Amuulize kwanza Mugabe alipochapisha Zim dola nini kilitokeaAtachapisha hela nyingine ili ziwe nyingi wale masikini anao wapenda wapate angalao kidogo.
Tayari nimeshaandika wosia.Bandiko hili laweza kuwa ni dhihaka kwa "mtakatifu" na linapaswa kupewa kesi ya uchochezi. Mtu mwenye daraja la utakatifu au umalaika huwa hakosei na wala hashauriwi. Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kumshauri "mungu wetu" yeye ni alfa na omega.
Kumshauri mtakatifu mwenye heri kunaweza kuchukuliwa kuwa ni kumjaribu, kumjaribu ni kiashiria cha fyokofyoko kinachoweza kukufanya "upotee" ndani ya dk.5. Hizi ni zama za kushughulikiwa ndani ya dk. 5 hivyo ni vema kabla hujaleta jukwaani hoja yenye viashiria vya kuhoji "utukufu" wa baba mtakatifu uandike wosia ili ukipotea ndani ya dk5 familia yako isiparaganyike kwa kugombea mali ulizoziacha.
Ndio mjifunze kufanya saving, na maisha yenye utaratibu ndivyo kulivyo huko duniani kote....Ndio vilio vimeanza,mkuu analeta ubishi kwenye mambo ya kiuchumi. Pesa kwenye mzunguuko imepungua,Bandarini mizigo imepungua,biashara zinafungwa na wengine wanaziuza.Ni katika kipindi hiki ndio viwanja na majumba mengi yanauzwa na pesa za kununulia hakuna,waliokopa miezi kadhaa nyuma wameshindwa kulipa mikopo wanaishiwa kufilisiwa na bado baadhi ya mali hazinunuliki hali inayopelekea wakopeshaji nao kupata pesa iliyo chini ya malengo.
Nini mh rais hafanye kuinusuru hali hii ............maana mambo ya kiuchumi yanatugusa wote,sio wanasiasa tu.
Mh rais anasema pesa zimefichwa,inawezekana hii ni kweli, hebu tumpeni ushauri mh rais nini kifanyike na ni wapi alipokosea.
Zikiwa nyingi zinaporomoka agaist dollar.unakuwa umeroka mkojo umekanyaga maviAtachapisha hela nyingine ili ziwe nyingi wale masikini anao wapenda wapate angalao kidogo.
Wanaokosea hupewa adhabu full stopNdio vilio vimeanza,mkuu analeta ubishi kwenye mambo ya kiuchumi. Pesa kwenye mzunguuko imepungua,Bandarini mizigo imepungua,biashara zinafungwa na wengine wanaziuza.Ni katika kipindi hiki ndio viwanja na majumba mengi yanauzwa na pesa za kununulia hakuna,waliokopa miezi kadhaa nyuma wameshindwa kulipa mikopo wanaishiwa kufilisiwa na bado baadhi ya mali hazinunuliki hali inayopelekea wakopeshaji nao kupata pesa iliyo chini ya malengo.
Nini mh rais hafanye kuinusuru hali hii ............maana mambo ya kiuchumi yanatugusa wote,sio wanasiasa tu.
Mh rais anasema pesa zimefichwa,inawezekana hii ni kweli, hebu tumpeni ushauri mh rais nini kifanyike na ni wapi alipokosea.
Hanna hats hati ya mashitaka,mashahidi,hukumu? Atahukumu yeye hapohapo au?Bandiko hili laweza kuwa ni dhihaka kwa "mtakatifu" na linapaswa kupewa kesi ya uchochezi. Mtu mwenye daraja la utakatifu au umalaika huwa hakosei na wala hashauriwi. Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kumshauri "mungu wetu" yeye ni alfa na omega.
Kumshauri mtakatifu mwenye heri kunaweza kuchukuliwa kuwa ni kumjaribu, kumjaribu ni kiashiria cha fyokofyoko kinachoweza kukufanya "upotee" ndani ya dk.5. Hizi ni zama za kushughulikiwa ndani ya dk. 5 hivyo ni vema kabla hujaleta jukwaani hoja yenye viashiria vya kuhoji "utukufu" wa baba mtakatifu uandike wosia ili ukipotea ndani ya dk5 familia yako isiparaganyike kwa kugombea mali ulizoziacha.
Mkuu inabidi tuite fundi umeme....hii gari ina shoti na tunakoenda hatutafika,tutaungua humu ndaniKulikuwa na habari kuwa bank hamna hela za kukopesha mzunguko wa hela umekua mgumu, it was mentioned Kimei kasema, baadaye crdb wakakanusha kuwa hakusema na hela ziko kibao za kukopesha! Then bandarini watu wakasema hamna mizigo! Akaja jamaa wa bandari (sijui msemaji sijui mkurugenzi!) Akasema mizigo iko tele wala hakuna shida ya mizigo! Jana wamethibitisha mizigo hakuna na waende wakamshauri kama atapokea ushauri sijui
Hata hao wanazo wanazikumbatia..Kwani wao hawaoni uchumi uporomoka mdogo mdogoNa kweli tunakaa sawa,kama una pesa zako kipindi hiki ni cha kujizolea majumba/viwanja. maana hali ni mbaya kitaani.