[emoji23] watu mna manenooWacha tuisome number, nilivyo sasa unaweza dhani nina miaka 50 kumbe ata 30 sijafikisha. Tunaisoma sawa sawa
Kwani hakuwepo wkt nchi inaoza?sasa kunyosha nchi kusababishe wanafunzi wakose mikopo?
Upo sawa mnoHili swali la hii mada sijalielewa kabisa..Jamaa anauliza, " Si mlituona wajinga kwa kudeki barabara.......". Sasa kimebadilika nini!
Haelewi kwamba bado tunawaona wajinga!!
hahaha hizo zinaitwa repeating decimalHahaaa... Japo elimu yangu ya darasa la saba, ila nimejua ku draw a number line... Nimejua kuhusu intergers na complex number... Sasa najifunza kuhusu zile namba zenye nukta katikati sijui zinaitwa desimali na zile za sehemu pia nazisoma kwa masomo ya jioni...
Hapa huwez elewa kituHili swali la hii mada sijalielewa kabisa..Jamaa anauliza, " Si mlituona wajinga kwa kudeki barabara.......". Sasa kimebadilika nini!
Haelewi kwamba bado tunawaona wajinga!!