Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nani alikwambia wananchi wanataka maendeleo bila kujali kama wanaongozwa kwa mujibu wa sheria? Leo kura zikipigwa tena Magufuli anaweza kupata kura za watumishi anaowafukuza bila kufuata sheria? Anaweza kupata kura za wanafunzi aliowaita vilaz.a? Anaweza kupata za walimu aliosema wakatwe mishahara madawati yakivunjika?
Kwa nini tunamdanganya rais wetu akosee baadae tuanze kumcheka kama Kikwete? Lakini akiiharibu Tanzania tunafaidika nini?
Unaweza kututajia wafanyakazi wakiofukuzwa bila kufuata sheria? Na wananchi gani hao wanalalamika kuongozwa bila kufuata sheria, na walimu walioambiwa madawati yakiharibika watachukuliwa hatua wao hawajui wajibu wao wa kukinda mali za shule?
 
Unaweza kututajia wafanyakazi wakiofukuzwa bila kufuata sheria? Na wananchi gani hao wanalalamika kuongozwa bila kufuata sheria, na walimu walioambiwa madawati yakiharibika watachukuliwa hatua wao hawajui wajibu wao wa kukinda mali za shule?
Kama kukinda Sawa waadhibiwe.
 
Ni kweli tumepotea, lkn tumepotea kutoka kwenye mfumo ule holela wa miaka 10 ilopita tunaelekea kwenye mfumo mpya wenye misimamo kiutekelezaji, uchapakazi, nidham ya kazi na heshima kwa wanyonge...so kama ulizoea bwelele na kula kwa kupiga domo anza kupotea kutoka huko, maana if u doesnt want to change, change will change u...
 
Ni kweli tumepotea, lkn tumepotea kutoka kwenye mfumo ule holela wa miaka 10 ilopita tunaelekea kwenye mfumo mpya wenye misimamo kiutekelezaji, uchapakazi, nidham ya kazi na heshima kwa wanyonge...so kama ulizoea bwelele na kula kwa kupiga domo anza kupotea kutoka huko, maana if u doesnt want to change, change will change u...

Ila lugha jamani ' if u don't ' NOT 'if u doesn't!
 
hakika MUNGU haMfichi Mnafiki,, hakuna JaMBo lisilo na Mwisho ila Mwisho huo ukoJe,, ccM na Magufuli wenu MJiangalia Mara MBili kwenye MaaMuzi yenu,, kwani chadeMa kufanya MandaMano niwavunJa katiBa Mpaka serikali iwazuiye,,?
 
Jishikilie mkuu na funga mkanda gari limeferi breki kitonga hili Dereva anashindwa kutwambia
 
Mbona Raisi Magufuri aliyasema hayo na kuahidi wakati wa kinyanganyiro cha uraisi,ina maana ulichagua raisi ukitegemea kinyume cha yale alioyahaidi?
 
Wewe ni yule hater ambao huna mtu au ndugu aliyearthirika na kukurupuka kwa huyu jamaa.Wewe ni kimaskini fulani ambaye kutwa unawatakia wengine walio juu yako mabaya.

Sio kila mtu aliyenazo ni mwizi na sio kila tu anayelalamika ujinga na upumbavu wa kuwagawanya watz ni maskni tu hata matajiti wapo. Uongozi unahitaji hekima na sio kuropoka na kufanya mambo bila kuangalia kona zote.


Mimi si faidiki na ccm wala ukawa na nina maisha yangu mbali na tanzania lakini kinacho fanywa na Magu ni sawa kwa kabisa kwa 90%. Yapo makosa madogo.
Nimezungumza na jamaa zangu huko TZ wengi wao wanasema sasa kuna heshima huko maofisini. Mmoja wao ana tenda anasema safari hii anashangaa anafanya kufuatwa ili aka apply hela zake wakati mwanzo alikua akizungushwa hadi mwaka.
Mnataka maendeleo na mkadhani maendeleo yana patikana kiurahisi au ukiamka asubuhi basi utakuta kila kitu kiko safi na viwanda kila kona.
Unasema sija kua na mtu aliye poteza nafasi yake ya juu au alieharibiwa maisha JE kwani kuna mtu aliesimamishwa kazi na asie kua tuhuma. Kuna kusimamushwa na kuna kufukuzwa. Na kama ni hao wafanya biashara na biashara zao kudorora kwa kuna mtu aliye katazwa kufanya biashara? Tatizo mmezoea easy come easy go.
Lipeni kodi. Mimi binafsi nime ajiriwa huku na nina lipa 30% ya kodi. Na hii nchi ina maendeleo makubwa kwa ajili ya kodi. Mke wangu kajifungua na tumekaa hospitalini siku 3 bila kulipia kitu, wakihakikisha mtoto akitoka hapo ni mzima kabisa. Na yote hayo ni kwa ajili ya kodi tunazo lipa.
Fanyeni kazi na mwajali walio kua maskini.
 
Wewe ni yule hater ambao huna mtu au ndugu aliyearthirika na kukurupuka kwa huyu jamaa.Wewe ni kimaskini fulani ambaye kutwa unawatakia wengine walio juu yako mabaya.

Sio kila mtu aliyenazo ni mwizi na sio kila tu anayelalamika ujinga na upumbavu wa kuwagawanya watz ni maskni tu hata matajiti wapo. Uongozi unahitaji hekima na sio kuropoka na kufanya mambo bila kuangalia kona zote.

Na hapa ume onyesha wazi kua wewe ni mmoja wao waliokua wakinufaika na system mbovu iliokuwepo ndio maana una lalamika kwa ajili ya hao walio adhirika. Na ni haki yao.
 
Unaweza kututajia wafanyakazi wakiofukuzwa bila kufuata sheria? Na wananchi gani hao wanalalamika kuongozwa bila kufuata sheria, na walimu walioambiwa madawati yakiharibika watachukuliwa hatua wao hawajui wajibu wao wa kukinda mali za shule?
Google....!!!!
 
Ni swala la muda tu kabla hatujafika tunakotaka kufika kama walivyofika wengine kwa kutumi njia ambayo nasi tunataka kuitumia.

Yangu macho na masikio.
 
in god we trust.
observer1994.jpg

swissme
 
Kwasababu hautakaa ofisini, hautatulia utahangaika kupambana na vyama vya siasa, ghafla muda wako umeisha hujafanikisha chochote.

Na vyama vya siasa vikishakujulia vitakusumbua sana, utawazuia kuandama lakini watatoka nje wataandamanana watakupinga wazi wazi! Utajihami, nguvu kubwa ya wanausalama utapeleka kudhibiti maandamano badala ya kulinda raia.

Kwa maana hiyo utakua ni mvurugano tu kila Siku, watu hawatatulia, wataandamana kila Sikh maana maisha bora hayatakuwepo.


The time wili talk.
 
Sasa hivi chadema haiungwi mkono na watu wengi, watu walikuwa wanaiunga mkono kwa sababu ya ufisadi sasa hivi mafisadi mnao wanaishi maisha ya raha kwa sababu hamuwaiti tena mafisadi sasa hivi ni mabosi wenu huko.
Kwahiyo njia yoyote mtakayoitumia mtakuwa wachache wale mawakala wa ufisadi tu...kwahiyo mkileta fyoko mtakula kichapo cha mbwa mwizi...msimjaribu.
 
Ni swala la muda tu kabla hatujafika tunakotaka kufika kama walivyofika wengine kwa kutumi njia ambayo nasi tunataka kuitumia.

Yangu macho na masikio.

..lakini katibu mkuu mpya anaonekana amepooza.

..jitihada za kukitangaza chama na kupata wanachama wapya hazionekani.

..bado tunasubiri ccm na serikali wakosee ndiyo viongozi wetu wanaibuka na matamko.

..jumuiya ya vijana wanaonyesha jitihada. Lakini hawa ni vijana.

..jumuiya ya wanawake imepooza kabisa. Ccm wanatushinda kwasababu wanawake hawaungi mkono Cdm.

..tunatakiwa tuanze kujipanga upya sasa hivi.

Nb:

..tuelekeze nguvu zaidi kupata madiwani na wabunge wengi zaidi.

..pia tutafute wagombea wazuri na mahiri wa Uraisi.
 
Yeye badala ya kwenda nchi kama malaysia na singapore kuuliza na kudadisi uchumi wa viwanda unafikiwaje? Yeye yuko kuhama na nzega anasema mimi sijaribiwi! Kweli maajabu yako Tanzania ambako mtu hajafanya mtihani ila anasubiri matokeo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom