Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mkuu kauliza nani anayejua Magufuli anatupeleka wapi,kwa hiyo tegemea majibu kama hayo kwa sababu kuna watu wanajua anakotupeleka na wengine hawajui.
Mkuu hawajui lolote ni kujitoa tu akili na kushindwa kusema ukweli,sababu tu anafaidika kwa namna moja au nyingine na Chama/Serikali iliyopo madarakani au analipwa buku 7 kupinga kila hoja ya msingi inayotolewa,ila ni aibu sana kujitoa akili kisa pesa
 
Mkuu na wewe unakubaliana kweli watu hawafanyi kazi? Mfano police wa Tanzania anafanyakazi masaa mangapi?je hali yake ikoje?au nae hafanyi kazi?Je dereva wa mabasi na daladala hapo mjini hawafanyi kazi?Kaka wewe umezaliwa kijiji kama Mimi? Wazazi wako walikuwa wanaamka saa ngapi kwenda shambani na kurudi saa ngapi? Je hali zao zikoje? Wakati mwingine tumieni akili zenu kuwaza siyo kukurupuka tu eti kisa mabwana zenu wamesema watanzania hatufanyi kazi
Ngoja nikuambie.we ni ndg yangu.unajua viongozi waliopita kasoro nyerere walituasi cc wananchi.tukawa tunafanya Kazi sana lakin kipato kidogo.kufanikiwa lazima ujanja ujanja utumike.wazee wetu wamefanya Kazi sana.japo vijana weng wa sasa hawafanyi kaz sana kama wazee wetu walivyofanya.niombacho.tumpe nafasi rais wetu walau miaka 5 alafu tuje tujadili hili.polisi walikosea wenyewe.walitumika sana kisiasa wakasahau mujibu wao.
 
Mi naamini hii Serikali wameanza kupoteana mapema na kama ni wachezaji wa mpira wameishapanic kitambo,baada ya kufungwa magoli matatu dk za mwabzon
 
Serikali kunyima wananchi uhuru wa kupata habari kwa kuona Bunge live na sababu walizozitoa Nape na Waziri Mkubwa kuhusu inshu hiyo ya kutokuonyesha Bunge live ni moja ya kiashiria kikubwa serikali ya JPM imekosa dira, na ndio maana inataka kuwafisha ukweli huo Watanzania.
Kwani ukiona dira itakusaidia nn wewe kama wewe.cha mno Fanya Kazi kwa bidii ukiiweka bora familia yako.kwani wa escrow walivyokula hela walikupunguzia non ktk maisha yako
 
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....

HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
Teheteheee [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Mnaodai hamzungushi mikono tuambieni tunaelekea wapi kiuchumi? Binafsi najaribu kumsoma sielewi hata taifa la viwanda hakuna hatua zozote za tofauti za kumjulisha mtu kwamba tunaelekea kwenye viwanda,tupotupo tu
Huwezi kujua utajua tushafka kitambo, kwa akili yako viwanda havitajengwa?
 
Kama ulishakwenda Muhimbili kupata huduma kabla ya utawala wa Magufuli, na ukaenda kupata huduma wakati huu wa utawala wa Magufuli basi hutapata shida kujua Mh. Rais anataka tuelekee muelekeo upi.
 
Kwani ukiona dira itakusaidia nn wewe kama wewe.cha mno Fanya Kazi kwa bidii ukiiweka bora familia yako.kwani wa escrow walivyokula hela walikupunguzia non ktk maisha yako
CCM wanafurahi sana wanapoona mpaka sasa bado kuna watu waafikiri kwa namna hiyo uliyoandika Hongera sana!
 
Nchi haiendeshwi kwa matakea ya rais ndiyo maana kuna miongozo kama ilani, mipango ya muda mrefu na mfupi, katiba, sheria, miongozo na nyaraka mbali mbali. Wananchi ni haki yetu kuhoji, kukosoa, kushauri na kulalamika kama mambo hayaendi vizuri. Tatizo linakuja pale anayehoji au kukosoa anapoonekana adui. Tabia hii siyo nzuri na haiwezi kutupeleka popote kama taifa
Kwa hiyo rais hana cha kuongeza wala kupunguza kwenye uongozi wake? Kama ni hivyo kuna maana gani ya kuangalia kiongozi makini? Uongozi pia ni ubunifu, kiongozi asipokuwa mbunifu hawezi kuongoza kamwe
 
We ulikata ticket ya kwenda wapi, ruban yuko sawa sema tu kwavile we we haujui kusoma Raman
Na usubiri kidogo tukitoka kwenye mawingu utaanza kuona njia
 
Watanzania tuna akili fupi sana ndo maana hatusonge mbele kama taifa na mtu mmoja mmoja, maada ni nzuri inawweza kutusaidia kuibua njia mpya za kumsaidia rais kama ushauri, mtoa mada hana nia mbaya na rais bali anajaribu kutushirikisha tuangalie mwelekeo wa sisi kama taifa, kwa hiyo tuache kumkebehi tuchangie mada kwa mtazamo chanya kwa kutoa michango na ushauri wa kujenga taifa.

Ndugu yangu sisi wadanganyika tuna akili sijui za vipi ndio maana wananchi wanachinjwa na mauaji ya ajabu yanatokea lakini waziri mwenye dhamana ya usalama wa raia yuku kwenye club anagida mipombe na tunaona sawatu kama tuko hivyo unategemea tujadili nini sisi ndio wadanganyika labda kizazi kijacho kitakuwa na uwezo wa kuhoji yale yanayo waumiza
 
Baada ya majipu kutumbuliwa kwa wingi vipi tathimini ya hali ya maisha mtaani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom