Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
umesema hatujui tatzo la sukari litamalizwa kwa kuboresha viwanda ,kuongeza uzalishaji wa miwa,kuagiza kutoka nje ama kuvamia magodaun ya watu?

sasa wewe ukiwa kama mtanzania katika hizo njia ulizosema apo we kama wewe unafikri ipi inafaa? nijibu kwanza ndo tuendelee na mjadala.
 
Inasikitisha sana tunapojadili hoja kwa ushabiki,Jingalao jibu kwa hoja.Mnayemshabikia anapoteza credibility kila siku ! Narudia tena JPM HAKYWA NA VISION YA KUWA RAIS,ILA ANA NIA YA KUIJENGA TZ,SASA NIA NA UWEZO NO VITU VIWILI TOFAUTI,! Inasikitisha kuwa kila akigusw JPM mnalinganisha na LOWASAZ,SISI TUNATAFUTA IONGOZI BORA ! LOWASA ILIKUWA NI HATUA YA AWALI KUMNGO"A MKOLONI MWEUSI CCM!
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....

HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
M
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!

Vipaumbele ndio vinakuonyesha tunaelekea wapi, SWOT analysis inajulikana tuko wapi na tunaenda wapi na nn kianze, kwenda huko, katika kila Economic transition yeyote ile nchi inayopitia lazima kuna obstacles, Human beign obstacle,Financial obstacle, political interferences katika maamuzi mkwamo unaweza kuwa sisi wenyewe kwa makusudi tu ili mkwamo uwepo na aonekane amekwama na fulani ndio anaweza no, so njia sahihi Mh Rais ameiona na ameanza kuviondoa hivyo vimkwamo ili Road to Success iwe nyeupe kinachotakiwa ni muda tu hata ukipanga kupata mazao mengi na bora kuna hatua unapitia sio haraka haraka hivyo
 
mpe mda mkuu - uongozi unahitaji muda kuonyesha matunda japo mpaka sasa naona wanashughulika soft issues tu kama rushwa na ulipaji kodi. Sijaona mradi au mpango muhumu umetangazwa
 
Watanzania huwaga hamuishiwi vya kuongea hata kama havina logic mtavipamba mpaka vionekane vya maana
 
ni kweli ama kuto kukwama a kanaweza kusababishwa na sisi wenyewe na lazima ileweke kuwa kila hatua tunayo pitia lazima itakuwa na positive na negative zake sasa ni vizur tukaangalia mafanikio ya kila hatua ili kupima je tunafikia lengo? pia tusihau kuangalia negative ili tujue tumekosea wapi ili kujilekebisha bila kuweka uchama.TE="comrade igwe, post: 16334882, member: 268654"]Vipaumbele ndio vinakuonyesha tunaelekea wapi, SWOT analysis inajulikana tuko wapi na tunaenda wapi na nn kianze, kwenda huko, katika kila Economic transition yeyote ile nchi inayopitia lazima kuna obstacles, Human beign obstacle,Financial obstacle, political interferences katika maamuzi mkwamo unaweza kuwa sisi wenyewe kwa makusudi tu ili mkwamo uwepo na aonekane amekwama na fulani ndio anaweza no, so njia sahihi Mh Rais ameiona na ameanza kuviondoa hivyo vimkwamo ili Road to Success iwe nyeupe kinachotakiwa ni muda tu hata ukipanga kupata mazao mengi na bora kuna hatua unapitia sio haraka haraka hivyo[/QUOTE]

ni
n
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Kweli?
 
In short run, mpaka sasa kama taifa hatuna uelekeo.., hivi hawa ma Dr na prof ambao waliteuliwa kuwa makatibu wakuu , ndo ilitakiwa akili zao zitumike huko na watueleze tunaelekea wapi..!! Mi ningekuwa JPM ningewauliza hili swali kwa makatibu wakuu wa nchi..
 
Tanzania is a basket of food for east and central Africa ila tumekosa uongozi wa kutuwezesha kutumia fursa ya ardhi bora tuliyonayo nasi kama mazuzu tunashangilia tu hata upuuzi imradi tu umesemwa na chama chetu.Malawi mwaka huu wana njaa sana can you imagine wanafikiria kununua mahindi Blazil,thousands of mileages away why Tanzania Mbeya watu hawana soko LA mahindi?
Mimi nadhani kuwa raisi anania njema ya watu wa taifa hili lilokuwa sio viwanda Bali nitaifa lá madukani na vijiwanda vidogo vidogo ushauri wawangu kwa Raisi akaae Meza mmoja na walio bobea kwenye uchumi na wafanya biashara wakubwa wa Kati na wa chini ushuru uwe wasaizi ya Kati kodi za saizi ya Kati tuangalie miezi 6 tu tuko wapi
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Sasa tulimpa kura ili aende ikulu kufanya nini ati?.
 
Mimi muwandishi wa sio kama tufuate hivyo atakavyo no no kwenye mitihani usainishaji huwa suala hujibiwa kwa njia isiopungua 6 au 7 na huwa sahihi
 
Mkuu shida si wanasiasa,shida ni wadanganyika can you believe watu walewale,chama kile kile ,Sera zile zile wametudanganya for 54 years na bado hatujitanbui.nakuhakikishia Tanzania ya viwanda haiwezekani kama vile maisha bora kwa kila mdanganyika yalivyoshindikana
Muda gani apewe? Anataka kukata mwaka huyu eti!!

Tatizo anadhani kuongoza watu wanaokaribia milioni 50 na nchi yenye kilometa za mraba zaidi ya 900,000 ni mchezo!!

Anadhani anaongoza wale wa kupachikiwa milioni 8 anaodhani walimpa kura!!

Amini usiamini 2020 itagonga ngooo huku hadithi zikiwa hizi hizi za apewe muda...apewe muda huku majipu yakiibuka mengine na haya yaliyotumbuliwa yakiwa yamejihuisha!!

Siasa na wanasiasa wa Tanzania ni shiiida tupu...!!
 
Tanzania is a basket of food for east and central Africa ila tumekosa uongozi wa kutuwezesha kutumia fursa ya ardhi bora tuliyonayo nasi kama mazuzu tunashangilia tu hata upuuzi imradi tu umesemwa na chama chetu.Malawi mwaka huu wana njaa sana can you imagine wanafikiria kununua mahindi Blazil,thousands of mileages away why Tanzania Mbeya watu hawana soko LA mahindi?
Nchi hii ukiifikiria sana kichwa kinauma!
 
Mkuu na wewe unakubaliana kweli watu hawafanyi kazi? Mfano police wa Tanzania anafanyakazi masaa mangapi?je hali yake ikoje?au nae hafanyi kazi?Je dereva wa mabasi na daladala hapo mjini hawafanyi kazi?Kaka wewe umezaliwa kijiji kama Mimi? Wazazi wako walikuwa wanaamka saa ngapi kwenda shambani na kurudi saa ngapi? Je hali zao zikoje? Wakati mwingine tumieni akili zenu kuwaza siyo kukurupuka tu eti kisa mabwana zenu wamesema watanzania hatufanyi kazi
Watu hawafanyikazi kwa masaa yawapasayo kuwa kazin.au hafanyi kabisa wanataka vya kudandia tuu.maisha ya sasa piga Kazi usiangalie eti serikali ikuwezeshe.wewe nchi yako umeifanyia nn?.watu mlishazoea wizi makazin .kupeana Kazi kindugu ..kupata Kazi kwa cheti feki.kwa maisha ya sasa lazima yawasumbue.hvyo tafuten mbinu mpya.hata mtoto wa baba jambazi pindi baba yake auliwapo kwa ujambazi huwalaum saanaaa hao walio muua babayake.
 
Serikali kunyima wananchi uhuru wa kupata habari kwa kuona Bunge live na sababu walizozitoa Nape na Waziri Mkubwa kuhusu inshu hiyo ya kutokuonyesha Bunge live ni moja ya kiashiria kikubwa serikali ya JPM imekosa dira, na ndio maana inataka kuwafisha ukweli huo Watanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom