Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Naamini wote hao wanaona na wanafuatilia vioja vya JPM na ninaamini huwa wanaziba nyuso kwa mshangao lakini hawafanyi lolote kwa sababu wanajua watakuwa wanapoteza muda na busara zao maana yeye anajua kila kitu. Kwa hiyo ni "ngoja aicheze ngoma yake mwenyewe."Binafsi nadhani bado hajajua ugumu na uzito wa jukumu la kuwa rais wa nchi. Anachukulia mambo kirahisi sana. Anadhani waliomtsngulia walikuwa wajinga sana kuheshimu utawala wa sheria na demokrasia. Anaamini kabisa ataweza kuongoza hii nchi kwa vitisho? Na wazee wa busara km kina Warioba na Salim Ahmed qanaona kijana wao anapotea njia wao wanakaa kimya? Kwa Kikwete siwezi kushzngaa kwa sababu nina hakika hata Magu akikosea stamwacha ili aumbuke! Mkapa yeye kwa sasa ni km amepoteza mwelekeo! Ishu ni hawa wazee wenye busara, warioba, salim ahmed, butiku, msekwa mzee wa demokrasia, hawa wapo wapi? Hawaoni tunakwenda shimoni_?
We ndo nabii nani?Nikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
hahaha,andiko mujarabuLeo nimeona raisi akiendelea kuomba kula uko singida....!!hivi hakuna mtu wakumshtua raisi a mwambie kuwa kampeni zimeshakwisha na yeye ndo anaedhaniwa alitangazwa kuwa mshindi!?
Anao uzoefuNitauza nyumba Nzote za umma za dsm
Huyu jamaa balaa alilianza pale aliposema atawafanya waTz waliokuwa wanaishi kama malaika waishi kama mashetani!Nikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
Nikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
Mie nashauri tutulie tuone mwisho wake utafka wap!... Wala tusiangaike tufanye mambo yetuNikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
Tuna Askofu mmoja tu Tanzania mwenye uwezo wa kusimama na kusema ukweli, maaskofu waliobaki ni majanga matupu wanafki tu.Nikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
sikio la kufa mkuu ..wahenga walituachia hiyoNikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
umemwaga madini matupu mkuuMustakabali wa kinachoendelea kwa sasa utatoka ndani ya ccm yenyewe! Chama kimesurrender kwa mtu mmoja wote wanamsikiliza yeye tu! Anasema hadi 2020 serekali itakuwa imehamia dodoma kesho yake unasikia mawaziri kila mmoja anatamka tarehe ya karibu kuhamia dodoma kumshinda mwenzake, anasema sukari bei elekezi ni 1800 viongozi wote hadi Waziri mkuu nae anacheza wimbo huo bila hata kuhoji, anasema kuna watu walikuwa wanaimba tuna Imani na mtu fulani ningekuwa mimi mwenyekiti ningewapoteza watu wazima wanacheka kama mazuzu hata hawahoji ungewapotezaje? Anasema hapa kazi tu kila mtu anacheza hapa kazi tu wakati hamna kazi, anasema mikutano ya siasa hadi 2020 watu bila kuhoji wanacheza nyimbo yake hadi Waziri mkuu, hamna mwenye courage ya kumwambia umekosea, wakitoka njee ndio unasikia wanaulizana umemwelea muheshimiwa? Wengine ndio unasikia huyu jamaa haeleweki nakwambia hii nchi itamshinda. CCM ya sasa inaendeshwa na mtu mmoja wenye weledi wamebaki kushangilia ili wapate chakula cha kuishi!