MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Unatukana kwa faida ya nani? Ndivyo ulivyofunzwa mnyama mbwa kasoro mkia you.Mamamae mmeshikwa kila mahali mwaka huu mtakunya tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatukana kwa faida ya nani? Ndivyo ulivyofunzwa mnyama mbwa kasoro mkia you.Mamamae mmeshikwa kila mahali mwaka huu mtakunya tu!
Nafikiri upinzani kuna kifu walifikitia, sasa naona huu mtego unaenda kunasa.Yeye badala ya kwenda nchi kama malaysia na singapore kuuliza na kudadisi uchumi wa viwanda unafikiwaje? Yeye yuko kuhama na nzega anasema mimi sijaribiwi! Kweli maajabu yako Tanzania ambako mtu hajafanya mtihani ila anasubiri matokeo!
Ndugu unataka katibu Mkuu akitangazie wapi chama,chumbani kwake au??..lakini katibu mkuu mpya anaonekana amepooza.
..jitihada za kukitangaza chama na kupata wanachama wapya hazionekani.
..bado tunasubiri ccm na serikali wakosee ndiyo viongozi wetu wanaibuka na matamko.
..jumuiya ya vijana wanaonyesha jitihada. Lakini hawa ni vijana.
..jumuiya ya wanawake imepooza kabisa. Ccm wanatushinda kwasababu wanawake hawaungi mkono Cdm.
..tunatakiwa tuanze kujipanga upya sasa hivi.
Nb:
..tuelekeze nguvu zaidi kupata madiwani na wabunge wengi zaidi.
..pia tutafute wagombea wazuri na mahiri wa Uraisi.
Wewe si mtumwa tu, huna hata cha maana.Mta unda ngonjera sana awamu hii ya Magufuli
Nabado Magu kaza kaza zaidi.
"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
Tumuombe Mungu atuepishe na Yanayofikiriwa kwa mlengo hasi.Viwada ilikuwa kuzugia tu.Hapa ni kupiga na kuua tu
We MB.wa tunaounga mkono upinzani tupo zaidi ya miloni sita tena hapo ni baada ya kumleta huyo fisadi,tukileta fyoko hii nchi haitakalika,HUYO FISADI ALIPATA KURA MILIONI SITA NA LAKI SAB,SEMA MILIONI NANE
Ndugu unataka katibu Mkuu akitangazie wapi chama,chumbani kwake au??
Kama serikali ni nzuri kama unavoisifia kwann inazuia freedom of speech kwann wanaziba midomo wapinzani wasiongee..?Serikali hii imeibua watumishi hewa, imewachukulia hatua wezi wa mali za umma pamoja na kuanzisha mahakama ya mafisadi, imethibiti mapata bandarini, imeleta nidhamu kwa watumishi wa umma, inasimamia ukusanyaji wa kodi n.k, haya yote yameokoa mabilioni ya fedha.Hahaha! Katika Serikali hii ikiwa inaendelea kutumbua majipu Wale wa upande ule wakaanza kuwatetea wale wezi na waliowanyonya wanyonge kwa muda mrefu. Katika serikali hii upinzani unaendelea kupotea kwakuwa mpaka sasa wanatapatapa kwa kukosa hoja zenye mashiko. Ila si haba kwani tumeshuhudia wakifanya maigizo bungeni kitendo ambacho kilichekesha wengi na kuona wamepotoka. Hawa watu ni wa kupuuzwa.
Tuombee basi kwa mtukufu rais,maana toka jamaa ameteuliwa tunazuiwa kufanya kila kitu,hata kuingia ofisin Shinyanga tulizuiwa..akitangaze vijijini.
..umemsikia amefanya ziara yoyote kukagua uhai wa chama?
..sijaona cdm wakija na mbinu mpya na hoja mpya.
..mateso tunayoyapata sasa hivi ni kwasababu ya kuwa na wabunge wachache wasioweza ku-influence maamuzi bungeni.
Acha kutumia maandiko matakatifu kwa mizaa."JK aliwabatiza kwa Maji, JPM atawabatiza kwa Moto",
- Y. Makamba