iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Leo nimepanda daladala,robo tau ya abiria walikuwa wanapiga miayo mpaka konda akalalamika,
Basi zima hakuna aliyetoa noti ya elfu kumi,elfu tano,au elfu mbili,ni hamsini hàmsini,miamia zilizochakaa.
Wengi walikuwa wamezifunga kwa nguvu kwenye pindo za nguo zao
Basi zima hakuna aliyetoa noti ya elfu kumi,elfu tano,au elfu mbili,ni hamsini hàmsini,miamia zilizochakaa.
Wengi walikuwa wamezifunga kwa nguvu kwenye pindo za nguo zao