Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli jomba. Inaonekana ulikuwa unaota..uliuliza upewe takwimu za ajira zilizofanyika..hutaamini..fanya tafiti kwanza jomba kabla hujaropokaKila ukifikiria inashangaza. Ikumbukwe hapa nazungumzia nafasi zinazoajiri watu wengi hususani sekta ya afya na elimu.
Bomu linalopikwa nadhani la Nuclear lina unafuu!
Mvua zinanyesha nchi nzima , unasema magufuli akupe ajira?Kila ukifikiria inashangaza. Ikumbukwe hapa nazungumzia nafasi zinazoajiri watu wengi hususani sekta ya afya na elimu.
Bomu linalopikwa nadhani la Nuclear lina unafuu!
Haiendi wapi..acha kutudanganya jomba..hatupo huko tumeshavuka zamaniTunajitia moyo lakini nchi haiendi kabisa.
Jitu punguani kabisa, linajitapa kwa makitu ya kijinga!Ushalimia meno? Alisema mpaka mlimie meno.
Hii imekaaje hebuNa kwa wanaostaafu utumishi hakuna "lump sum" wala "pension".
Ni uzwazwa kusubiri kuajiriwa na serikali
Itawezekana vipi wahitimu wote muajiriwe?
Nenda kalime,bado hujachelewa
mpuuzi mkubwa weweBado miaka 6.Bado endeleeni kuisoma number.
LikeAkili yako ni ndogo sana.
Zipo nchi wananchi Wanalipwa kwa mwezi. Wewe unazungumzia Wahitimu ambao hata milioni moja hawafiki.
Kama hawawezi kuwaajiri kwa nini waliwashikia viboko waende shule kuwafundisha ujinga ambao hautawasaidia.
Hicho kilimo Hata bibi yako si alikuwa analima.
Kila ukifikiria inashangaza. Ikumbukwe hapa nazungumzia nafasi zinazoajiri watu wengi hususani sekta ya afya na elimu.
Bomu linalopikwa nadhani la Nuclear lina unafuu!
Hiyo mitano ijayo tutalimia magego sio meno tena, hakika tutachakaa kweli kweliUmesahau mingine mitano ijayo?
Tanzania ni nchi pekee Dunia hii ambayo Serikali hutoa ajira, na hulaumiwa kwa kutokutoa ajira.
Mvua zinanyesha nchi nzima , unasema magufuli akupe ajira?
Hizo ndo zero brain at work.
Nenda kalime , mbuga zote zina maji.
Magufuli is a country bumpkin.Jitu punguani kabisa, linajitapa kwa makitu ya kijinga!
Wewe una Heka ngapi ?Mvua zinanyesha nchi nzima , unasema magufuli akupe ajira?
Hizo ndo zero brain at work.
Nenda kalime , mbuga zote zina maji.