Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hela atatoa wapi ?Tulia 2020 is here, zitamwagwa ajira na mishahara kuongezwa
Kakwiba mpaka basi, labda akope tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela atatoa wapi ?Tulia 2020 is here, zitamwagwa ajira na mishahara kuongezwa
Thubutu.Tulia 2020 is here, zitamwagwa ajira na mishahara kuongezwa
Mwanzo tulikuwa na itikadi ya kugawana umaskini,yeye nadhani anataka tugawane urajiri.Anatupeleka anapojua maana tumekubali kupelekwa.
Sio hatuweze kupotea, km taifa tumeshapotea fumbua macho na kichwa tafakari, tupo porini nyikani tumepoteana huu ndo ukweli mchungu
Kwa kuwa hajui anakokwenda, kuna uwezekano vilevile wa kutokujua kama amepotea!kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Wewe utajuaje anakotupeleka wakati hata Magu mwenyewe hajui tuendapo na ndiye nahodha wa jahazi, kwa kifupi upepo ndiyo utakaoamua uelekeo utakavyokuwa.Ni mtu zwazwa peke ndiye asiye jua wapi magufuli anatupeleka tena ni zwazwa la kutupa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha ha ha,kweli lakini kama haujui unapokwenda basi huwezi potea kwa sababu huko unapokwenda haupafahamu,lakini kama ungekuwa unajua unapokwenda halafu ukaenda tofauti na ulipokuwa ukijua unaenda,basi hapo ushapotea njia.kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Katikati ya wengi wanaoongea lugha moja akitokea mmoja anaongea lugha yake peke yake lazima atakuwa mwanga.
Mwanga /nuru na kama ujaua nuru haichangamani na GizaKatikati ya wengi wanaoongea lugha moja akitokea mmoja anaongea lugha yake peke yake lazima atakuwa mwanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ya kupoteza madarak na kupelekwa the Hegue itatumaliza.Tangu nizaliwe hii ni mara ya pili kuishi kwa hofu namna hii katika nchi yangu.
mara ya kwanza kuishi kwa hofu nilikuwa mdogo sana. aliingia simba kijijini. alikuwa akila mifugo na binadamu. kilikuwa ni kipindi cha hofu sana hasa usiku na ikizingatiwa nyumba zetu zilikuwa za milango ya jadi. unainjika-injika tu unasema umefunga kumbe hakuna lolote. hatimae simba aliuliwa. cha ajabu eti hakuwa na meno. simba kibogoyo. mambo ya kiswahili. lakini ikawa ndiyo mwisho wake.
miaka 20 baadae. naishi kwenye Tanzania ya hofu tena. hii si Tanzania ya Magufuli niliyodhani ilikuwa inahubiriwa wakati wa kampeni.
unaishi kwenye nchi ambayo unahisi unaweza kufa au kupelekwa jela muda wowote.
Tujitafakari - kuanzia kiongozi wa msafara mpaka wanamsafara wenyewe.
Wasukuma wana msemo wao: Nzila ya huwa ntongi. Maana yake kama anayeongoza msafara akipotoka basi wote mnapotoka.
Heri ya Mwaka.