Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".

Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.

Nitatafuta muda niandike full review.


Mkuu, unatunyima uhondo; jaribu kuweka japo madongo mawili japo kwa ufupi tu,
 
Nimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".

Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.

Nitatafuta muda niandike full review.

Please do that ASAP.
 
Nimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".

Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.

Nitatafuta muda niandike full review.
Nitakukumbusha
 
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.

1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".

2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.

3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".

Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Ni kweli "mzalendo" wa kweli kama wazee was sacco na waigizaji- wazalendo hawawezi kumuunga Mkono Magufuli
 
Kama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
kwasababu ukuu wa mkoa hauhitaji cheti, na hakuna anaeweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kuwa Makonda ana cheti feki. Makonda ameonekana kwenye kila shule inayoonekana kwenye vyeti vyake. Na Makonda ni loyal kwa Magufuli, akiambiwa jump haulizi how high yeye anaruka tu. Ukiwa na watu loyal wa aina yake uongozi wako unakua rahisi.
 
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....". [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.

1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".

2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.

3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".

Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.

Jr[emoji769]
 
Kwa sasa Magufuli anaungwa mkono na kundi kubwa sana la Mapolisi na anastahili pongezi ni kiongozi wa kwanza duniani tokea vita kuu ya pili ya Dunia kupata uungwaji mkono wa aina hii

Kinachowavutia Mapolisi kumuunga mkono Magufuli ni nyongeza na marupurupu wanayomwagiwa na Utawala huu wa mkuu wa Malaika aliyeumbwa kwa jiwe.
 
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.

1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".

2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.

3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".

Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Hoja ya 3... 💯💯💯💯💯✔✔✔✔
 
Kama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
Kwani Makonda kaajiriwa kwenye sekta/idara ipi. Mi navyojua makonda ni mteule hivyo muda wowote anaweza kutenguliwa
 
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.

1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".

2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.

3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".

Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Ubadhirifu.

Andika vizuri wewe.
 
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.

1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".

2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.

3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".

Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Sure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom