Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
unataka kuhararisha kutumiwa kwako kuwa tija kwa wengine, ndo maana unalalamika, na utalalamika sana. HAPA KAZI TU
 
Nimeipenda hiyo ya kusoma aina zote za namba, lakini si wapinzani tu ndo wanaisoma!au na lumimba nao wako kwenye kisomo cha watu wazima kama UKAWA?
 
Ukideki bara bara ndo umepata nini? kwa kiongozi gani ambaye tutamani tungekuwa naye? hata huyu akituchosha hatumuwazii yule aisee heri tubaki wenyewe tu bila kiongoziila sio yuleeeee
 
Hahaaa... Japo elimu yangu ya darasa la saba, ila nimejua ku draw a number line... Nimejua kuhusu intergers na complex number... Sasa najifunza kuhusu zile namba zenye nukta katikati sijui zinaitwa desimali na zile za sehemu pia nazisoma kwa masomo ya jioni...
hahaha hizo zinaitwa repeating decimal
 
Hata kama utendaji wake ni wa kutukuka....ila kwa mpito huu tunaisoma number kuliko, hakuna chanjo, ajira hakuna, dawa hakuna, pesa hakuna, biashara imekuwa ngumu, bank awatoi mikopo, watalii wamekauka....kwakweli binafsi nmeisoma ipasavyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom