Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mwananchi wa kawaida amenufaika vipi hiyo mirija kubanwa? Hali ya ugumu wa maisha imepungua?Hata hujaona jinsi mirija ya nduguzako vibaka inavyobanwa??
UchocheziWana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Umenijumbusha kitendo cha Mwanafalsafa Socrates kutembea na taa ya chemli mchana wa jua kali mtaani. Alipoulizwa kulikoni? Kajibu, "Katika mwanga huu wote, kuna ambao wako gizani, hawaoni"! Mwisho wa kunukuu.Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.Kwani kwenye ile miaka 10 ya Kikwete uliona nini?
Uliyaona maisha bora kwa kila Mtanzania?
Kutarajia kuona mabadiliko chini ya CCM ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.
Iii kauli ya mwanafalsafa imenitoa machozi nikama aliwaangalia watanzania du huruma sanaUmenijumbusha kitendo cha Mwanafalsafa Socrates kutembea na taa ya chemli mchana wa jua kali mtaani. Alipoulizwa kulikoni? Kajibu, "Katika mwanga huu wote, kuna ambao wako gizani, hawaoni"! Mwisho wa kunukuu.
Ndio maana mkamchukuwa Lowassa kutoka CCM aje awaletee mabadiliko,nimekuhurumia baada ya kuangalia picha hii chini;Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.
Mabadiliko ndiyo haya uliyoyaelezeaWana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Mabadiliko ni wewe mwenyewe,usiulize serikali ya awamu Hii imekufanyia nini?,jiulize umeifanyia nini serikali?,kwa kushinda unalalamika humu JF huwezi ona hata moja zuri lililofanywa na serikali.Hata kuondolewa service charge ya Tanesco,kodi za wakulima kuondolewa,watoto kulipiwa ada,madawati,kurudisha nidhamu serikalini ili pesa za maendeleo yawafikie wananchi wa chini n.k yote hayo huoni?,nyie UKAWA mmekalia kulalamika tu na kutetea mafisadi,na mnaolalamika sana ni mliozoea madili madili,huu ni wakati wa kazi.Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.
1. Wanafunzi hawakai chini.Mwananchi wa kawaida amenufaika vipi hiyo mirija kubanwa? Hali ya ugumu wa maisha imepungua?
Ameshusha bei ya sukari kutoka iliyokuwepo mpaka kufukia bei elekezi.
teh teh teh
Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Mbona unapaniki huu mchezo hautaji hasiraMabadiliko ni wewe mwenyewe,usiulize serikali ya awamu Hii imekufanyia nini?,jiulize umeifanyia nini serikali?,kwa kushinda unalalamika humu JF huwezi ona hata moja zuri lililofanywa na serikali.Hata kuondolewa service charge ya Tanesco,kodi za wakulima kuondolewa,watoto kulipiwa ada,madawati,kurudisha nidhamu serikalini ili pesa za maendeleo yawafikie wananchi wa chini n.k yote hayo huoni?,nyie UKAWA mmekalia kulalamika tu na kutetea mafisadi,na mnaolalamika sana ni mliozoea madili madili,huu ni wakati wa kazi.
uwe unajiongeza basi .Ndio maana mkamchukuwa Lowassa kutoka CCM aje awaletee mabadiliko,nimekuhurumia baada ya kuangalia picha hii chini;