Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
HahahahaaMweshimiwa rais ulituaidi mabomba yatatoa asali na maziwa, na milioni 50 kila kijiji mbona hatuzioni...
Naitwa sargent lokole kwa niaba ya jeshi la polisi nilikuwa naulizia zile helicopter zetu vip...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwembwe tu, cheap political mileageKamanda, kuzima laini kumefeli kama dili la usaliti wa kamanda msaliti lilivyododa? Nauliza swali tu!
Hawajazima ila msiwasirishe jamani wanaweza kuamua kuzima zote😂😂😂 chonde chonde naombeni tuwasifie kwa moyo wao wa upendo wa kuwajali watanzaniaVipi wamezima ama bado ? Yaani ningekuwa nimesoma IT ningewahack wallah. Ngoja nimtafute Snowden anipe shule ya kuhack.
Mimi si nipo lakini?Vipi wamezima ama bado ? Yaani ningekuwa nimesoma IT ningewahack wallah. Ngoja nimtafute Snowden anipe shule ya kuhack.
Hahahahah. Darasa tunaanza lini ?Mimi si nipo lakini?
Walishindwa kuzima Simu feki ndo wataweza lineHawajazima ila msiwasirishe jamani wanaweza kuamua kuzima zote😂😂😂 chonde chonde naombeni tuwasifie kwa moyo wao wa upendo wa kuwajali watanzania
Leo tena tufanye harakaHahahahah. Darasa tunaanza lini ?