Kuna uwezekano Mkubwa maana itafika 2020 atakuwa hajajenga hata kiwanda kimoja, shule nyingi za msingi na sekondari zitakuwa zimechakaa kwa kukosa matengenezo, watu watakuwa hawawapeleki watoto wao kwenye shule za serikali kwa kuwa zitakuwa na mazingira hatarishi. Uchumi utakuwa umevirugika atajikuta yuko desperate kwa kushindwa kwa Sera zake.Ataboresha udikteta wake.Kuna kila dalili kuwa huyu jamaa anaweza akafanya 'attempt' ya kuliconvince Bunge ili liweze kuondoa kile kipengele kinachoweka ukomo wa vipindi vya kutawala.......
Ndio lengo lake la kutawala mpaka kufa kwake,sio milele ndio maana ukamsikia anasema tumechelewa sana kwakua yeye hakuwahi mapema kuwa Rais. Ninaamini ndie Rais wa Mwanzo wa Tanzania atakae omba katiba ibadilishwe ili iongezewe muda wa kutawala tena miongo mingine. Kwakua wale waliopita kwake hawakuwa na cha maana walichofanya atahisi na atakae kuja pia atamuharibia mipango yake ya wiwanda,madaraja,ndege,elimu bure n.k ambayo amewafanyia Watz.
Wewe wasemaAmani iwe nanyi!
Dunia haiishiwi vioja! Juzi nimemsikiliza Magufuli nikashangaa kuona kuwa kichwani kwake Ni kama ana ndoto za kutawala milele.Amesahau kuwa muda wake Wa uongozi Ni miaka mitano tu au akiwa na bahati sana sijui kama anayo atakaa madarakani miaka kumi.
Anahiza watanzania wazae watoto bila kuangalia uzazi Wa mpango! Alas! Mtoto akizaliwa leo, mpaka atomize umri Wa kwenda shule ili a some bure, yeye atakuwa atakuwa amepigwa chini 2020 wakati Mtoto huyo anatakiwa aanze shule 2023!
Uwezekano Wa Rais Magufuli kupata kipindi cha pili Ni Mdogo sana kwasababu watu wamemchoka ndani na nje ya chama chake! Sababu za kuchokwa mapema Ni nyingi kuliko ilivyo wahi kutokea kwa Rais yeyote .
Kwa fedha anazo peleka Rais Magufuli shuleni kwa wastani kila mwanafunzi anatengewa shs 18,000|=kwa Mwaka! Hapo anajihesabu ana wasomesha!
Amani iwe nanyi!
Dunia haiishiwi vioja! Juzi nimemsikiliza Magufuli nikashangaa kuona kuwa kichwani kwake Ni kama ana ndoto za kutawala milele.Amesahau kuwa muda wake Wa uongozi Ni miaka mitano tu au akiwa na bahati sana sijui kama anayo atakaa madarakani miaka kumi.
Anahiza watanzania wazae watoto bila kuangalia uzazi Wa mpango! Alas! Mtoto akizaliwa leo, mpaka atomize umri Wa kwenda shule ili a some bure, yeye atakuwa atakuwa amepigwa chini 2020 wakati Mtoto huyo anatakiwa aanze shule 2023!
Uwezekano Wa Rais Magufuli kupata kipindi cha pili Ni Mdogo sana kwasababu watu wamemchoka ndani na nje ya chama chake! Sababu za kuchokwa mapema Ni nyingi kuliko ilivyo wahi kutokea kwa Rais yeyote .
Kwa fedha anazo peleka Rais Magufuli shuleni kwa wastani kila mwanafunzi anatengewa shs 18,000|=kwa Mwaka! Hapo anajihesabu ana wasomesha!
Kuna haja ya kutunga sheria ya kumshitaki Rais atakae vuruga mifumo mizuri ya Nchi na ikiwezekana tuanze na Magufuli.Sikuhizi anamuita Mtukufu, mahabusu sio kuzuri... [emoji1] [emoji2] am just kidding
Wewe wasema
Ukiona mtu anapenda sifa sana wewe mwite Mtukufu Mungu Wa Tanzania unaye pendwa kuliko hela! Atafurahi mpaka basi.Sikuhizi anamuita Mtukufu, mahabusu sio kuzuri... [emoji1] [emoji2] am just kidding
Ningefurahi km ingewezekana, unafikiri kwa bunge hili wataipitisha hyo sheria... Kisha yeye aisaini?Kuna haja ya kutunga sheria ya kumshitaki Rais atakae vuruga mifumo mizuri ya Nchi na ikiwezekana tuanze na Magufuli.
Jk nyerere angefufuka leo na kuona jinsi serikali inavyo endeshwa angezimia hapo hapoUkiwaondoa wasukuma watanzania walio baki hakika wamechoka na siasa zake za kibaguzi na kandamizi. Mbaya kuliko Ni teuzi zake hazizingatii kanuni yoyote isipokuwa utashi wake tu. Katiba ameiweka pembeni.
Kuna kila dalili kuwa huyu jamaa anaweza akafanya 'attempt' ya kuliconvince Bunge ili liweze kuondoa kile kipengele kinachoweka ukomo wa vipindi vya kutawala.......
Hao wasukuma si ndio wamemweka hapo kwa kura nyingi? Au haujui maana ya tyranny of numbers? Wanaoamua Rais awe nani ni kanda ya ziwa, dar, moshi, arusha, mbeya mlimnyima kura ilisaidia nini kanda ya ziwa waliposema sema ndio? So endeleeni, 2020 tunamjazia tena atuletee maendeleo, nyie endeleeni kuzungusha mikono mpaka 2025.Ukiwaondoa wasukuma watanzania walio baki hakika wamechoka na siasa zake za kibaguzi na kandamizi. Mbaya kuliko Ni teuzi zake hazizingatii kanuni yoyote isipokuwa utashi wake tu. Katiba ameiweka pembeni.
Serikali ya mwendo kasi inatisha hiiNdio lengo lake la kutawala mpaka kufa kwake,sio milele ndio maana ukamsikia anasema tumechelewa sana kwakua yeye hakuwahi mapema kuwa Rais. Ninaamini ndie Rais wa Mwanzo wa Tanzania atakae omba katiba ibadilishwe ili iongezewe muda wa kutawala tena miongo mingine. Kwakua wale waliopita kwake hawakuwa na cha maana walichofanya atahisi na atakae kuja pia atamuharibia mipango yake ya wiwanda,madaraja,ndege,elimu bure n.k ambayo amewafanyia Watz.
Kuna uwezekano Mkubwa maana itafika 2020 atakuwa hajajenga hata kiwanda kimoja, shule nyingi za msingi na sekondari zitakuwa zimechakaa kwa kukosa matengenezo, watu watakuwa hawawapeleki watoto wao kwenye shule za serikali kwa kuwa zitakuwa na mazingira hatarishi. Uchumi utakuwa umevirugika atajikuta yuko desperate kwa kushindwa kwa Sera zake.Ataboresha udikteta wake.