Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Tatizo mnasumbuliwa na mahaba ya kumpenda mtu badala ya kuutambua ukweli, Tanzania unasema imetulia?
Kwa hiyo unataka kusema hakuna rushwa Tanzania sasa hivi?
Mikononi mwa Magufuli Tanzania inanuka shida kuliko wakati wowote ule
 
YAANI ILI UPATE CHA KUMKOSOA MAGUFULI NI LAZIMA KWANZA UMSINGIZIE JAMBO HALAFU HICHO ULICHOMSINGIZIA NDIO KIWE MSINGI WA KUMKOSOA NA WENGINE HATA KUMKASHIFU NA KUMTUKANA. KWELIN MAGUFULI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA ISIYOKUWA NA LAWAMA HALISI
Wewe ni chizi nenda Mirembe haraka
 
Hivi mkuu , je uvundo wa rushwa umeisha , umepungua , umeongezeka ama upo palepale?
Ufisadi haupo?

Nafikiri tusisifie saana pasipo kuangalia uhalisia wa mambo
 
hebu waonee huruma watanzania wanavyoteswa na shetani mkuu wa Tanzania.
Mkuu Chief Kabikula, sio haki, sio utu, sio heshima kumuita binaadamu wa Mungu kuwa ni shetani!. Hata Osama licha ya yote aliyowafanyia Wamarekani, hawakuwahi kumuita shetani, na kwa taarifa tuu, alifanyiwa ibada ya maziko kwa heshima zote za dini yake ikiwemo kuoshwa, kuvishwa sanda, kuswaliwa na sheikh wa Kiislamu na kuzikwa baharini kwa kutizamishwa kibla!. Mtu utamuitaje shetani?.
P
 
Samahani, nilidhani umeungana na namba tano hapo juu.

Anyways, mbona rangi inazidi kukorea? More assertive than I have ever read from you! No ambiguity or mipindisho!
 
Hivi mkuu , je uvundo wa rushwa umeisha , umepungua , umeongezeka ama upo palepale?
Ufisadi haupo?

Nafikiri tusisifie saana pasipo kuangalia uhalisia wa mambo
Kumbe wewe hauna elimu ya mambo ya vyuma. Kazi ya kunyoosha vyuma vilivyopinda sana na kukaa muda mrefu, hufanywa taratibu kwa kunyooshwa kidogo kidogo. Ukivinyoosha kwa nguvu, vitakatika.
Hivyo tunakwenda mdogo mdogo, sasa rushwa imepungua, ufisadi umepungua, maendeleo yanakuja kwa kasi, midege ile angani, madaraja ya juu kwa juu, viwanda vinajazana, reli ya SGR inakamilika, umeme wa Stigila unakuja, Tanzania ya viwanda inakuja, Tanzania ya uchumi wa kati inakuja, Tanzania donor country inakuja. Sasa kila nyumba itakuwa na mabomba matatu matatu, mabomba nchi nzima yatatoa maji, maziwa na asali.
P
 
YAANI ILI UPATE CHA KUMKOSOA MAGUFULI NI LAZIMA KWANZA UMSINGIZIE JAMBO HALAFU HICHO ULICHOMSINGIZIA NDIO KIWE MSINGI WA KUMKOSOA NA WENGINE HATA KUMKASHIFU NA KUMTUKANA. KWELIN MAGUFULI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA ISIYOKUWA NA LAWAMA HALISI
Wenye mawazo M-badala wanasikilizwa? Embu anzia hapo KUMSIFIA MAGUFURI nisije nikaambiwa namsingizia kitu kwenye kona hiyo
 
Na polisi wakihakikisha uwepo wa u(hasa)ma/usalama wa raia katika ukamuaji /utumiaji wa maziwa na asali.
 
Wewe unajisumbua bure,hivi unafikiri aliyofanya Magufuli hawayajui,wanayajua, ila wanajifanya hamnazo na hawayaoni.Tumesha ainisha sana yote aliyofanya Magufuli hapa JF.,lakini kila siku ni back to square one.Ni chuki binafsi na husda tu zinazowasumbua mkuu,hamna lolote.
 
AENDELEE KUMALIZA muda (10yrs) wake, ila nitamuelewa akimalizia na katiba mpya. "End justify the means"
 
Huyu Mayalla ashalegezwa na bahasha

Ova
 
Tunapo anzisha uzi tuwe na fact za kuwapa wanazengo attention ya kuusoma uzi na kuchangia kwa marefu na mapana
Kujenga ni kazi sana hasa ukiwa na wasaidizi walio kua wakiishi kimazoea magufuri kaingia madarakani alikua anajua kabisa kwenye uozo TRA makamishina waliweka hela adi kwenye vyombo vya maji TPA kulijaa uozo mtupu akajitaidi kurekebisha saizi yupo anapambana kurekebisha na kufufua shilika la reli tusisahau kua ATCL ilikua na hali mbaya sana nayo kaifufua binadamu wote tunamapungufu ila uyu mzee anamaumivu makubwa sana kwa nnchi kwani anajua viongozi wengi walivyo wapo ki maslahi sana wanao ishi dar es salaam nadhani wanaona jinsi jiji la dar es salaam linavyo rekebishwa kwa sasa dodoma napo kumenoga mikoa ni mingi Tanzania nazani wengi ni mashahidi uko mliko kunamaendeleo mengi sana yanayo fanyika ikiwemo ujenzi wa barabara vituo vya afya usambazwaji wa maji safi ni mengi mnoo yaliyo fanyika kwenye awamu ya tano

Ningumu kukidhi mahitaji na matakwa ya watanzania wote ata marekani nako Kuna watu awana kazi wanamaisha magumu na hawana ata makazi maalumu ko nnchi Kama Tanzania kwa kipindi hiki tunacho pitia ni kigumu Sana ambapo mambo yanayo fanyika kwa Sasa yalitakiwa yawe yashafanyika mda Sana
 
Kinacho onyesha mwelekeo wa nchi ni itikadi ya chama sasa bas ccm haina itikadi inayo onesha landa serikali hii inafwata mfumo wa kijamaa au kibepari(kineberu)hivyo tupo njia panda hata Magufuli mwenyewe ukimuuliza hii nchi ni ya kijamaa au kibepari(kibeberu) atashindwa Kukujibu kwa uhakika ndio maana tulitaka kwenye katiba mpya hilo liwekwe wazi.
 
Well said Mkuu..
Nashangaa mleta Uzi hadi Leo hajui Magu anatupeleka wapi..!
Weka likizo itikadi ya siasa kwa muda utaona Magu anatupeleka wapi..!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…