Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mkuu wa familia kazi yake kuumbua wenzake kwa kuwasema hadharani wakati yeye mwenyewe ana yake na wala hayasemi na hata yakiandikwa au kusemwa hayatolei ufafanuzi.
Hivi sasa anakabiliwa na kashifa ya kupata kiwango fulani cha elimu kwa magumashi.Wanamasema na kumtaja mpaka kwa jina ila yuko kimya anajifanya haoni wala hasikii.
Kuna mwanae nae aliibuliwa kashifa ya kuingia masomoni kiutatautata ila hakuwa hata kujitokeza kujibu akakaa kimya jumla na wakati huo huo akadharau watoto wa wenzie kwa kuwapa majina ya ajabu ajabu tena hadharani ingawa watoto wa watu hawakuwa na kosa.
Majuzi kaibuka na lingine ambalo alipaswa kulimaliza huko huko ila akaamua kumuumbua tu mtu wa watu!
Hii yote ni kwasababu yeye anasitiriwa ila yeye hili haoni bali anaamini wanamuogopa na ndio maana hashituki lakini ingekuwa ni katika nchi za wenzetu kila kitu kingeanikwa na hata waandishi wasingesita kumuhoji.
Ukitaka uaminiwe anza kwanza na yako na ndio utaeleweka na si kujifanya wewe umsafi sana kumbe ni wale wale.
Tambua "silence means yes"
Kweli tuko kwenye Bara la giza.
Hivi sasa anakabiliwa na kashifa ya kupata kiwango fulani cha elimu kwa magumashi.Wanamasema na kumtaja mpaka kwa jina ila yuko kimya anajifanya haoni wala hasikii.
Kuna mwanae nae aliibuliwa kashifa ya kuingia masomoni kiutatautata ila hakuwa hata kujitokeza kujibu akakaa kimya jumla na wakati huo huo akadharau watoto wa wenzie kwa kuwapa majina ya ajabu ajabu tena hadharani ingawa watoto wa watu hawakuwa na kosa.
Majuzi kaibuka na lingine ambalo alipaswa kulimaliza huko huko ila akaamua kumuumbua tu mtu wa watu!
Hii yote ni kwasababu yeye anasitiriwa ila yeye hili haoni bali anaamini wanamuogopa na ndio maana hashituki lakini ingekuwa ni katika nchi za wenzetu kila kitu kingeanikwa na hata waandishi wasingesita kumuhoji.
Ukitaka uaminiwe anza kwanza na yako na ndio utaeleweka na si kujifanya wewe umsafi sana kumbe ni wale wale.
Tambua "silence means yes"
Kweli tuko kwenye Bara la giza.