Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo si kweli kuwa watanzania hatufanyikazi siyo? Asante kwa kuelewa.Ndugu yangu kama unadhani Magufuli ni tofauti na kikwete au mkapa basi am so sorry for you rafiki.hawa watu wa chama chenu cha ccm tofauti yao ni majina,kabila zao,lugha zao,dini zao na sehemu wanazotoka.ila Sera yao ni moja ya kupomoa nchi,kulindana na kuwapumbaza wadanganyika.I know namna ccm mnavyojua kujitoa ufahamu hivyo hata nikikuambia weka kumbuka ya hii post yako hadi 2026 still utaikataa mchana kweupe?
Ngoja nikuambie.we ni ndg yangu.unajua viongozi waliopita kasoro nyerere walituasi cc wananchi.tukawa tunafanya Kazi sana lakin kipato kidogo.kufanikiwa lazima ujanja ujanja utumike.wazee wetu wamefanya Kazi sana.japo vijana weng wa sasa hawafanyi kaz sana kama wazee wetu walivyofanya.niombacho.tumpe nafasi rais wetu walau miaka 5 alafu tuje tujadili hili.polisi walikosea wenyewe.walitumika sana kisiasa wakasahau mujibu wao.
 
Kwani ukiona dira itakusaidia nn wewe kama wewe.cha mno Fanya Kazi kwa bidii ukiiweka bora familia yako.kwani wa escrow walivyokula hela walikupunguzia non ktk maisha yako
naomba kujua kama hii post imetumwa na mtu hai yaani mtu mwenye pumzi ya uhai
 
Tanzania ina watu vituko.usikute na wewe ni viongozi katika chama au serikali
Kajifunze kwanza sarufi ndo urudi jamvini, wengi wa nyumbu shule kichwani ni ndogo ndo maana harakati zenu zimetawaliwa na bange.
 
Tatizo na wewe hutaki kuona wala kuelewa. Kwani kushughulika na watumishi hewa ni nini? Ama kupunguza matumizi yasiyo na tija (mfano; safari, posho, matamasha, n.k..) wewe unaona ni kitu gani kwani?
Msilete hoja/mada za kishabiki humu halafu mkijibiwa kishabiki muone wanaowajibu kuwa ni punguani.
Maendeleo gani unayotaka kuyafikia bila kuchukua hatua za udhibiti, kurekebisha maadili na uwajibikaji?
Wewe mwenyewe ukiulizwa dira yako ni ipi, hata majibu huna halafu unataka serikali ije na dira?!!! Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa mwenzako.
Nakushauri ongeza juhudi kufanya kazi, lipa kodi shauri na familia yako yote ifanye hayo, jirani zako, ukoo wako nao pia kisha rudi hapa kuuliza tena hayo maswali yako.

Pole kama unadhani mimi sina dira, inaonekana wewe huna dira kiasi unadhani sisi wengine wote hatuna kama wewe. Samahani kama nimeongoea ukweli uliokukwaza, lengo langu ni zuri tu ili nchi yetu isonge mbele.
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
RAIS JPM ANATUPELEKA KWENYE NCHI ISIO NA MAFSAD NA WALA RUSHWA WAPIGA DILI NA NCHI YENYE UCHUMI IMARA
 
Amesema mpaka watu walimie meno.

Ndiko anakotaka kutupeleka.
 
Kwa bei elekezi

Hizi bei wewe unasikia hapa jukwaani tu, kila kitu unahudumiwa na hela ya chama wala hujui umeme, sukari ni bei gani. Acha sisi wanaume tuzungumze maana ndio tunajua gharama halisi na ugumu wa maisha.
 
Kajifunze kwanza sarufi ndo urudi jamvini, wengi wa nyumbu shule kichwani ni ndogo ndo maana harakati zenu zimetawaliwa na bange.
Mkuu kama hauna PhD basi nakuzidi elimu sana,pia naomba nikufahamishe kuwa Mimi nilisoma Mzumbe sec school wakati huo ikiitwa shule ya watoto wenye vipaji maalumu na serikali yako ya ccm.nadhani hadi hapo umeelewa.usidhani kila mtu ni mjinga au kafanywa mjinga na chama chako
 
Matamko tu kibao utendaji SIFURI
  • Najuta kuchukua form ya kugombea Urais
  • Urais sikupewa na mtu bali nimepewa na Mungu (sijui ni Mungu yupi maana hakuna Mungu wa mafisadi)
  • Nitaweka hadharani salary slip yangu (Siku zinayoyoma tu)
  • Nimejitoa kafara (sijui kajitoa kafara kwa nani maana bado anawakingia kifua akina Lugumi na mafisadi wenzie)
  • Nitarudi kijijini nikachunge ng'ombe
  • Nimepiga marufuku uagizaji wa sukari toka nje (matokeo yake wote tunayajua)
  • Bunge live gharama za shilingi bilioni nne kwa mwaka ni kubwa sana (Mbio za mwenge gharama ni 120 billion)
  • Nchi imeharibiwa na Wazee (Yeye alikuwemo ndani ya serikali kwa zaidi ya miaka 2o huku kapiga kimya "akifanya yake")
Ali mradi ni mtu ambaye haeleweki na nchi inayumba kutokana na kushindwa kwa kiwango cha juu kabisa, mara kawaita Mkapa na Kikwete Ikulu mara kenda kumuona Mkapa nyumbani kwake na yote yanayojiri ni siri yao huku nchi ikiendelea kuyumba.
e00cd3b4afe626312a668d203424405a.jpg
mkuu uliahidi ukipewa ushahidi utazungumzia hili suala!
 
Hivi mkuu makusanyo ya mwezi April yalikuwa trilioni ngapi? Na za mwezi May je?

Zamani tulikuwa tunatangaziwa mapato na matumizi ya serikali lakini kwa sasa ni kimya kabisa. Pia ukiongea na watumishi serikalini watakwambia hakuna hela ya DEVELOPMENT imetumwa mwezi wa nne na wa tano, pia hata hela ya kuendesha ofisi maarufu kama OC haijatumwa kwa miezi miwili. Hii ni dalili kuwa nchi haina muelekeo mzuri kiuchumi ingawa sisi wengine tunampa muda huyu nahodha wetu hadi atakapoanza kutekeleza bajeti yake mwezi July
time will tell.......kuogea rahisi but kutenda ni habari nyingne
 
Ni kama ndoto vile. Hivi tukisha changia hapa huyp tunae mwambia ataathirik vip ili atekelez kil ambach tumemueleza.
 
Pole kama unadhani mimi sina dira, inaonekana wewe huna dira kiasi unadhani sisi wengine wote hatuna kama wewe. Samahani kama nimeongoea ukweli uliokukwaza, lengo langu ni zuri tu ili nchi yetu isonge mbele.

Asante sana lakini nami nikupe pole wewe unaefikiri serikali haina dira. Nami nakuomba samahani vile vile iwapo nitakuwa nimeongea ukweli uliokukwaza, kama wewe nami pia lengo langu ni jema na zuri tu ili Taifa hili lisonge mbele.
Kumbuka: Wanaoifaidi leo Marekani na nchi nyingine zilizoendelea (kwa mifano mingi...) sio hao walioijenga bali ni wazazi/watangulizi wao waliojitoa kufanya kazi kwa bidii na maadili ili kizazi chao kijacho (now and then) kifurahie na kuwakumbuka. Chukua hilo ili tuje tukumbukwe sote, kulalamika huku tukiwa tumekaa vibarazani haitawasaidia watoto/kizazi chetu cha baadae
 
F%666tt6%ftttttt6666
d_57%67t%%%%%%f6666tt6y76t6t8t666%6%zf6t6z6t6t6%t6[IMG]677t%' trust 66[IMG]t7t6f6T $6FTF6666T6[IMG]67 55
[/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG]
 
Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
ungemsaidia mtoa mada. hata mimi sijui inji inaelekezwa wapi
"Nchi inaelekea kuwa ya kifashisti", Profesa Baregu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom