Kenya alikatwa mkono na kuuawa halafu waliopelekea hayo wakaishia kupeana mikono na kunywa chai ya pamoja.
Tunaomba hicho kibaya kije haraka kwa baraka za mwenyezi MunguKila kona ni vilio dhidi ya utekaji, uonevu na hata mauaji ukiachia mbali hali ngumu ya uchumi.
Bila shaka Mungu atafanya maajabu yake. Kiini cha manun'guniko kitasambaratika. Mungu ataifanya nafsi ya huyu kupata tabu ya ndani kwa ndani na hatimaye kitoweka kutoka katika uso wa dunia kimaajabu.
Hakika mfalme jiwe anaombewa kufa na watu anaowaongoza. Watu wamechoka
UchafuKila kona ni vilio dhidi ya utekaji, uonevu na hata mauaji ukiachia mbali hali ngumu ya uchumi.
Bila shaka Mungu atafanya maajabu yake. Kiini cha manun'guniko kitasambaratika. Mungu ataifanya nafsi ya huyu kupata tabu ya ndani kwa ndani na hatimaye kitoweka kutoka katika uso wa dunia kimaajabu.
Hakika mfalme jiwe anaombewa kufa na watu anaowaongoza. Watu wamechoka
Hahaha! Tangu lini ukachemsha maji yakatokota haswaa halafu ukayaipua yakaacha kurudi kuwa baridi? Ulionawapi. Ushawishi huzaa matokeo chanya na endelevu zaidi kuliko kulazimisha na mabavu, mila, tamaduni, desturi na mazoea havujengwi kwa amri bali ushawishi nankwa muda mrefu sana, vizazi 3 mpaka 4 watu wanabadilika, kwa sasa wengi wameficha makucha tu!!Mtoto anapoachishwa ziwa aanze chakula kingine huwa lazima atowe machozi kwa muda mrefu, akizoeya tu hawezi kunyonya tena, wala ladha ya titi la mama halitaki tena " vivyo hivyo watanzania walizoeya michongo, fraud za kila aina, wizi, forgery, rushwa, utapeli sasa hivi unakula kwa jasho" hapo lazima hiyo jamii au kikundi wanung'unike. baadaye watazoeya na kurudi kwenye mstari.
Aisee, isije ikawa kapotezwa!!Mwanzisha mada yupo wapi maana naona Last seen march 2018?
Huu ni uzi bora Kabis unaochambua jamaa mapema kabisa baada ya kukalia kiti ma ni bora kati ya nyuzi za mapema kabisa.... Ila jamaa yupo kimya
Kuna "Bad card ya Bob Marley"Nimekumbuka Kekundu kekundu.
Jarcarhire katuingiza "MKENGE".Kuna "Bad card ya Bob Marley"
πππππBinafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo tu.