Mkuu kabla hajachukua form alitakiwa kabisa awe na maono/vision kwamba nikipata nafasi hii nataka kuipeleka nchi hii pale,yaani sasa hivi angekuwa anatushawi/anatuelimisha watanzania il tukubaliane na vision yake badala yake mambo yamekuwa tofauti.Watu m naomba apewe muda sasa sijui huo muda uko wapi wa kumpa.Any way this is Tz ya ccm
Napita tu ila tusiwe na tabia kama mashabiki Wa mpira , timu ikisajili mchezaji mpya wanataka aanze kufunga magoli asipofanya hivyo bac utasikia mchezaji gani huyu hafai, ni vyema kwa apewe muda kabla ya kumuona hafai, nilichotaka kusema mapinduzi ya kweli huwa hayaji kiurahisi na huwa hayatoi matokeo on sport.