Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kweli ni heri kuwa mjinga, kuliko mpumbavu. Wewe unamsifia huyo muuaji kwa lipi? Uwizi wa T 2.4, kufanya serikali, bunge na mahakama viko chini yake au? Acheni kusifia huku mkijua ni uongo, hukumu yenu ni kifo.

mbna ata kabla mahu hajaingia madarakani mauwaji yalikuepo: uwizi pia ulikuepo tena uliokithiri. bunge lilionyeshwa live ikawa ni aibu tu kwa nchi, watu wanakutwa live wamelala ndo unachotaka kuonyesha nchi zingine? rudi shule kama huezi kuangalia kitu upande wa postive
 
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Sawa ila mwambie mkuu tunataka noa zetu
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Wewe acha kutuchanganya hapa... Tangu lini bunge, mahakama, demokrasia vikawa na faida kwetu tangu Uhuru?
 
Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.

Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.

Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.

Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.

Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.

Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.

Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
Kwani hajaihehimu katiba.Hebu tuainishie mambo aliyofanya ambayo yako kinyume na katiba.
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!

unasababisha watanzania wengi wenye akili timam waonekane hawana akili kama wewe: cha msingi rudi shule tu amna fadia yoyote umeleta uku mtaani,
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!
Bunge halina tena makali... Tupo kimya!
Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!
Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!
Watu wanauawa... Tupo kimya!
Watu wanatekwa... Tupo kimya!
Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!
Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!
JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!
LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!

Bahati mbaya sana mkuu, umejiunga jf miaka 4 tu iliyopita, nyuma kidogo kabla yako kulikuwa na kampen kubwa ya hum jf kuwa tunahitaji rais mkali, ambae atakemea maovu, Mungu si athumani kamleta magufuri,

Wakati huo mnyika alikuwa miongoni mwa wa bunge mahiri sana akafika hatua akamuita rais wetu dhaifu, hakuna alie lalamika, kulikuwa na maandamano na migomo isiyokuwa na kichwa wala miguu, ilifika mahari mpka wenye magari wakawa wanagoma, unaamka tu asb unawnda ubungo au kwenye kituo cha daladala hakuna usafri, uliza sabab sasa hakuna...

Nchi ilifika hatua hakuna mwenye maamzi ya mwisho, na hakuna alie ona, sasa amekuja mkali, leo tena kuna malalamiko, watz tupewe nn?

Tumwache amalize awam yake, lawama ni lazima maana hata Mungu pamoja na kutuumba katuambia tu tumtiii lakn bado tunaona hafai...
 
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Hivi Pascal mbona your capacity of thinking is diminishing?
 
Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.

Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.

Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.

Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.

Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.

Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.

Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi

YAANI ILI UPATE CHA KUMKOSOA MAGUFULI NI LAZIMA KWANZA UMSINGIZIE JAMBO HALAFU HICHO ULICHOMSINGIZIA NDIO KIWE MSINGI WA KUMKOSOA NA WENGINE HATA KUMKASHIFU NA KUMTUKANA. KWELIN MAGUFULI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA ISIYOKUWA NA LAWAMA HALISI
 
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Comment yako hii imezingatia maslahi ya nchi na Watanzania au yamezingatia maslahi ya usukuma na uchumia tumbo, hebu waonee huruma watanzania wanavyoteswa na shetani mkuu wa Bermuda triangle ya Tanzania.
 
Magufuli ana ugonjwa wa akili wa kujichanganya.

Mara anasema hakutaka hii kazi, mara anasema kachoka, mara anatamani angekuwa IGP, mara hataki kubakia madarakani baada ya muda wake kuisha, mara anataka kuongoza hata baada ya muda wake kuisha.

He is all over the map.

Hata yeye mwenyewe anajua anataka nini?
 
Hela zinapelekwa kwa kufanya maendeleo halafu zinapigwa na hao wachache
Halafu mpaka Rais au PM azunguke ndio madudu yaonekane
Kwa kweli huwa sielewi je kwanini watu wengine wanapenda watu waendelee kupiga hela na kurudi nyuma tu
Kuna maamuzi lazima yafanyike ili mambo yaende
 
Hii nchi bila Magufuli hatuwezi kwenda mbele. Kura yangu nitampa tu na hata kama ni miaka mingine aendelee kama Kagame aweze kuinyoosha hii nchi maana ni kweli ilikuwa imeoza. Wananchi mpeni tu kura, anapokesea ni mapungufu ya mwanadamu tu lakini kwa ujumla anajitahdi.
 
N
Pasco usijitoe fahamu, nchi zilizopinda ni Somalia, Sudan kusini, Syria, Afghanistan na nyinginezo Tanzania haijawahi kupinda.
Huyu mwizi mkubwa unamwita mzalendo?
Unaujua mkataba wa manunuzi ya ndege? Ni bunge lipi liliidhinisha International Airport ya Chato ambayo anaitumia peke yake tu, ziko wapi Trilioni 2 Kwenye Report ya CAG?
Uchumi unakufa Kila leo unasema huyu ni mzalemdo? kaua soko la korosho, kaua soko la mbaazi na choroko, nchi nzima inalia hali ngumu ya uchumi, kazi yake ni kutafuta wapi pamekaa vizuri ili apaharibu.
Ameikuta nchi imetulia anafanya kazi ya kuipasua na kuiharibu
Ndege zimeanza kuchakaa, bunge karibu mda wake uishe, CAG yupo njiani kuwasilisha riport nyingine - lakini wapinzani mmebaki na agenda hizo kuukuu! Ndio maana wananchi hawawaungi mkono. Hamna jipya lolote. Mnakalia hayo madudu yenu ya kutunga ambayo ni zilipendwa. Leteni chalenges mpya serikali izifanyie kazi, ndiyo maana ya upinzani wenye tija. Siyo lawama lawama tu! Jiongezeni jamani tuwaunge mkono.
 
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.
Niko na wewe mkuu. Watu walipiga dili sana nchi hii hakuna aliyesema. Sasa nchi inaenda vizuri tunalalamika. Tujitafakari.
 
Hoja nzuri,tutafute jukwaa sahihi kufanikisha hilo mapema iwezekanovyo.
Tudai Katiba ya wananchi kabla hatujakawia zaidi.Wakati ni sasa,tuunganeni kupata Uhuru halisi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom