Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...

Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...

Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!

Porojo zako zingine nakuachia mwenyewe ila hilo la Watumishi wa Umma kutolipwa Mishahara ndani ya Miaka Mitano kama ulivyobainisha hapa nitakukatalia hadi mwisho wa dunia kwani hapa umedanganya hadi umepitiliza. Hata hivyo sikushangai sana kwani Watu wote ambao ni ' Anti - Magufuli ' mna Vipaji vikubwa mno vya Uzushi, Uwongo, Chuki na Wivu mwingi sana.
 
Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...

Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...

Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Siku mola akimpenda tutamzika na midege yake
 
Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...

Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...

Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Wewe wala si mtumishi ni wakala wa mafisadi tu! Hapa Kazi Tu!
 
Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...

Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...

Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Mh! Bora wewe unawaza ballot box! Yaani huyo mtu aondoke kwa sanduku la kura? Mkwere alivyovuruga katiba mpya, I knew we are done for good. Kwa kizazi chetu tusahau,hakuna haueni. Yoyote aliyetuumba atujalie tu tufe kwa amani. So hurt.
 
Mh! Bora wewe unawaza ballot box! Yaani huyo mtu aondoke kwa sanduku la kura? Mkwere alivyovuruga katiba mpya, I knew we are done for good. Kwa kizazi chetu tusahau,hakuna haueni. Yoyote aliyetuumba atujalie tu tufe kwa amani. So hurt.
Hapa Kazi Tu!
 
Wewe wala si mtumishi ni wakala wa mafisadi tu! Hapa Kazi Tu!
Kazi ipi msiyolipa annual increment kwa watumishi? Nasasa watumishi walivyo na akili wanapigania kadi za ccm na kuanzisha magroup ya wasap ya kinafiki ila mngejua yaliyomo moyoni mwao msingefanya myafanyayo imagine mwezi huu mwalimu kakatwa 185000 ya bodi helsb bado paye amekatwa 222000 imagine mwl kama huyu atalipenda Hilo lichama la kimumiani?
 
Kazi ipi msiyolipa annual increment kwa watumishi? Nasasa watumishi walivyo na akili wanapigania kadi za ccm na kuanzisha magroup ya wasap ya kinafiki ila mngejua yaliyomo moyoni mwao msingefanya myafanyayo imagine mwezi huu mwalimu kakatwa 185000 ya bodi helsb bado paye amekatwa 222000 imagine mwl kama huyu atalipenda Hilo lichama la kimumiani?
Annual increment mbona zinalipwa mkuu!! Ndiyo maana nikasema wewe si mtumishi wa umma!
 
Wakina nan hao hawajalipwa mishahara miaka minne? Na ulishawahi ona kampuni za marekani zinapokea tsh kufanya biznez? Kumbe ata uchumi hujui
 
Kazi ipi msiyolipa annual increment kwa watumishi? Nasasa watumishi walivyo na akili wanapigania kadi za ccm na kuanzisha magroup ya wasap ya kinafiki ila mngejua yaliyomo moyoni mwao msingefanya myafanyayo imagine mwezi huu mwalimu kakatwa 185000 ya bodi helsb bado paye amekatwa 222000 imagine mwl kama huyu atalipenda Hilo lichama la kimumiani?
Wewe ni mtumishi wa umma? Kazi unafanya saa ngapi muda wooote huko kwenye mtandao alafu unadai mshahara uongezwe! Kwa lipi? Wee unadhani JPM hana akili?
 
Annual increment mbona zinalipwa mkuu!! Ndiyo maana nikasema wewe si mtumishi wa umma!
Waulize hao walimu Mara ya mwisho wamelipwa lini toka jp kaja na watumishi wanakataa kulipwa increament mpk leo
 
Inaoneka una uchungu sana mkuu sio hilo tu la watumishi huyu jamaa baya zaidi ni hili la uminyaji wa democrasia hali iliyofanya vyombo vya habari kutoripoti habari zozote za wapinzani ambao walikuwa wanazungumza vitu vilivyokuwa vinawafungua wajinga ila sasa wajinga wamebaki kushangilia ndege tu bado ndege saba kutimia ndege 14 ni mtaji mzuri kisiasa ila si kimaendeleo




Ethiopia wana ndege 100+ sisi ndo kwanza hata kumi hazijafika unalia
 
Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...

Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...

Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Acha pumba unafikiri Watanzania ni wapumbavu sana wafanye kazi miaka minne bila kulipwa,kwani Tanzania ni msikiti au kanisa.
 
Waulize hao walimu Mara ya mwisho wamelipwa lini toka jp kaja na watumishi wanakataa kulipwa increament mpk leo
Increment sio chakula kwamba kila mda unaongeza tu, unaangalia na hasara utakayopata kwa kuongeza mishahara, serikali imeshaingia hasara za kutosha kwa kupandisha mishahara, nchi za wenzetu unapandisha mshahara ukiona value ya MTU ni kubwa ,
 
Increment sio chakula kwamba kila mda unaongeza tu, unaangalia na hasara utakayopata kwa kuongeza mishahara, serikali imeshaingia hasara za kutosha kwa kupandisha mishahara, nchi za wenzetu unapandisha mshahara ukiona value ya MTU ni kubwa ,
Kumbe value ya walimu madaktari na manesi Ni ndogooo astaghafilulah ccm !! Ndio mlisema mtawaongeza watumishi mishahara kiruuuuuu siasa nyoko
 
Kumbe value ya walimu madaktari na manesi Ni ndogooo astaghafilulah ccm !! Ndio mlisema mtawaongeza watumishi mishahara kiruuuuuu siasa nyoko

Elewa kwanza kabla hujaruka kuongea: sisi wote ni madokta, wewe operation zako success rate ni 98% , mm operation zangu success rate ni 50%_ people will choose you highly over me, so wewe unastahili kuongezewa, na ndivo kote duniani kunavofanya kazi. Mshahara nitapewa lakini haiwezi kua sawa na wewe, sasa we unataka mm mwenye 50% niongezewe sawa? Ata bible mbna inasema kabisa, mwenye nacho ataongezewa na asie nacho ata icho kidogo utanyanganywa: kwahio ata nkitimuliwa kazi ni sawa
 
Waulize hao walimu Mara ya mwisho wamelipwa lini toka jp kaja na watumishi wanakataa kulipwa increament mpk leo


For you to be a great leader lazma uangalie pros and cons, gharama zilizotumika kwenye utengenezaji wa sarafu za 50, 100 , 200 nan atazilipa kama mnataka increment, they are useless saahv.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom