GBBali
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 1,931
- 537
Acha ujinga jibu hoja.Kama hujui unakoelekea ni wewe sisi tunajua magufuri anatupeleka kwenye raha sasa wewe tunaomba ukae pemben usubiri 2020 uzungushe kiuno maana haitakuwa mikono tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga jibu hoja.Kama hujui unakoelekea ni wewe sisi tunajua magufuri anatupeleka kwenye raha sasa wewe tunaomba ukae pemben usubiri 2020 uzungushe kiuno maana haitakuwa mikono tena.
Mh..kwa hiyo anaweza ingia chaka?Binafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo.
Ifike mahali ushabiki wa vyama tueke pembeni....Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Wewe ndiye unayejua maana umeshasema tayari "tumepotea" sasa unataka wanachojua wengine sio!!Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Watu kama nyie hamna hata tija kwa taifa kabisa, afadhali ungekandamizwa tu, umejaa uharo mpaka kero.Kiki kiyo yenu...huoni mnavoangaisha vijampiao?
....unataka uambiwe nn wakati ume conclude tumepotea!!, unauliza ili ujisahihishe, ujikosoe, au ndo kuzungusha mikono siku ziendeWewe ambaye huzungushi mikono na unayejua mwelekeo si utwambie tunaelekea wapi?
Dr Makufuri na uendeshaji wake wa nchi kwa mihemko kama hatupeleki kuzimu basi anatupeleka jehanamu...kataa au kubali lakini huu ndio ukweli....na wote TUTAISOMA namba kwa pamoja...uwe mwanaLumumba au raia wa kawaida, kusoma namba kupo palepale. Iko siku tutapanga foleni kwenye maduka ya kaya (atakayoyaita MADUKA YA MAGUFURI) kununua nguo, kiberi, sabuni au mafuta ya kula.Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Pokea likeRAIS JPM ANATUPELEKA KWENYE NCHI ISIO NA MAFSAD NA WALA RUSHWA WAPIGA DILI NA NCHI YENYE UCHUMI IMARA
Swali ni lamsingi kwelikweli mdau anataka kufahamu cha ajabu Sasa wachangiaji mnaleta ushabiki na kutupiana vijembe. Hakuna anayepinga kwamba raisi hana nia njema ishu ni kwamba strategies (mbinu) za kutimiza hizo nia njema
Ongezea apo...yan utendaji kazi wa watumishi binafsi na haswa wa umma umegubikwa na misingi ya woga uliopitiliza badala ya kusimamia kweli na haki!Nchi ya JPM inajengwa kwenye vyombo vya habari,serikali inahubiri mambo mazuri kupitia vyombo vya habari lakn kwenye uahalisia mambo hayaendi;mf ishu ya sukar bei elekezi ni ndoto,raia tunazid kuteseka,sukari bei juu,
Elimu bure ndio hovyo kabisa,mashuleni mambo hayaendi,wakurugenz na maafisa elimu wanashindwa kumweleza Mh. Magu ugum na changamoto kwa hofu ya kutumbuliwa jipu na kuonekana wanagomesha agizo,..
Mpaka sasa nchi haieleweki inaelekea wapi,sana sana ni shida tu znazid kuongezeka uraiani..
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anaye[/QUOTE
huwez jaza maji kwenye chombo kilicho toboka
so, nadhani anazba matundu kwanza ndo ajaze maji.