Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
wewendio hujui unaelekea wapi hii nchi iligeuka kichaka cha wezi na mafisadi ndio maana watu watu walifikiri wanaweza kununua nchi kwa pesa zao za ufisadi jiulize hao watu wangechukua nchi wangetupeleka wapi
 
Kiwanda kikubwa cha mbolea africa kitajengwa tz..., kitakamilika ifikapo2018 kama sikosei....!!

Bandari kubwa kabisa pwani ya mashariki ya africa , bagamoyo port, inaresume ujenzi wake soon.....!!!

Reli ya kati ktk standard gauge iko....!!!

Mafuta ya uganda na baadaye sudan kusini yatapita tz.....

Uranium deal na wachina na warusi ..... Wameanzq kuchimba kule nchomolo....!!

Gesimpaka ruvu ipo....., uku msimbazi hawaja fanya uchunguzi tu...., hujui kwanini n lazma kunomolewe [emoji3][emoji3][emoji3]

Kimsingi hata urlekezwe hueezi kuona kama hutaki...!!!
 
ninaachojua kuna magazeti mengi amenunuaa wahariri wake mfano habari ya Lukuvi kusema kuwa Lowassa alijimilikisha shamba la makuyuni wakati aliyekuwaa rais Mkapa alisema lirudishwe kwa wananchi habari ile ingepewa heading kwenye kila gazeti lakini magazeti mengi hayakuripoti ila habari yake ya kukanusha ilipewa uzito mkubwa sana
sidhani kama anaweza kwenda kuishi uingereza kwani waingereza wana historia yake ya ufisadi aliofanya hivyo serikali ikiamua kufreeze mali zake itakuwa rais
Hizi hujuma anazopanga zitamgeuka yeye mwenyewe kwani kama alivyokuwa anashirikiana na wapambe wake hao hao ndio walikuwa wakimgeuka na mwaka 2020 ataanguka vibaya sana kiasi cha chama chake kumgeuka na ndiyo maana rais kwa kutambua hilo amesema hana ubia na matajiri ila masikini raia wa Tanzania kwani wale ndio walikuwa wanateseka wakati matajiri wanakwepa kodi
 
hii habari nimeipost hapakwa sababu kule kwenye post ya lowassa ameinunua jamii forum nikijaribu kupost inakataa kitu kinachonifanya niamini kuna ukweli ndani yake
 
✔Hii Safari mbona inaenda tu... sema nyie wageni wa njia.. Magufuli anajua njia... Sasa mkifika mwisho wa safari ndio muulize, safari ndio kwanza imeanza, unauliza unakwenda wapi..? Wee tulia utafika tu, ukishuka mwisho wa safari ndio uulize...!! Sasa hv acha kelele tulia UENDESHWE..!!✔❄ Kwani gari lako..? Safari nyingine hadi UFIKE ndio ujue unakokwenda.. Kwani safari ya Mbinguni ulishafika, au unajua mbinguni ww..?✔❄ Ila si unaenda Mbinguni kadiri siku zinavyokwenda..Ukifika utajua huko huko Mbinguni kukoje..Tulia... keleleee huko..!!✈⁉
 
Mliwasema waswahili ...hawawezi lakini sasa tunasomeshwa namba tu...mbele hakuna taa
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Hee kwahiyo tunamchagua rais wa nn vile
 
Hiii ndio home of great thinkers kweli? mtu ameuliza swali kwa points nzuri tu watu wanamwita mzungusha mikono, wengine nyumbu Moderator wa JamiiForums okoeni reputatio yenu kwa kuondoa watu kama hawa
 
Kuna watu hawajui maana ya uongozi(leadership) wapo kikada zaidi especially chama cha majipu. Huwezi kuongoz nchi halafu hauna vision(maono),ukiwa na maono,lazima uwe na ushawishi(influence) ili kila mtu akubaliane na kile unachokiamini kwa hiari sio kwa lazima. Mtoa mada ana hoja,lakini waliojaa ukada wana-comment pumba tupu
 
Mimi nadhani kuwa raisi anania njema ya watu wa taifa hili lilokuwa sio viwanda Bali nitaifa lá madukani na vijiwanda vidogo vidogo ushauri wawangu kwa Raisi akaae Meza mmoja na walio bobea kwenye uchumi na wafanya biashara wakubwa wa Kati na wa chini ushuru uwe wasaizi ya Kati kodi za saizi ya Kati tuangalie miezi 6 tu tuko wapi
 
Huwezi kusema tunataka nchi ya viwanda. Kuna maswali lazima ujiulize.
Mosi,viwanda vipi? Processing(usindikaji) au vya aina gani?.
Pili,unatumia rasimali fedha,watu nk ( resources) zipi,kiasi gani za aina gani?
Tatu,kuna nishati ya umeme ya uhakika? Kama haipo,una mikakati gani?.
Nne,mtawanyiko wa viwanda utakuwa wa kisoko,ki-malighafi au kijiografia?.
Tano,nchi zilizoendelea,zimeendelea kwa sababu ya viwanda au zina viwanda kwa sababu zimeendelea? Swali la msingi.
Mtoa mada asipuuzwe,wanaopingna na mtoa mada waninjibu maswali haya kwa umakini,kama huna majibu ni dhahiri kuwa taifa halina dira wala kiongozi hana maono. Msitukane mtoa hoja
 
Hivi mkuu makusanyo ya mwezi April yalikuwa trilioni ngapi? Na za mwezi May je?

Zamani tulikuwa tunatangaziwa mapato na matumizi ya serikali lakini kwa sasa ni kimya kabisa. Pia ukiongea na watumishi serikalini watakwambia hakuna hela ya DEVELOPMENT imetumwa mwezi wa nne na wa tano, pia hata hela ya kuendesha ofisi maarufu kama OC haijatumwa kwa miezi miwili. Hii ni dalili kuwa nchi haina muelekeo mzuri kiuchumi ingawa sisi wengine tunampa muda huyu nahodha wetu hadi atakapoanza kutekeleza bajeti yake mwezi July

Mkuu, sasa hapa unategemea watakupa jibu sahihi juu ya uyasemayo?.. watu sasa hivi ni mwendo wa kusifia tu ..bila kuangalia hali ya kimaisha inavoenda..

Zile mbwembwe za kututangazia makusanyo ya kila mwezi, cjui zimeishia wapi ?....

Mimi nlidhani kuwateua maprof, wahandisi, wanajeshi na ma dk...kuwa Mawaziri na wengine makatibu wakuu, wangeonesha dira katika kutupeleka kwenye nchi ya viwanda, lakini nao ni hovyo tu.....Wamebaki kutoa matamko tu na kuvizia watumishi wa Umma ili wapate promo kwa mkulu.....

#ccm ni ileile...tusitegemee jipya#
 
Binafsi nadhani ana nia nzuri.

Lakini sidhani anajua anakoelekea.....

Yupo yupo.
Maneno yako ni kweli, nia anayo ila hajajipanga. Kiongozi unatakiwa uwe na vision halafu wizara na targets na goals ili kama taifa tuje na sera za kupelekea kufika anakotaka Rais. Shekh wa Dubai huwa anakuja na vision halafu watu wa chini wanajipanga. Lazima kuwe na clear goal, S. Specific goal. M.measurable.A. achievable. R. realistic. T. Timeline bila hivyo we lost.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom