Ondoa taarabu zako we mataga!Nafikiri wewe ndio una kiburi,nchi haiongozwi kama unavyofikiri wewe, nchi si saccos,mlizoea kumpinduapindua Kikwete mtakavyo, hiyo miruzi yenu pelekeni kwenye kuimarisha.saccos zenu zenye wenyeviti wa maisha
umeongea vzr lakini hapo kwenye wanawake una ugomvi nao?Muda mwingine unaweza kuonyesha uwerevu lakini kupitia uwerevu wako ujinga wako pia ukaonekana, hivi Dkt Magufuli tangu aingie madarakani alikua anaenda na bajeti aliyoiandaa au aloandaa Kikwete? Tabia za namna hii haitusaidii sisi kama watanzania, hata kama aumpendi jitahidi kupima kwa haki, nafikiri unafuatilia bunge la bajeti na kilichomo unakiona hapo ndo tuanzie, nchi haiendeshwi wewe unavyotaka bali Rais anavyoona inafaa muda wa kupima anafanikiwa au la bado aujafika kupitia bajeti hii tutaweza kupima ni kwa kiasi gani Rais anafanikiwa lakini hii tabia ya kumkatisha tamaa Rais haifai ni tabia za watu wenye husuda na zaidi wamejaliwa wanawake kuwa nazo nchi ikiyumba sio yeye Rais atakayeteseka bali ni sisi wananchi, ni jukumu letu kukosoa pale palikosewa na kuonyesha njia sahihi ya kupita lakini kukosoa tu bila kuonyesha nini kilitakiwa kifanyike hiyo ni tabia ya kike
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Kiongozi wa namna hii wala hafiki mbali hata wananchi tusipochukua hatua ya "Kumlenga Mawe" kama alivyopata kusema Baba wa Taifa
Mfano ni Ali Bongo wa Gambia alivyopigwa na stroke..
Imagine watu wanalalamika Halmashauri ziko hoi kifedha baada ya kuzinyang'anya vyanzo vyao vya mapato lakini bado mtu anazibebesha mzigo wa kugharamia posho za Watendaji wa Kata 4,700 kwenda kuona naye Ikulu, na hapo hapeleki hela kwenye hizo Halmashauri zaidi ya kujenga kijijini kwake, huyu mtu ni makini kweli? Hivi ina maana Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, MaRAS, MaDAS, hawana uwezo wa kuwapa maelekezo hayo ya "kuvuruga uchaguzi" na kuiingiza nchi kwenye migogoro ya kijinga na umwagaji hadi awape yeye mwenyewe?
Imagine watu wanalalamika ubadhirifu mbalimbali unaofanywa na serikali yake lakini bado anapeleka Mawakili "incompetent" 15 kwenye kesi ya kumdhulumu Lissu haki zake, gharama zote hizo za haja gani?
Hapo bado kila siku anazunguka mtaani akigawa hela za Umma Cash hovyo hovyo kwa watu wanaoimba sifa zake kana kwamba hizo hela ni za kwake...
Imagine mtu anaelekezwa ni gharama kununua madege ya mabilioni ya fedha bila kwanza kushughulikia changamoto za uendeshaji za shirika la ndege la ATCL, lakini bado mtu anakwenda mwenyewe kufanya manunuzi pasipo mtu mwingine kufahamu, kisa tu tamaa ya 10%, unajiuliza utimamu wa akili wa ndugu yetu ukoje!
Hapo anahangaika kumsumbua Ramaphosa ndege iachiliwe, bila kujua kuwa kwa South Africa Judiciary hawafanyi kazi kwa amri za Ikulu tofauti na alivyozoea yeye hapa...
Mungu akikuinua ukapata nafasi ya kuongoza Taifa ni heri uendelee kumtegemea na si kujawa na kiburi...KIBURI WILL LEAD YOU TOWARD A CAR CRASH, HEAD ON COLLISION.
Ni vema mtu ukajisahihisha tu, EVERYBODY IS BLESSED WITH A CAPACITY TO CHANGE!
Mungu Ibariki Tanzania!
Hatukujua kama.atageuka ghafla na kuwa dikteta sasa tunayo kazi moja tu
Najuta kabisa kumchagua 2015
Heri nife au kukatwa mkono kuliko kumpa tena kura yangu Magufuli,
Siwezi hata iwe kwa dawa haitatokea tena,
Magumu tunayoyapitia imetosha sasa
Najuta kabisa kumchagua 2015
Heri nife au kukatwa mkono kuliko kumpa tena kura yangu Magufuli,
Siwezi hata iwe kwa dawa haitatokea tena,
Magumu tunayoyapitia imetosha sasa
Unamwambia nani sasa?Najuta kabisa kumchagua 2015
Heri nife au kukatwa mkono kuliko kumpa tena kura yangu Magufuli,
Siwezi hata iwe kwa dawa haitatokea tena,
Magumu tunayoyapitia imetosha sasa
Vipi kuhusu SGR?Najuta kabisa kumchagua 2015
Heri nife au kukatwa mkono kuliko kumpa tena kura yangu Magufuli,
Siwezi hata iwe kwa dawa haitatokea tena,
Magumu tunayoyapitia imetosha sasa
Unamuuliza nani?Unamwambia nani sasa?
Swali gani?Unamuuliza nani?
WeweUnamwambia nani sasa?