Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Makali ya bunge yanapimwaje?

Na ni lini lilikuwa na hayo makali?
 
Magufuli kainyoosha nchi au ndiyo kaipindisha kabisa? Kunyoosha nchi unatoa hiki unaweka hiki. unaanzia toka kwenye conceptual, vision, objectives, mpaka plan of action. kila mtu anaelewa wajibu wake na nini afanye. Ukivuruga mfumo uliopo halafu usijenge mfumo mpya, unaleta vacuum, na tunajua kwamba NATURE ABHORS VACUUM.

Angalau wakati wa Azimio la Arusha ilijulikana tunatoka wapi tunakwenda wapi. mikakati ilikuwa wazi. maadui wetu walikuwa wanaeleweka. sasa hivi ni holela tu. HAPA KAZI TU maana yake nini? huu utaratibu wa kutumbua watu juu kwa juu, unaondoa uzembe na kuleta efficiency? ni wangapi ambao wanatendewa visivyo au kuonewa kwa sababu tu hawakupewa muda wa kusikilizwa? Hivi tunaweza kweli kusogea mbele kama nchi kama maamuzi yetu makubwa yatachukuliwa kwa kutumia hisia tu? kwamba kwa kuwa kuna watu WANATUHUMIWA kuchoma moto mahali, na kwamba wameachiwa kwa dhamana, na taratibu za dhamana zipo kisheria, basi Rais anaagiza tu kwamba WAKAMATWE MARA MOJA WAKAE NDANI!! Hapo wanarudi ndani kwa amri ya rais? au shauri linarejeshwa mahakamani? nani anajua kwamba wale ndio wahusika kweli?

Rais anafanya maamuzi mengi sana kwa hisia tu. tutaweza kweli kuwa competitive katika ulimwengu wa tekinolojia kali?
 
Lini chadema mtafanya uchaguzi wa mwenyekiti wenu na sekratarieti ya saccos yenu?
Kelele tu huku umebana pua eti katiba inavyunjwa na mpo kimya,"nonsense"

Jengeni saccos yenu
Kichwa chako kibovu kama cha kuku, soma hiyo ndiyo unijibu. I want sensible answers to that not ngonjela za lumumba. Nitakupima leo!


AMEANDIKA BABA ASKOFU BAGONZA (PHD)

Maana yangu hii:

- Wanaosema Mbowe kawa MwenyeKiti wa maisha, wanageuka na kuunga mkono kuondoa ukomo wa vipindi vya urais katika katiba?!
wamemtuma mtu alijifanya mkulima kutest zari, katesti, tusishangae majibu ya mahakama na msajili akayafanyia kazi.
kauli za juzi kwamba akiondoka atamwachia nani stigla, barabara, bomberdier na sgr imekupa jibu, usisubiri malaika.
WAtu hao hao, wanaomba Mungu wengine allah, kila uchao Mbowe asigombee uenyekiti, wanataka mtu wao, huku ni ikiwa haijulikani.


-Wanaounga mkono Mbowe apate mpinzani ndani ya chama chake katika uchaguzi, wanageuka na kupinga uwepo wa mgombea mwingine ndani ya chama chao hapo mwakani!?

Wanaopinga mgombea pekee kwenye chama cha jirani, hao hao wanapiga kura kwa mgombea pekee katika chama chao, tena wengine kwa kuwaachia wengine wawaandikie kwenye kura ili waaminike kuwa hawakuasi msimamo.

-Wanaotabiri na kutamani kuwa upinzani ufe, hao hao wanasisitiza kiongozi wa chama hicho anayeonekana mbaya, aondolewe. Si angebaki ili akiue vizuri!?

-Wanaoshabikia kuwa upinzani umeisha, wanageuka na kushangilia msajiri anapoandika barua ya kutishia kufuta usajiri wa vyama vya upinzani!? Afute nini ikiwa upinzani haupo?

Nilimaanisha contradictions hizi masikioni zikizoeleka zinaondoa radha ya maisha. Kwa shule zilifuta Debate Clubs?
 
Hao sio hata chembe ya tone Tanzania, wengi wetu tuko kimya na hatuwasaidi wachache wasemao ukweli, bila ya kujali itikadi, chama, dini, kabila au mkoa.

Mambo yakiendeshwa kombo waumiyao ni watanzania, sio chadema ,Act ama upinzani kwa ujumla.

Hao uliowataja hawawezi kuwa na uwezo wowote kama wayapigiayo kelele hayawadhuru watanzania wengi na hatutaunga mkono kupinga mambo yanapoendeshwa kombo.
 
Mambo yapo uvunguni, kachungulie uyaone. Ila wenzio waliochungulia wanapigwa BITI kama sio kupotezwa
Kama unashirikiana na mabeberu kuisaliti nchi kwa njia yeyote ile,unatukana viongozi,unapotosha wananchi kwa maslahi ya chama chako au binafsi,kwa nini usishuhulikiwe?Maslahi ya taifa,busara na hekima lazima vipewe kipaumbele.
 
Mitanzania mingi mijinga acha ibanwe hadi sote tuwe na akili sawa.
Mtu anakuja kwenu hamna maji anasifia kununua ndege na fly over na sgr wakati wengi wenu hamtafika Dar


Sasa ulitaka hao Watz wajinga wafanyeje wakati wao ni wajinga??, ni sawa na kumlaumu kuku kuendelea kukubali kufugwa na binadamu wakati hajitambui kwamba ipo siku atapigwa kisu.🤣
 

Jamani mbona hiyo hotuba wote tumeisikiliza hajamaanisha hivyo kama mnavyotaka watu waamini??? tatizo hatusikilizi maudhui ya hotuba nzima badala yake tunakata kipande tu chenye maneno tunayotaka wenyewe aidha kwa bahati mbaya au makusudi!!!
 
Sasa mbona hata hizo teuzi live na ikulu live zinafanyika muda na siku za kazi! Kwa hiyo na hao wanaofuatilia mubashara kupitia vituo vya luninga hawana kazi za kufanya!
Labda nikuulize teuzi zunafanyika kila siku?live
 


Mkuu, mwenzako ametoa hoja za ambazo unatakiwa uzijibu:-

1--- Mikataba ya ununuzi wa ndege iko wapi??

2--- Ujenzi wa Chato Airport

3--- Zilipo trillion sh 2

4--- Walipo akina Azori, Saanane, Kanguye.


Naye uumpe ajibu hoja hizi:-

1--- Ujenzi wa Bwawa la umeme stieglier

2--- Ujenzi wa SGR.

3---Ununuzi wa ndege

4--- Ujenzi wa maelfu ya zahanati.

5----Wanafunzi wa nsingi na sekondary kusoma bure na mikopo ya elimu ya juu.

6--- Uwajibikaji na nidhamu katika vyombo vya umma.

7--- vita dhidi ya ufisadi na Rushwa.

8---Kuongezeka kwa makusanyo ya kodi.

9--- Ufuatiliaji katika mikataba ya raslimali za nchi.nk.
 
Which action? Maneno tu? Onyesha vitenda. Mange si alijaribu wewe unashindwa nini?
 
Jinga kweli wewe, Tunamwombea Sana ili awahi kuondoka akaongoze malaika
 
Mkuu yaani wewe huoni baadhi ya watendaji wake wanaendelea kumwangusha nyakati fulani? Wanaiba pesa, na hii ni kwa kuwa haongozi peke yake. Waliiba hizo trillioni unazozisema ambapo sina uhakika hata kama una ushahidi nazo kuwa zillibwa.
Kwa hiyo CAG ni muongo?
Tuanzie hapo kwanza
 
Usikute wewe hapo akipita eneo lenu unapiga makofi.
So wee jitahidi kupiga makofi tu.kama unaweza mface ana kwa ana.
 
Nimesema mimi au yeye ndo alisema kwa kinywa chake?
 
Acha usenge ww
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…