Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kiburi anakipata kutoka jwtz,hawana huruma na wananchi! Wangekuwa na huruma wangesha mwadabisha ndio maaana Mkuu wa majeshi alimteua mtu wa kabila lake ili wamlinde na ngaz karib zote kateua watu wa kabila lake au ukanda wa ziwa ili wasimsalit cc anaetuita wanyonge tuzid kunyongwa
 
Nafikiri wewe ndio una kiburi,nchi haiongozwi kama unavyofikiri wewe, nchi si saccos,mlizoea kumpinduapindua Kikwete mtakavyo, hiyo miruzi yenu pelekeni kwenye kuimarisha.saccos zenu zenye wenyeviti wa maisha
Ondoa taarabu zako we mataga!
 
umeongea vzr lakini hapo kwenye wanawake una ugomvi nao?
 

Hili bandiko litadumu sana
 

Ali bongo ni wa Gabon.Dikteta Yahya Jameih ni wa gambia alikuwa gwiji wa ndumba na ulozi aliyewafadhili wasiojulikana wa kuwateka na kuwauwa wenye mawazo tofauti na yake ambao wengi wa wasiojulikana Baro kawasweka ndani wanaoza jela juu ya matendo yao na Jameh hana uwezo wa kuwasaidia sababu hana mamlaka amri wa dola zaidi ya kumuamuru Mke wake tu.Kama alipigwa stroke ni jambo jema sana linaponya taifa pale wakala wa shetani anapopata dhamana sisi ni Furaha kwetu tunaongeza idadi ya bia cheers Kwa sana mezani.Copy na paste zaidi anajifikiria binafsi Kwa maslai yake ya kisiasa kulidhisha nafsi yake kujifichia kwenye kichaka cha utetezi wa wanyonge kimaneno kivitendo akiwanyongelea mbali.Too much inner selfishness like mobutu, Mugabe, yayha Jameh.Madikteta wote duniani mama yao huwa mmoja tabia zao ufanana.
 
Tanzania ni nchi yenye historia ya kuheshimika mno ktk nchi zote za kusini mwa Africa.
Tanzania ni taifa pekee Africa lililoshiriki kwa nguvu zake zote ktk ukombozi wa nchi za kusini mwa Africa.
Tanzania kwa miaka yote ndo imekuwa kimbilio la wananchi wa mataifa ya jirani kila wanapopata matatizo .
Lakini heshima na hadhi ya Tanzania imekuwa ikishuka kila siku kwa sababu ya kundi la watu wachache wanaopenda vyama vya siasa kuliko nchi yao.
Watu wanapenda chama kuliko nchi, huu uendawazimu hautavumilika kwa gharama yoyote.
Wakati Mungu anaiumba Dunia na Tanzania ilikuwemo ndani ya Dunia hii, na hapakuwepo CCM, CHADEMA, CUF wala dude lolote lile la kuwatesa watanzania wa Mungu zaidi ya Tanzania yenyewe tu na Raslimali zake zote za kutukuka Kama Dhahabu, Almasi, Tanzanite, Gesi, maziwa, Bahari, ardhi safi kwa kilimo, wanyama na mito mizuri ya kutumia kwenye kilimo cha irrigation.
Mungu wa mbinguni kila leo anashangaa kuona watu aliowapatia Raslimali za kujikomboa na umasikini bado wanaishi maisha magumu kupindukia eti kwa sababu ya dude linaloitwa siasa.
Ndo maisha wanayoishi wananchi wa North Korea ,wana maisha magumu kupindukia, hawaruhusiwi kuhoji wala kulalamika popote.
Kila mwananchi wa North Korea ni lazima awe mfuasi wa chama tawala kinyume chake kifo ni haki yake.
Wenzao wa South Korea wana maisha bora, haki na Demokrasia imetamalaki.
Hatutakubali Tanzania yetu iwe ya familia ya kundi flani la watu kwa sababu ya manufao yao wakitulaghai ni manufaa ya nchi huku tukipigwa risasi kila tunapohoji juu ya mwenendo wa nchi, huku watesi hawakamatiki.
Nasema hatutakubali kwa gharama yoyote ile.
Tanzania ni bora kuliko hizo siasa zenu za kishamba.
 
Save your hands, tutakusaidia kumchagua
 
Ulizoea kuiba
Najuta kabisa kumchagua 2015

Heri nife au kukatwa mkono kuliko kumpa tena kura yangu Magufuli,

Siwezi hata iwe kwa dawa haitatokea tena,

Magumu tunayoyapitia imetosha sasa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…