Mmefikia namba ngapi?Naomba magufuli abane na aendeleee kubana ili tuendeleee kusoma plate namba
hii ni hoja dhaifu sn. na inapendwa na watetezi wanaopingana na uhalisia.Ni lazima abomoe kwanza ili ajenge vizuri. Nyufa zilikuwa kubwa mno. Linchi lilikuwa linajiendea endea tu. Mavyeti feki kibao! wafanyakazi hewa kibao! wanafunzi hewa kibao! ufisadi kibao kiasi kwamba kulikuwa hakuna hata haja ya mtu kustrugle, maana kufanikiwa kwa mtu kulitokana na madili na kufahamiana tu. Si elimu wala strugle ya mtu. Nchi ilikuwa imeharibika sana na ilikuwa ikikatisha tamaa watu ambao kweli wanastrugle kufanikiwa. Mtapiga mayowe sana lakini MAGUFULI anainyoosha nchi na kurudisha utaratibu. Sasa tutaheshimiana tu. Asante Baba Magufuli Mungu azidi kukutia nguvu uirejeshe heshima ya kufanya kazi kwa bidii na watu kufanikiwa kwa bidii ya kweli na si kwa madili.
We kumbe una akiliHata kama utendaji wake ni wa kutukuka....ila kwa mpito huu tunaisoma number kuliko, hakuna chanjo, ajira hakuna, dawa hakuna, pesa hakuna, biashara imekuwa ngumu, bank awatoi mikopo, watalii wamekauka....kwakweli binafsi nmeisoma ipasavyo.
ziko wapi pushups?!!,yuko wapi mwokozi wa wakulima maana mazao yao mpk leo yanatozwa kodi,zikowapi dawa hospitalin,iko wapi mikopo ya wanafunzUnafikiri.mlikuwa Mnadeki mkiwa wazima?
Mliingizwa kingi ndio maana tuliwapinga kwa nguvu zote.
Yako wapi mazingaombwe ya kupanda daladala kwenda chanika?
Yu wapi mwokozi aliyeenda Tandale?
Hahahahahaha ogopa sanaa
sasa kunyosha nchi kusababishe wanafunzi wakose mikopo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacha tuisome number, nilivyo sasa unaweza dhani nina miaka 50 kumbe ata 30 sijafikisha. Tunaisoma sawa sawa