Nadhani huna hata chembe ya ufahamu wa Economics,kama umesoma unatakiwa kurudia madarasa,elimu umeiacha shuleni.Wewe unaona kinyume nyume, kuna faida ktk ununuzi wa hizo ndege au sifa pekee, kuna faida ya sgr ya mkopo inayoweza kuuza nchi? Kwa nini uwaue wenye mawazo yenye kuhoji kasoro zinazojitokeza? Mtu wa haki na kweli hawezi kufanya anayofanya huyu
Pasco usijitoe fahamu, nchi zilizopinda ni Somalia, Sudan kusini, Syria, Afghanistan na nyinginezo Tanzania haijawahi kupinda.
Huyu mwizi mkubwa unamwita mzalendo?
Unaujua mkataba wa manunuzi ya ndege? Ni bunge lipi liliidhinisha International Airport ya Chato ambayo anaitumia peke yake tu, ziko wapi Trilioni 2 Kwenye Report ya CAG?
Uchumi unakufa Kila leo unasema huyu ni mzalemdo? kaua soko la korosho, kaua soko la mbaazi na choroko, nchi nzima inalia hali ngumu ya uchumi, kazi yake ni kutafuta wapi pamekaa vizuri ili apaharibu.
Ameikuta nchi imetulia anafanya kazi ya kuipasua na kuiharibu
Nimekuelewa sana, naomba nikueleze tu kwamba usitake kupotosha umma kwa kupindisha kidogo tu, Mh Rais hakumaanisha unachojaribu kuwaaminisha watanzania, Rais hana mpango na kuendelea kuongoza kama unavyojaribu kucheza na hisia za watu, elimu uloipata usiitumie vibaya, subir miaka 10 ipite ndo uongee upuuzi huo.Soma contents za mada uelewe ndo uje kuchangia, usikurupuke utadhani Jokate kamwagiwa kitwili na mzee Meko Kwenye bao la kwanza
Utambue maendeleo ni ya watu na bila demokrasia ya kweli hakuna maendeleo ya watu. Kigali pazuri na pasafi kama ulaya lakini hata kuongea kwa sauti huwezi watu wananong'ona. Watanzania hilo hatulitaki. Tunataka maendeleo ya watu ambayo ambayo utayaona kwa bashasha usoni mwetu. Nimetambua wakusmile ni "strong" na wakufoka ni "dhaifu"Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Mkuu wa Majeshi ni NgoshaUkabila kazini
duh!😳 i kanti bilivu mai noziHivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Kweli ni wewe PASIKALI wa MAYALLA! DIKITETA MZALENDO! Huyu ni wa wapi sasa? Huyu ni kama wale tuliosoma kwenye historia 'benevolent dictators'- naamini hukuimanisha kumpa mheshimiwa sifa ya udikteta! Hata wewe?Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Huu unyoshaji unaunguza shati huko mbeleni mbona ni giza!Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Wewe ni sehemu ya waliokuwa wanufaika wa ufisadi.KinachoWewe ni mbumbumbu mmoja usiyejitambua, unateswa na laana ya waafrika, Rais wa hovyo kabisa ktk historia ya Tanzania eti unasema ni bora?
Tuwekee mkataba wa manunuzi ya ndege, Airport ya Chato na tuonyesh e zilipo Trilioni 2 zilizotoweka Kwenye Report ya CAG.
Tuambie alipo Azori Gwanda, Ben Saanane na Kanguye.
Laana yako tutolee hapa
Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.
Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.
Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.
Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.
Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.
Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.
Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Wewe unaugua ugonjwa mbaya sana wa ukabila na kutafuta uteuzi. Jitu linaendesha nchi kama kpuni binafsi huku watu wakiteseka, lenyewe lilianzisha miradi kifisadi na kujifanya afisa manunuzi wa serikaliPenye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.
Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.
Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.
Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.
Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.
Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.
Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
mkuu uko sawa kabisa yaani kadri siku zinavozidi kuyoyoma huyu dogo namuona kama anatapatapa kufukuzia ukuu ambao MEKO ameshamuweka kwenye blacklist yaani huyu kujipendekeza kwa mwanamume mwenzio ilhali anakupuuzia ni kutokana na uzwazwa anaomuonyesha MEKO.Kati ya wandishi niliokua ninawapa uzito na kuamini wana ujasili mkubwa wa kuhoji ni pamoja na ww, lkn kwa Bahati mbaya sana umekua mtu wa hovyo sana kuliko wale waliokua hovyo kabla yako. tafadhali njaa sisikupeleke pabaya, Usiwe Kijana wa "ndiyo bwana mkubwa".
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Inasikitisha kuona "wasomi" wa viwango vya phd,Professor nao wanakumbwa na wimbi la kina MAKONDA na Bashiru.Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.
Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.
Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.
Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.
Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.
Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.
Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
haueleki kabisa upo kama sijui kitu gani zikiletwa habari za kuvunja sheria unajikuta unapondea.asaivi ananyoosha nchi
Wewe ni mbumbumbu mmoja usiyejitambua, unateswa na laana ya waafrika, Rais wa hovyo kabisa ktk historia ya Tanzania eti unasema ni bora?
Tuwekee mkataba wa manunuzi ya ndege, Airport ya Chato na tuonyesh e zilipo Trilioni 2 zilizotoweka Kwenye Report ya CAG.
Tuambie alipo Azori Gwanda, Ben Saanane na Kanguye.
Laana yako tutolee hapa
kaikuta nchi imetulia? wakati nchi ilikuwa inanuka rushwa na hongo tena nje nje kila mwenye nacho alijiona na yeye ni rais anafanya anachotaka na hakuna wa kumgusa, leo unasema aliikuta nchi imetulia? au kutulia huko unakosema wewe ni kupi? sio kama nakubaliana na kila anachofanya hakuna mkamilifu kwenye utawala but dnt tell us kwamba hii nchi eti aliikuta vizuri now wayPasco usijitoe fahamu, nchi zilizopinda ni Somalia, Sudan kusini, Syria, Afghanistan na nyinginezo Tanzania haijawahi kupinda.
Huyu mwizi mkubwa unamwita mzalendo?
Unaujua mkataba wa manunuzi ya ndege? Ni bunge lipi liliidhinisha International Airport ya Chato ambayo anaitumia peke yake tu, ziko wapi Trilioni 2 Kwenye Report ya CAG?
Uchumi unakufa Kila leo unasema huyu ni mzalemdo? kaua soko la korosho, kaua soko la mbaazi na choroko, nchi nzima inalia hali ngumu ya uchumi, kazi yake ni kutafuta wapi pamekaa vizuri ili apaharibu.
Ameikuta nchi imetulia anafanya kazi ya kuipasua na kuiharibu