Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKUNA DEMOKTASIA
KAZI IPOHatujawahi kuchagua "Kila siku tunaamua !
Kuchagua kuna maana
ya kuchuja faida na hasara !
Kuamua ni kumpa tu
pasipo kujihoji na kuangalia v
Vigezo !
Ukichagua hata matatizo
yakitokea mnayamaliza kwa amani !
Tusichoke kuombea Nchi yetu !
majanga!Daaaah nikikikumbuka kile kizee lubuva[emoji35] [emoji35] daaah ila IPO SIKU
Hv kwa style ya kumshukuru mtukufu kwa kutuletea kupatwa kwa mwez mkoa wetu kuna kunyooka kwel[emoji15]Ndio mnyooke ili 2020 msirudie tena!..inatakiwa mnyooke sana mpate akili maana bila hivo hamuelewagi
Kweli kabisa,tutawauzia mitumba yetu😀😀😀TUTAZIPIKU MAREKANI NA CHINA...NA TANZANIA ITAKUWA NAMBA 1 KTK UCHUMI MKUBWA DUNIANI...
OVA
Acha uchochezi mara moja uta wekwa chini ya ulinzi na kufikishwa courtin[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]Hapo penye bei mbaya ya mazao umenigusa nimeuza mbaazi zangu kwa bei ya sh.500 kg1 ilianza bei ya sh.1300 imeporomoka mpaka kufikia sh500 kwa kg1
Utawala wa kikwete tuliuza 1500"1600" 2000" Mpaka kikwete anaondoka madarakani mwaka Jana tuliuza sh.1900" tukaishia sh.1800 kwa kg1