MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Nothing special in Tz ,poor roads ,heath care , mtu akioongea English sio mzalendo ni ushamba tu bora Africa kusini its a free county with great opportunities
Siitetei Tanzania, ila hiyo Afrika Kusini unayoisifia kuwa na uhuru si huko ndiko wageni waafrika weusi huchezea mapanga, bora niishi kwenye shithole yangu kuliko kuishi nchi ya mazombi kama hao wa Afrika Kusini.
Huko hata ufanye lipi, ipo siku mtafurushwa.