Huwezi kusema tunataka nchi ya viwanda. Kuna maswali lazima ujiulize.
Mosi,viwanda vipi? Processing(usindikaji) au vya aina gani?.
Pili,unatumia rasimali fedha,watu nk ( resources) zipi,kiasi gani za aina gani?
Tatu,kuna nishati ya umeme ya uhakika? Kama haipo,una mikakati gani?.
Nne,mtawanyiko wa viwanda utakuwa wa kisoko,ki-malighafi au kijiografia?.
Tano,nchi zilizoendelea,zimeendelea kwa sababu ya viwanda au zina viwanda kwa sababu zimeendelea? Swali la msingi.
Mtoa mada asipuuzwe,wanaopingna na mtoa mada waninjibu maswali haya kwa umakini,kama huna majibu ni dhahiri kuwa taifa halina dira wala kiongozi hana maono. Msitukane mtoa hoja