Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Sasa nchi itapata wapi hela ya kufanya yote hayo bila kutengeneza uchumi kwanza

Let say haya angesema tulete bomba hapo. Ni Vijiji vingap havina bomba? Je bomba ndiyo ingeiinua uchumi? Hayo maji ndiyo yangeweza kulipa elimu bure, afya na umeme! Mi nafikiri Mkuu wewe ndiyo huna elimu. Kuna kitu kinaitwa diversity of economic yaani kufanya nchi ijitegemee kwa kuutawanya utegemezi wa uchumi?

Ili yote haya yafanyike lazima nchi itengeneze uchumi unaotegemea vyanzo mbalimbali. Mfano kupitia usafiri wa anga
ndiko tunaibua na Utaliii. Hapo ndipo kutakua na kipato cha kufanya yote hayo. Kwa kutegemea kodi tu hutaweza kutatua matatizo yote.

Soma hata uchumi wa Dubai kama huelewi, au Quatar jinsi wanavyoweza kujitoa kutoka kwenye uchumi wa utegemezi wa mafuta.
 
Mleta mada Tanzania kuna shida hasa kwenye maji watanzania wengi vijijini wamelaaniwa .Mtu utasikia eti maji wanachota umbali mrefu!!!

Kwa nini wasihamie karibu na maji? Mto.unaukuta unatiririka polrini peke yake watu wanaishi kilomita kumi mbali na uliko mto .Unajiuliza hivi hawa watu vichwa vyao viko sawa?
 
Watanzania waliyowengi bado wanaujinga hivyo unaweza waaminisha chochote na wakaamini

1995-Waliaminishwa wakichagua Upinzani kutatokea Vita, Wakaamini hivyo

2005-Wakaaminishwa Wamchague JK sababu ni kijana miaka 55 wakati huo, Wakaamini.

2015 Wakaaminishwa wachague Mzalendo na anayejali Wanyonge, Wakati ana tuhuma za Ufisadi wa Nyumba za Serikali..

Ni Majuzi Katika ziara kuna Mama Mariam aliomba maji, Majibu aliyopewa ni aibu.

Ukweli ni kwamba Ujinga wa kuchagua kishabiki bila kuchambua hakuna kitakacho badilika TZ.
 
Umasikini wa kujitakia, mtu huna hela unaishi kijijini kula shida bado unazaa watoto 10, huna pa kuwalisha, watu wa vijijini wanatuongezea umasikini bora wachinjwe wabaki wale wanaojiweza, hawa wengine futilia mbali kama iddi amini
 
Umasikini wa kujitakia, mtu huna hela unaishi kijijini kula shida bado unazaa watoto 10, huna pa kuwalisha, watu wa vijijini wanatuongezea umasikini bora wachinjwe wabaki wale wanaojiweza, hawa wengine futilia mbali kama iddi amini
 
Mamilioni ya watu Tabora kunufaika na mradi wa maji ya Ziwa Victoria
 
Hao wanyonge wenyewe wanafurahia kulikodolea macho hilo dege, niliona namna walivyopata mzuka kupiga picha na dirimulaina, yaani kumiliki tu drimulaina unajihisi kushiba shiba.
 

Acha tu ndugu yangu, mimi ninapigwa na butwaa, sielewi nani atatuondolea balaa hili, hakika Kikwete sitamsahahu maishani kwa kutuletea mateso makuu namna hii
 
Navipi Kama akitanga hadharani kua Hana mpango wa kuachia madaraka mtafanya nini.

Tutathibitisha yeye ni dikteta na hafai tena kuwa kiongozi, tutaingia barabarani kumpinga kwa jasho na damu yetu kwa ajili ya ukombozi wa pili
 
Kwamba kila ndege imenunuliwa kwa bil 600?
Kwa taarifa yako dreamliner yenyewe ni almost bil 500.
Bombardier ni around 50 bil.
Tukiachana na hilo miradi ya maji inajengwa kwa speed kubwa nchini kote na hili mnalijua ila mmeamua kuwa wapumbavu.
Hatuwezi kusita kununua ndege kisa kuna watu hawajapata maji.
Endeleeni kudanganyana huko cdm.
 
uwekezaji wa ndege ni suala la kiuchumi ambalo litaleteleza uwezo wa kutoa huduma za maji kuongezeka.
na usichukulie uwekezaji wa kwenye ndege kama ni huduma vs huduma ya maji.
fikra hizo ni kwa mtoto ndio anayeweza kuinganisha hivyo vitu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…