Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 682
Nilidhani umeandika kitu kipya kumbe wimbo ni ule uke tu. Safari hii mtapiga mayowe sana, mlizoea kujichotea na kuwaibia watanzania.
Binafsi nilikua siitaki CCM lakini hapa kwa Magu nampa support yangu.
Hayo uliyo yataja ni ya uongo na mengine hayana tija. Raisi hajakataza mikutano alichokataza ni mikutani ya hadhara na inayo vunja amani. Kuhusu bunge live? Kwani wewe hyna kazi ya kufanya? Wataga uangalie bunge halafu ukae tu bila kufanya kazi? Basi we ni mzembe. Na kwani hao wabunge tuliowachagua hatuwaamini huko bungeni? Hadi ukae uangalie bunge live?
Na hilo unalosema raisi ana ubinafsi na anajifanyia kama nyumba yake, kwani anachofanya anapelek nyumbani kwake? Yote aliyi fanya kwa muda huu mfupi ni mengi sana kuliko makosa anayo fanya.
Binafsi nilikua siitaki CCM lakini hapa kwa Magu nampa support yangu.
Hayo uliyo yataja ni ya uongo na mengine hayana tija. Raisi hajakataza mikutano alichokataza ni mikutani ya hadhara na inayo vunja amani. Kuhusu bunge live? Kwani wewe hyna kazi ya kufanya? Wataga uangalie bunge halafu ukae tu bila kufanya kazi? Basi we ni mzembe. Na kwani hao wabunge tuliowachagua hatuwaamini huko bungeni? Hadi ukae uangalie bunge live?
Na hilo unalosema raisi ana ubinafsi na anajifanyia kama nyumba yake, kwani anachofanya anapelek nyumbani kwake? Yote aliyi fanya kwa muda huu mfupi ni mengi sana kuliko makosa anayo fanya.