Bolshevick
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 355
- 247
kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi yuko sahihi maana Taifa haliwezi kupotea hata siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Mkuu, naona umebadilishia Gia angani...Lengo lake kubwa ni kuimarisha kanisa kwa kuhakikisha anaondoa uswahili (waislam) wachache walokuwa maofisini , ndo maana kwa haraka sana tumeweka ubalozi wa israel hapa, na kazi ya kuwaondoa waswahili inaendelea vzr, wiki ijayo ni zamu ya IDRISSA KIKULA , WIKI ILOPITA TUMEMWONDOA YUNUS, NA KABLA TULIMTOA DR DAU etc , NDALICHAKO ANAONEKANA KUIMUDU SANA KAZI HII YA KUWAONDOA WASWAHILI KAMA RECORD YAKE ILIVYO
Lengo lake kubwa ni kuimarisha kanisa kwa kuhakikisha anaondoa uswahili (waislam) wachache walokuwa maofisini , ndo maana kwa haraka sana tumeweka ubalozi wa israel hapa, na kazi ya kuwaondoa waswahili inaendelea vzr, wiki ijayo ni zamu ya IDRISSA KIKULA , WIKI ILOPITA TUMEMWONDOA YUNUS, NA KABLA TULIMTOA DR DAU etc , NDALICHAKO ANAONEKANA KUIMUDU SANA KAZI HII YA KUWAONDOA WASWAHILI KAMA RECORD YAKE ILIVYO
je, MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA ya JK yalichukua miaka mingapi?Kujenga nchi co et ukilala na kuamka ndio bas kila kitu tayar la hasha hapa ndio kwanza kaanza hata mwaka hajamaliza harakat znaonekana ,, tatzo mmeteseka sana so mnadhan mabadiliko ni usiku mmoja
ni kweli kabisa mkuu.Lengo lake kubwa ni kuimarisha kanisa kwa kuhakikisha anaondoa uswahili (waislam) wachache walokuwa maofisini , ndo maana kwa haraka sana tumeweka ubalozi wa israel hapa, na kazi ya kuwaondoa waswahili inaendelea vzr, wiki ijayo ni zamu ya IDRISSA KIKULA , WIKI ILOPITA TUMEMWONDOA YUNUS, NA KABLA TULIMTOA DR DAU etc , NDALICHAKO ANAONEKANA KUIMUDU SANA KAZI HII YA KUWAONDOA WASWAHILI KAMA RECORD YAKE ILIVYO
Hujui ex-chequers zilizengua, wakajilipa washikaji na msela akaingiza 4x4Hivi mkuu makusanyo ya mwezi April yalikuwa trilioni ngapi? Na za mwezi May je?
Zamani tulikuwa tunatangaziwa mapato na matumizi ya serikali lakini kwa sasa ni kimya kabisa. Pia ukiongea na watumishi serikalini watakwambia hakuna hela ya DEVELOPMENT imetumwa mwezi wa nne na wa tano, pia hata hela ya kuendesha ofisi maarufu kama OC haijatumwa kwa miezi miwili. Hii ni dalili kuwa nchi haina muelekeo mzuri kiuchumi ingawa sisi wengine tunampa muda huyu nahodha wetu hadi atakapoanza kutekeleza bajeti yake mwezi July
Mimi nishapinha ujinga wa Magufuli kuingikia bunge na mahakama hapa.hivi ni kwanini raia yeyote yule akileta hoja ya msingi na ya maendeleo, watu huanza kumhusisha na UKAWA hata kama sio mfuasi wa chama chochote? au mtu yeyote anayetetea rasimali za taifa na wanyonge wa nchi hii kwanini huwekwa kwenye kundi la UKAWA? je, wafuasi wa CCM wao wanapigania maslahi ya nani?
Wabongo bana! Kulalamika tuuuu, hata husomi. Issue ya umeme imetulia, juzi juzi kinyerezi 1 imezinduliwa. Dec 2015 zililipwa Bilioni 195 zilizotakiwa ili kinyerezi 2 ianze kujengwa.Hatujui kwamba ataanza kuboresha kwanza umeme ndo afwate viwanda..
Au aanze viwanda kwanza ndo afwate umeme...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hii ndo Bongoland
Pamoja na kutoa jibu ambalo silikubali sana, nimeappreçiate umejibu swali kama matured person. Asante sana mkuuTunakoelekea ni kazi tu.
Tulipoanzia ni kutumbua wafanyakazi hewa na kutengeneza afya bora kwa wafanyakazi wetu na Elimu bora .
Kwa sasa tuko na kazi ya kukusanya Kodi na kuweka taratibu sahihi wa matumizi sahihi ya Kodi .
Wanatumiwa kila mwezi au kila Quarter?Hivi mkuu makusanyo ya mwezi April yalikuwa trilioni ngapi? Na za mwezi May je?
Zamani tulikuwa tunatangaziwa mapato na matumizi ya serikali lakini kwa sasa ni kimya kabisa. Pia ukiongea na watumishi serikalini watakwambia hakuna hela ya DEVELOPMENT imetumwa mwezi wa nne na wa tano, pia hata hela ya kuendesha ofisi maarufu kama OC haijatumwa kwa miezi miwili. Hii ni dalili kuwa nchi haina muelekeo mzuri kiuchumi ingawa sisi wengine tunampa muda huyu nahodha wetu hadi atakapoanza kutekeleza bajeti yake mwezi July
Kaka acha UJUVI pasi na ujuziMwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!