Raisi wetu kaziba mianya yote ya ufisadi,safari za nje empty,kafukuza mafisadi wote ni kwa sababu anabana matumizi,ila analalamika pesa haipo mtaani kwa kuwa watu wameficha,na kweli pesa mtaani ngumu hata biashara haziendi kabisa.najiuliza je ni mzimu wa lowasa unaanza kumwandama raisi wetu au? Maana lowasa anatuaminisha wananchi kwamba alishinda ila kaporwa ushindi wake(mi naita uchonganishi kati ya serikali na wananchi kama ilivokuwa Mwanahalisi).kwamba wafanyabiashara wameanza kumhujumu raisi wetu? Maana lowasa alisema yeye atakuwa lafiki wa wafanyabiashara.tujadili kwa hoja na sio matusi.karibuni