Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
Duh are you CDF?Rais wetu yupo nje ya nchi anatibiwa majera ya kutaka kumdhuru yaliyo fanywa na hyu bwana Ally Bashiri. Akirudi tuu tunampa nchi na huyu Ally Bashiri ajiandae kisaikolojia kuishia jela na vibaraka wake.
Sasa Buzebazeba ni Burundi wewe sema ni Nyanzalac weweBurundi eneo fran hivi linaitwa BUZEBAZEBA
Mi kijijini sipeleki misaada tangu wachague lofa mwenzao
Sasa Buzebazeba ni Burundi wewe sema ni Nyanzalac wewe
kweli mkuuAtauwa watu wengi sana sababu hakubaliki hata kidogo Walahi majanga tuu yeye
Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Labda tuna laana.. Maana watumishi wa umma na vijana wasio na na ajira peke yao wakipiga kura wana uwezo wa kuiweka Ccm likizo isiyo na malipo.Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Nendeni mkajiajiri hizi ndoto za kuwa hakubaliki na mnaona uwanja wa Taifa ndugu zetu Waislamu wamemkubali nyie ni nani hasa.
wewe umejiajiri?Nendeni mkajiajiri hizi ndoto za kuwa hakubaliki na mnaona uwanja wa Taifa ndugu zetu Waislamu wamemkubali nyie ni nani hasa.
nchi hii inabidi iingie kwenye vitabu vya maajabu mkuuSisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Labda tuna laana.. Maana watumishi wa umma na vijana wasio na na ajira peke yao wakipiga kura wana uwezo wa kuiweka Ccm likizo isiyo na malipo.
Utakuta kijana graduate ana gongea jero lakini anaipigia Ccm debe. Wakati hana uhakika wa mlo hata mmoja..
Wewe bado?wewe umejiajiri?