Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....

HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
Hakuna lolote ndoto za alinacha
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Sasa a sikusumbui kututuhangaisha mara tufanye mara hakuna Sukari atupisheee aendelee c ha ma sio nji Maana yupo ajili ya kulingana Chama chenu huku anatutaabisha[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Nchi ya JPM inajengwa kwenye vyombo vya habari,serikali inahubiri mambo mazuri kupitia vyombo vya habari lakn kwenye uahalisia mambo hayaendi;mf ishu ya sukar bei elekezi ni ndoto,raia tunazid kuteseka,sukari bei juu,
Elimu bure ndio hovyo kabisa,mashuleni mambo hayaendi,wakurugenz na maafisa elimu wanashindwa kumweleza Mh. Magu ugum na changamoto kwa hofu ya kutumbuliwa jipu na kuonekana wanagomesha agizo,..
Mpaka sasa nchi haieleweki inaelekea wapi,sana sana ni shida tu znazid kuongezeka uraiani..
 
Watanzania tuna akili fupi sana ndo maana hatusonge mbele kama taifa na mtu mmoja mmoja, maada ni nzuri inawweza kutusaidia kuibua njia mpya za kumsaidia rais kama ushauri, mtoa mada hana nia mbaya na rais bali anajaribu kutushirikisha tuangalie mwelekeo wa sisi kama taifa, kwa hiyo tuache kumkebehi tuchangie mada kwa mtazamo chanya kwa kutoa michango na ushauri wa kujenga taifa.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] Kuna watu wanataka magufuli aonekane mungu mtu Wakati ni binadamu anayefikiri kama Sisi na ambaye Anakose a sana Tu hawataki aambiwe.... Wanamfananisha na lowasa na mbowe na lisu [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] maboguz
 
Leo mzee kingunge ana nguvu na ushawishi Mkubwa mbele ya nyumbu ,kuliko Katibu mkuu Dr Mashinji !!!
 
kwa upande wangu hata mimi sielewi muelekeo wa muheshimiwa mkuu wa kaya, but nafikiri tumpe muda labda tunaweza kuona mabadiliko kadhaa...
Nashauri tumpe muda kidogo.
 
Mnaodai hamzungushi mikono tuambieni tunaelekea wapi kiuchumi? Binafsi najaribu kumsoma sielewi hata taifa la viwanda hakuna hatua zozote za tofauti za kumjulisha mtu kwamba tunaelekea kwenye viwanda,tupotupo tu
Viwanda vinajengwa kwa mda wa miezi 6?.tumia akili usitumie ubongo wa matope.Fanya Kazi lipa kodi.somesha familia yako iwe fresh hayo ni sehem ya nchi kukua kiuchumi.
 
Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Acha kurukaruka kama Popcorn ikiwa jikoni...Jamaa haelewi amekuja kuuliza humu kwa wanaoelewa Inaonekana wewe unaelewa Nchi inakoelekea Msaidie jamaa...
 
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....

HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
We we MTU huu sio wakati wa Kampeni acheni Upumbavu
 
kwa upande wangu hata mimi sielewi muelekeo wa muheshimiwa mkuu wa kaya, but nafikiri tumpe muda labda tunaweza kuona mabadiliko kadhaa...
Nashauri tumpe muda kidogo.

Muda gani apewe? Anataka kukata mwaka huyu eti!!

Tatizo anadhani kuongoza watu wanaokaribia milioni 50 na nchi yenye kilometa za mraba zaidi ya 900,000 ni mchezo!!

Anadhani anaongoza wale wa kupachikiwa milioni 8 anaodhani walimpa kura!!

Amini usiamini 2020 itagonga ngooo huku hadithi zikiwa hizi hizi za apewe muda...apewe muda huku majipu yakiibuka mengine na haya yaliyotumbuliwa yakiwa yamejihuisha!!

Siasa na wanasiasa wa Tanzania ni shiiida tupu...!!
 
Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Viwanda vilikufa baada ya serikali kuja na sera ya kujiondoa kwenye biashara na kuvitelekeza sasa bado ile sera ipo hivyo viwanda vitakua na usimamizi upi ?mkakati wa kufufua nani atakae husika pia ukiangalia bajeti haionyeshi mwelekeo,sukari kabla ilikua 2000 kwa kilo leo sh 3000 sembe 1000 kwa sasa 1200-1500 ugumu wa maisha umeongezeka sasa wewe chekelea kwa kuwa kwako maisha mazuri ni lazima ukalie ushabiki
 
Muda mwingine unaweza kuonyesha uwerevu lakini kupitia uwerevu wako ujinga wako pia ukaonekana, hivi Dkt Magufuli tangu aingie madarakani alikua anaenda na bajeti aliyoiandaa au aloandaa Kikwete? Tabia za namna hii haitusaidii sisi kama watanzania, hata kama aumpendi jitahidi kupima kwa haki, nafikiri unafuatilia bunge la bajeti na kilichomo unakiona hapo ndo tuanzie, nchi haiendeshwi wewe unavyotaka bali Rais anavyoona inafaa muda wa kupima anafanikiwa au la bado aujafika kupitia bajeti hii tutaweza kupima ni kwa kiasi gani Rais anafanikiwa lakini hii tabia ya kumkatisha tamaa Rais haifai ni tabia za watu wenye husuda na zaidi wamejaliwa wanawake kuwa nazo nchi ikiyumba sio yeye Rais atakayeteseka bali ni sisi wananchi, ni jukumu letu kukosoa pale palikosewa na kuonyesha njia sahihi ya kupita lakini kukosoa tu bila kuonyesha nini kilitakiwa kifanyike hiyo ni tabia ya kike
Kwanza sio sahihi kuamini kwamba Rais ana akili nyingi kupita wananchi wake....Kwa sheria zetu time ndio inayoamua nani atawale...Nikweli kwa sasa bado hajawa na Bajeti yake anatumia ya awamu iliyopita!,,,,,,nikweli kwamba muda aliokaa madarakani hautoshi kujua kama anafanikiwa au lah...Kwanini baadhi ya watu wanaaminisha watu Magufuli ndio Mwarobaini wa Nchi hii
 
Watu hawafanyikazi kwa masaa yawapasayo kuwa kazin.au hafanyi kabisa wanataka vya kudandia tuu.maisha ya sasa piga Kazi usiangalie eti serikali ikuwezeshe.wewe nchi yako umeifanyia nn?.watu mlishazoea wizi makazin .kupeana Kazi kindugu ..kupata Kazi kwa cheti feki.kwa maisha ya sasa lazima yawasumbue.hvyo tafuten mbinu mpya.hata mtoto wa baba jambazi pindi baba yake auliwapo kwa ujambazi huwalaum saanaaa hao walio muua babayake.
 
Watu hawafanyikazi kwa masaa yawapasayo kuwa kazin.au hafanyi kabisa wanataka vya kudandia tuu.maisha ya sasa piga Kazi usiangalie eti serikali ikuwezeshe.wewe nchi yako umeifanyia nn?.watu mlishazoea wizi makazin .kupeana Kazi kindugu ..kupata Kazi kwa cheti feki.kwa maisha ya sasa lazima yawasumbue.hvyo tafuten mbinu mpya.hata mtoto wa baba jambazi pindi baba yake auliwapo kwa ujambazi huwalaum saanaaa hao walio muua babayake.
Tell them... these demented people hamnazo kabisa..
 
Hivi ni sehemu gani, jf, au mitandao mingine naweza pata hoja na mada zinazojibiwa Wa hoja. Maana inaonekana kama huwa kuna watu wanatumwa kujaribu kila mjadala sijuini kwa faida ya nani.

Nitarudi bdae
Mkuu waombe MODS wakuunge kule kwenye Jukwaa la GT kule wapumbavu...hawaingii hata kama MTU ana mihemko ya chama chake anabaki nayo moyoni lkn huku ni matatizo plus
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Unaanza kumkana jamaa yako aliyesema anataka kuifanya Tanzania ni nchi ya viwanda na donor country!!Chama cha mabozo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom